Ulizionaje sasa mkuu ndani ya begi 😂ASEE, salesman utashudia mengi sana. niliwahi kuona mtu salasala analipa mtu dolla laki tano mkononi. hiyo ni sawa 1.2B na zilikuwa ndani kwenye bag tu la kawaida
Dalali mkuu yupooooo😁😁😁 Jude hajambo?ASEE, salesman utashudia mengi sana. niliwahi kuona mtu salasala analipa mtu dolla laki tano mkononi. hiyo ni sawa 1.2B na zilikuwa ndani kwenye bag tu la kawaida
Kasema mwenye vijisenti ni mbongo, kiwanda ni cha mchina...ndio maana mnafeli mitihaniKiwanda cha tiles hiko, unamuongelea yule dogo mchina wewe, Frank Yang.
Aisee wewe hadi maisha umefeli, sasa wabongo wako wangapi wanafanya such payments, utawajuaje, mm nimekutajia kiwanda pendwa cha kichina mtanzania anaweza to pesa hiyo at once.Kasema mwenye vijisenti ni mbongo, kiwanda ni cha mchina...ndio maana mnafeli mitihani
Mayweather?Watu wote wenye pesa hawana mbwembwe.