Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,761
- 3,835
Kilichoandikwa hapa ni mawazo binafsi haina uhusiano na siasa wala haiwakilishi upande wowote/kundi la watu!
Tanzania tunaelekea milioni 60 kwa makadilio (sensa itajibu ufasaha). Lakini katika miaka yote zaidi ya 50 na kenda ni kama serikali au nchi haikujipanga na ongezeko hili la watu.
Mwaka 1961 tulikua milion 10 (10,337,891-macrotrent.net) so katka kipindi chote idadi ya watu imekua mara 6 zaidi ya ile tuliyokua nayo!
Hata hivo nchi haikujipanga na ongezeko hili au haikufikiria kama tutaongezeka au ilijua lakini ilipuuzaa au haikutilia umakini!
Kwanini?
Nchi yyte inabidi iwe na mipango kabambe ya kukabiliana na ongezeko la watu na kutatua matatizo kama Ajira, Miundo mbinu, huduma za jamii maji, umeme na shule.
Ukiangalia leo ongezeko la viwanda ni dogo sana ukilinganisha na tulivokua navyo enzi za uhuru .Hapa siongelei viwanda vidogo vya mikono vya kuajiri watu watatu naongelea vile viwanda kama vya Textile, usindikaji nyama, viwanda vya sukali, viwanda ambavyo vinauwezo wa kuajili watu hata 300 na kuendelea.
Swali je vijana wanaohitimu na wanasiosoma wote maelf na maelfu tunawapeleka wapi??
Je, nchi inazalisha ajira za kuweza kukabiliana na ongezeko la vijana mtaani? Tuna viwanda vya kuwapeleka kupunguza wimbi na vijana wasio na kazi ambao baadae wanageuka kua al shabab?au panya road!
UKITAKA KUONA HILO ANGALIA WANAO ENDESHA BODA NI WANGAPI? hesabu tu hata mtaani kwako?
kwa mkoa ? kwa nchi nzima?
Utagundua ni vijana wengi sana ambao kabla ya hapo walikua mtaani!
Na hapo hao ni baadhi tu ya hao kuna walioko bado mtaani? wana kwa kwenda?
Asingekua mchina kuleta au kuzalisha mapiki piki ayo kwa bei ndogo kuleta huku kwetu athari ya uhalifu kutokana na vijana waliopuuzwa ingekuaje?
Sijui ila huwa nawaza!! Nikisikia panya road najiuliza hao ni kiasi tu cha vijana waliopo mtaani ingekua na boda hamna hizi nchi zingegeuka somalia.
Kama ushawai waza hili swala GONGA LIKE!
Tanzania tunaelekea milioni 60 kwa makadilio (sensa itajibu ufasaha). Lakini katika miaka yote zaidi ya 50 na kenda ni kama serikali au nchi haikujipanga na ongezeko hili la watu.
Mwaka 1961 tulikua milion 10 (10,337,891-macrotrent.net) so katka kipindi chote idadi ya watu imekua mara 6 zaidi ya ile tuliyokua nayo!
Hata hivo nchi haikujipanga na ongezeko hili au haikufikiria kama tutaongezeka au ilijua lakini ilipuuzaa au haikutilia umakini!
Kwanini?
Nchi yyte inabidi iwe na mipango kabambe ya kukabiliana na ongezeko la watu na kutatua matatizo kama Ajira, Miundo mbinu, huduma za jamii maji, umeme na shule.
Ukiangalia leo ongezeko la viwanda ni dogo sana ukilinganisha na tulivokua navyo enzi za uhuru .Hapa siongelei viwanda vidogo vya mikono vya kuajiri watu watatu naongelea vile viwanda kama vya Textile, usindikaji nyama, viwanda vya sukali, viwanda ambavyo vinauwezo wa kuajili watu hata 300 na kuendelea.
Swali je vijana wanaohitimu na wanasiosoma wote maelf na maelfu tunawapeleka wapi??
Je, nchi inazalisha ajira za kuweza kukabiliana na ongezeko la vijana mtaani? Tuna viwanda vya kuwapeleka kupunguza wimbi na vijana wasio na kazi ambao baadae wanageuka kua al shabab?au panya road!
UKITAKA KUONA HILO ANGALIA WANAO ENDESHA BODA NI WANGAPI? hesabu tu hata mtaani kwako?
kwa mkoa ? kwa nchi nzima?
Utagundua ni vijana wengi sana ambao kabla ya hapo walikua mtaani!
Na hapo hao ni baadhi tu ya hao kuna walioko bado mtaani? wana kwa kwenda?
Asingekua mchina kuleta au kuzalisha mapiki piki ayo kwa bei ndogo kuleta huku kwetu athari ya uhalifu kutokana na vijana waliopuuzwa ingekuaje?
Sijui ila huwa nawaza!! Nikisikia panya road najiuliza hao ni kiasi tu cha vijana waliopo mtaani ingekua na boda hamna hizi nchi zingegeuka somalia.
Kama ushawai waza hili swala GONGA LIKE!