Hii nchi utapeli upo kila mahali

Hii nchi utapeli upo kila mahali

Mjanja M1

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
4,058
Reaction score
14,382
20240815_185054.jpg
 
Andazi na juice tena mkuu?

Maandazi yana makabila mengi kuliko idadi ya makabila ya waTz.

Hivyo inategemeana ulilenga kula 'kabila' gani la andazi au mpishi alilenga kupika andazi 'kabila' gani.

Kuumuka hadi kubakia uwazi katikati ni matokeo ya uchanganyaji wa kemikali (hamila) na muda uliochukua kuumulia.
 
sidhani kama aliyeyapika alifanya hivyo kupata faida maana kufanya hivyo ni ngumu mno na faida ni kiduchu nahisi katika kupika kuna makosa kafanya weledi wa upishi wanijue maana mimi sijui kupia chochote labda chai tu na uji
 
sidhani kama aliyeyapika alifanya hivyo kupata faida maana kufanya hivyo ni ngumu mno na faida ni kiduchu nahisi katika kupika kuna makosa kafanya weledi wa upishi wanijue maana mimi sijui kupia chochote labda chai tu na uji
Wanasema huo utaalam upo.
 
Back
Top Bottom