Hii nchi utapeli upo kila mahali

Andazi na juice tena mkuu?

Maandazi yana makabila mengi kuliko idadi ya makabila ya waTz.

Hivyo inategemeana ulilenga kula 'kabila' gani la andazi au mpishi alilenga kupika andazi 'kabila' gani.

Kuumuka hadi kubakia uwazi katikati ni matokeo ya uchanganyaji wa kemikali (hamila) na muda uliochukua kuumulia.
 
sidhani kama aliyeyapika alifanya hivyo kupata faida maana kufanya hivyo ni ngumu mno na faida ni kiduchu nahisi katika kupika kuna makosa kafanya weledi wa upishi wanijue maana mimi sijui kupia chochote labda chai tu na uji
 
sidhani kama aliyeyapika alifanya hivyo kupata faida maana kufanya hivyo ni ngumu mno na faida ni kiduchu nahisi katika kupika kuna makosa kafanya weledi wa upishi wanijue maana mimi sijui kupia chochote labda chai tu na uji
Wanasema huo utaalam upo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…