Hili andazi limetengenezwa na CHADEMA
Andazi na juice tena mkuu?
Ndio hotuba za Samia zilivyo.Hili andazi limetengenezwa na CHADEMA
ππππ
Cheap is expensive...
Aisee..ππ
Hahahahaha, ukiambiwa akili maandazi pigana
Wanasema huo utaalam upo.sidhani kama aliyeyapika alifanya hivyo kupata faida maana kufanya hivyo ni ngumu mno na faida ni kiduchu nahisi katika kupika kuna makosa kafanya weledi wa upishi wanijue maana mimi sijui kupia chochote labda chai tu na uji
Chadema haiwezi kuwalisha watu upepo kama mlivyolishwa kwamba nchi imeendeleaHili andazi limetengenezwa na CHADEMA
Disclaimer: