Hii nchi wamepewa vichaa

Hii nchi wamepewa vichaa

Exile

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2021
Posts
1,477
Reaction score
3,642
20230109_184147.png
 
Wewe tukana tu lakini ukae ukijua kinacho kuchelewesha kwenda motoni ni kifo tu siku ukizima kama mungu wenu alie zima juzi unaigia motoni tena kwa kudharirishwa sana
 
Wewe tukana tu lakini ukae ukijua kinacho kuchelewesha kwenda motoni ni kifo tu siku ukizima kama mungu wenu alie zima juzi unaigia motoni tena kwa kudharirishwa sana
Ko mkuu hapo ni sahihi wanachofanya, tukiweka udini pembeni
 
#Taliban imepiga marufuku mpira wa miguu katika mkoa wa kaskazini-mashariki wa Takhar nchini Afghanistan
20230109_201153.jpg
 
Yaan Hawa jamaa ni wapuuzi sana Tena sana. Ngoja wavaa kobazi waje hapa watakuambia ni utamaduni wao....
 
Hao jamaa ni watata kishenzi , sio marekan na wala sio urusi , wote walisanda wakakimbia , inabdi muwaache tuuu😁😁😁
 
Serikali ya JMT ilipiga marufuku mikutano ya siasa.

Serikali ya US imerasimisha watu kubanduana na kuoana.

Hizo ndo Serikali mzee!...

Kila nchi na utawala wake na kila utawala na vituko vyake.
 
Marekani walichukua nchi Kwa hao Jamaa chakushangaza wakawarudishia.
 
Serikali ya JMT ilipiga marufuku mikutano ya siasa.

Serikali ya US imerasimisha watu kubanduana na kuoana.

Hizo ndo Serikali mzee!...

Kila nchi na utawala wake na kila utawala na vituko vyake.
Hayo maisha ya kule ungekua wa kike usinge andika hivi yaani mwanamke hathaminiki
 
Watu kubanduana na kuoana kunaleta shida gani kwa wasiobanduana??
Serikali ya JMT ilipiga marufuku mikutano ya siasa.

Serikali ya US imerasimisha watu kubanduana na kuoana.

Hizo ndo Serikali mzee!...

Kila nchi na utawala wake na kila utawala na vituko vyake.
 
Back
Top Bottom