William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,761
- 2,391
Nilishaandika maandiko mengi juu ya fikra za watawala wetu na Demokrasia tunayoiamini..
Ubaya NI kwamba Uchina ilipiga hatua kuanzia 1980 baada ya kufata Utawala wa kimagharibi. Waliporuhusu vyama vingi, Uhuru wa kibiashara, Sekta binafsi kupewa nafasi, Uhuru wa vyombo vya habari Kisha wakaondolewa vikwazo na kuanza kutrade na Ulaya. Ila baada ya kukua kiuchumi shida imeanza alipoingia Raisi huyu mwenye uchu wa madaraka na yule Wa Russia. Wanataka Kuurudisha dunia nyuma miaka ya 1800 huko kwa fujo zote.
Demokrasia tuliyoamua kuifata NI ya kichina. Na ilianza China na Russia na Sasa inasambaa duniani. Ina sifa zifuatazo.
1. Inaruhusu vyama vingi. Ila chama tawala huongoza vyama vingine vidogo dogo na vyama vyote hutii na kutoikosoa Serikali. Hiyo ndio msingi wa utawala.(unaitwa upinzani wenye busara). Na wapinzani watiifu hupewa vitengo serikalini. NI Kama ilivyo Rwanda ndivyo ilivyo uchina. Kifupi hakuna mpinzani mwenye wazo la kuingia Ikulu.
2. Kukosoa utawala NI kosa la uhaini kiimani lkn haipo kisheria na lazma utashugulikiwa tu kwa mbinu yoyote. Mfano Russia viongozi wa upinzani Alexei Navalny kutwa hufungwa na kufunguliwa mashitaka mapya. Democrasia ya Magharibi huwaogopa Sana viongozi wa upinzani. Rwanda na uchina hao wapinzani wapinga Sera walishatokomezwa zamani wamebaki wachache huko hongkon(Sasa wa kushugulikiwa zaidi NI mkubwa wa upinzani)
3. Democrasia hii inaruhusu Uhuru wa kutoa maoni lkn haikupi uhakika wa kuwa salama baada ya kutoa maoni. NI ile aliyoiamini Gadafi na Idd Amini Dada.
4. Democrasia hii vitu vingi vya utawala NI Siri. Hutakiwi kuhojihoji Sana. Ata kesi na hukumu huendeshwa kwa Siri.
5. Democrasia inayotoa Uhuru wa kupiga kura na sio Uhuru wa kuhesa na kupata matokeo halali.
6. Democrasia hii Bunge lipo Kama kivuli na utekeleza matakwa ya chama tawala bila kuhoji Wala kupinga.(tujifunze kupitia bunge la China. Ndilo huamua karibu kilakitu lkn haliko huru na limeshikwa na uongozi)
7. Kuwa tajili kupita kiasi kunahatarisha usalama wa nchi. Hapa wachina walitutumia sisi kuijaribishia Sera hii. Tukawabinya matajili. Na Sasa wao wameanza kuwapa kibano matajili hao.
8. Democrasia inayothibiti vilivyo mitandao ya kijamii na vyombo vya habari vinavyoleta chokochoko.
9. Hii Democrasia utawala uongozwa na ushawishi wa uchina zaidi.
Kuipinga Aina hii ya Democrasia msiipinge kwa ndani tu mtaishA. Muongoze dunia iijue na itamke juu ya Democrasia. Kulazimika kuboresha utawala bora na kudhibiti uenevu wa kisiasa.
Ubaya NI kwamba Uchina ilipiga hatua kuanzia 1980 baada ya kufata Utawala wa kimagharibi. Waliporuhusu vyama vingi, Uhuru wa kibiashara, Sekta binafsi kupewa nafasi, Uhuru wa vyombo vya habari Kisha wakaondolewa vikwazo na kuanza kutrade na Ulaya. Ila baada ya kukua kiuchumi shida imeanza alipoingia Raisi huyu mwenye uchu wa madaraka na yule Wa Russia. Wanataka Kuurudisha dunia nyuma miaka ya 1800 huko kwa fujo zote.
Demokrasia tuliyoamua kuifata NI ya kichina. Na ilianza China na Russia na Sasa inasambaa duniani. Ina sifa zifuatazo.
1. Inaruhusu vyama vingi. Ila chama tawala huongoza vyama vingine vidogo dogo na vyama vyote hutii na kutoikosoa Serikali. Hiyo ndio msingi wa utawala.(unaitwa upinzani wenye busara). Na wapinzani watiifu hupewa vitengo serikalini. NI Kama ilivyo Rwanda ndivyo ilivyo uchina. Kifupi hakuna mpinzani mwenye wazo la kuingia Ikulu.
2. Kukosoa utawala NI kosa la uhaini kiimani lkn haipo kisheria na lazma utashugulikiwa tu kwa mbinu yoyote. Mfano Russia viongozi wa upinzani Alexei Navalny kutwa hufungwa na kufunguliwa mashitaka mapya. Democrasia ya Magharibi huwaogopa Sana viongozi wa upinzani. Rwanda na uchina hao wapinzani wapinga Sera walishatokomezwa zamani wamebaki wachache huko hongkon(Sasa wa kushugulikiwa zaidi NI mkubwa wa upinzani)
3. Democrasia hii inaruhusu Uhuru wa kutoa maoni lkn haikupi uhakika wa kuwa salama baada ya kutoa maoni. NI ile aliyoiamini Gadafi na Idd Amini Dada.
4. Democrasia hii vitu vingi vya utawala NI Siri. Hutakiwi kuhojihoji Sana. Ata kesi na hukumu huendeshwa kwa Siri.
5. Democrasia inayotoa Uhuru wa kupiga kura na sio Uhuru wa kuhesa na kupata matokeo halali.
6. Democrasia hii Bunge lipo Kama kivuli na utekeleza matakwa ya chama tawala bila kuhoji Wala kupinga.(tujifunze kupitia bunge la China. Ndilo huamua karibu kilakitu lkn haliko huru na limeshikwa na uongozi)
7. Kuwa tajili kupita kiasi kunahatarisha usalama wa nchi. Hapa wachina walitutumia sisi kuijaribishia Sera hii. Tukawabinya matajili. Na Sasa wao wameanza kuwapa kibano matajili hao.
8. Democrasia inayothibiti vilivyo mitandao ya kijamii na vyombo vya habari vinavyoleta chokochoko.
9. Hii Democrasia utawala uongozwa na ushawishi wa uchina zaidi.
Kuipinga Aina hii ya Democrasia msiipinge kwa ndani tu mtaishA. Muongoze dunia iijue na itamke juu ya Democrasia. Kulazimika kuboresha utawala bora na kudhibiti uenevu wa kisiasa.