eliasmisinzo
JF-Expert Member
- Aug 13, 2021
- 1,259
- 1,321
Na UDP ya Cheyo!Tokea miaka ya 80' sema vyote NI Kama TLP. NI kusifu na kuabudu chama kikuu kinachotawala na Kisha kupewa nafasi ya kula keki ya Taifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na UDP ya Cheyo!Tokea miaka ya 80' sema vyote NI Kama TLP. NI kusifu na kuabudu chama kikuu kinachotawala na Kisha kupewa nafasi ya kula keki ya Taifa
Marekani ipi unayoizungumzia wewe. Soma historia acha kuropoka tu.Hata Marekani hawakua na na Demokrsasia hii ya sasa huko nyuma, walikua na Demokrsasia ya Uchina mpaka nchi yao ilivyokua kiuchumi na kutengeneza mifumo yote ndio wakaleta Demokrsasia ya sasa ya kubadilishana Madaraka
Uchina ilipiga hatua kuanzia 1980 baada ya kufata Utawala wa kimagharibi. Waliporuhusu vyama vingi, Uhuru wa kibiashara, Sekta binafsi kupewa nafasi, Uhuru wa vyombo vya habari Kisha wakaondolewa vikwazo na kuanza kutrade na Ulaya. Ila baada ya kukua kiuchumi shida imeanza alipoingia Raisi huyu mwenye uchu wa madaraka na yule Wa Russia. Wanataka Kuurudisha dunia nyuma miaka ya 1800 huko kwa fujo zote.Sioni ulinganifu na Uchina wa mambo mazuri isipokuwa mabaya tu? Mbona kama tumefuata siasa za China, nasi hatuendelei kama uChina?
Nadhani kuwa siasa zetu hazieleweki. Bado sio viongozi tu, hata wananchi - hatujui tunataka nini. Kwa sababu hiyo tumechagua kufuata kila kitu - cha kichina, kimagharibi, chetu wenyewe na cha mwingine yeyote!! Ndio sababu ya mkwamo huu!!
Muhimu demokrasia hiyo uliyoeleza iongozwe na strong man muadilifu mwenye correct vision kuhusu maendeleo ya umma wa wananchi. Ina maana serikali iweze kudhibiti sekta binafsi na ile ya umma kusababisha umma wa raia kupata maendeleo kijamii na kiuchumi.Nilishaandika maandiko mengi juu ya fikra za watawala wetu na Demokrasia tunayoiamini..
Ubaya NI kwamba Uchina ilipiga hatua kuanzia 1980 baada ya kufata Utawala wa kimagharibi. Waliporuhusu vyama vingi, Uhuru wa kibiashara, Sekta binafsi kupewa nafasi, Uhuru wa vyombo vya habari Kisha wakaondolewa vikwazo na kuanza kutrade na Ulaya. Ila baada ya kukua kiuchumi shida imeanza alipoingia Raisi huyu mwenye uchu wa madaraka na yule Wa Russia. Wanataka Kuurudisha dunia nyuma miaka ya 1800 huko kwa fujo zote.
Demokrasia tuliyoamua kuifata NI ya kichina. Na ilianza China na Russia na Sasa inasambaa duniani. Ina sifa zifuatazo.
1. Inaruhusu vyama vingi. Ila chama tawala huongoza vyama vingine vidogo dogo na vyama vyote hutii na kutoikosoa Serikali. Hiyo ndio msingi wa utawala.(unaitwa upinzani wenye busara). Na wapinzani watiifu hupewa vitengo serikalini. NI Kama ilivyo Rwanda ndivyo ilivyo uchina. Kifupi hakuna mpinzani mwenye wazo la kuingia Ikulu.
2. Kukosoa utawala NI kosa la uhaini kiimani lkn haipo kisheria na lazma utashugulikiwa tu kwa mbinu yoyote. Mfano Russia viongozi wa upinzani Alexei Navalny kutwa hufungwa na kufunguliwa mashitaka mapya. Democrasia ya Magharibi huwaogopa Sana viongozi wa upinzani. Rwanda na uchina hao wapinzani wapinga Sera walishatokomezwa zamani wamebaki wachache huko hongkon(Sasa wa kushugulikiwa zaidi NI mkubwa wa upinzani)
3. Democrasia hii inaruhusu Uhuru wa kutoa maoni lkn haikupi uhakika wa kuwa salama baada ya kutoa maoni. NI ile aliyoiamini Gadafi na Idd Amini Dada.
4. Democrasia hii vitu vingi vya utawala NI Siri. Hutakiwi kuhojihoji Sana. Ata kesi na hukumu huendeshwa kwa Siri.
5. Democrasia inayotoa Uhuru wa kupiga kura na sio Uhuru wa kuhesa na kupata matokeo halali.
6. Democrasia hii Bunge lipo Kama kivuli na utekeleza matakwa ya chama tawala bila kuhoji Wala kupinga.(tujifunze kupitia bunge la China. Ndilo huamua karibu kilakitu lkn haliko huru na limeshikwa na uongozi)
7. Kuwa tajili kupita kiasi kunahatarisha usalama wa nchi. Hapa wachina walitutumia sisi kuijaribishia Sera hii. Tukawabinya matajili. Na Sasa wao wameanza kuwapa kibano matajili hao.
8. Democrasia inayothibiti vilivyo mitandao ya kijamii na vyombo vya habari vinavyoleta chokochoko.
9. Hii Democrasia utawala uongozwa na ushawishi wa uchina zaidi.
Kuipinga Aina hii ya Democrasia msiipinge kwa ndani tu mtaishA. Muongoze dunia iijue na itamke juu ya Democrasia. Kulazimika kuboresha utawala bora na kudhibiti uenevu wa kisiasa.
Vinashauri haviwezi kushika dola. Chama kimoja tu cha kikomunisti ndio kimeshika dola na ndio kinapanga safu ya uongozi wote serikalini.China ina vyama vingi?
Kama hujasoma historia Basi ingia Google uone. Nilichokiandika kuhusu China ndicho. Kama ilivyo Rwanda. Ila bunge ndilo uunda serikaliChina kuna vyama vingi?
Una malaria?Unajua unachokiongea?
China kuna mwananchi yeyote bilioni 1.4 alishawahi kupiga kura kuchagua rais au mbunge wa nchi hiyo?
NEVER!
Stop this nonsense,unaongea kitu hukijui
Una malaria wewe
China hakuna vyama vingi,kuna chama Kimoja pekee yake
China hakuna uchaguzi mkuu kwa wananchi kuchagua rais wa nchi au wabunge
Wachina wanapiga kura mitaa yao na vitongoji vyao kuchagua muwakilishi wa mtaa wao tu...
Hakuna uchaguzi China
Get that in your stupid brain
Hujui unakiongea,kama umesoma Google soma tena,hujaelewa chochote
China haina vyama vingiTokea miaka ya 80' sema vyote NI Kama TLP. NI kusifu na kuabudu chama kikuu kinachotawala na Kisha kupewa nafasi ya kula keki ya Taifa
Umesoma history vizuri na kuielewa vizuri kongore kwako. Marekani umejengwa na fugitives kutoka ulaya na msingi mkubwa wa mafanikio yao ni katiba ambayo imetoa uhuru mkubwa wa mwanadamu kutia kipawa chake kujiletea maendeleo. Sisi hatuna democracy kabisa tuna udictator wa kishamba. People aSi kweli. Taifa la Marekani lilianzishwa na watu waliokimbia tawala za kidikteta za Kifalme za Ulaya. Wengi walikuwa ni wajasiriamali waliotaka fursa na uhuru mkubwa wa kufanya shughuli zao. Walipowasili Marekani walianza mapambano mapema kabisa kujihakikishia uhuru wa mtu binafsi, haki za binadamu, na demokrasia vinaongoza jamii zao.
Maendeleo ya kiuchumi kwao yalienda sambamba na harakati za kisiasa kwa vile walikuwa ni wajasiriamali walioamini katika uwezo wa kila mtu kufanya shughuli zake za kiuchumi kwa uhuru katika mfumo wa soko huria. Uchumi wa Marekani ulipaishwa na fursa kubwa za kiuchumi walizozikuta na uhuru mkubwa wa kufanya ujasiriamali tofauti na kibano cha udikteta kilichokuwepo ulaya.
Hata China, uchumi wao ulipaa katikati ya miaka ya 80 baada ya kulegeza kibano cha ukomunisti na kuruhusu uchumi wa soko huria kwa kiasi kikubwa. Uzuri tayari walikuwa mbali kwa misingi ya kiteknolojia jambo lililowavutia wawekezaji wakubwa toka Marekani na Ulaya.
Kupitia uchaguzi uliopita umeona CCM inaamini kunamwananchi anaakili ya kuchagua kiongozi zaidi ya uongozi wenyewe wa CCM. Kura zinapigwa kwa fashion na ndiko tunakokutakaMkuu
Hakuna vyama vingi
Chama ambacho hakipingwi na vyama vingine sio vyama vingi ni single party supremacy
Get that in your head
Vyama vyote ulivyotaja hapo havitambuliwi na serikali,hakuna chama kingine cha siasa china ukiacha CCP.
Usituletee vyama "dhania" eti ndio vyama rasmi vya kisiasa rasmi vinavyopambana na CCP,unageuka unasema haviruhusiwi kupingana na CCP,then unaita "vyama vingi"?
Inachofanya China ni tofauti na bunge kuunda serikali,sio parliamentary democracy
Hakuna mwanadamu yeyote China anachaguliwa kwa uchaguzi mkuu China.
China infact hakuna mambo ya kura,ni balozi wa nyumba kumi kumi wananchi wa hizo nyumba kumi wanamchagua kusimamia kamtaa kao,basi.
Hakuna kupiga kura CHina.
CCP inaundwa na group la Wachina waliojichagua wao kwa utashi wao kutawala watu bilioni 1.4 kwa lazima....CCP inaamini wananchi bilioni 1.4 hawana akili ya kuchagua kiongozi bora,wao waliomo ndani ya CCP ndio wana akili na utashi huo
Na wapo na tafsiri yao tuMadikteta awataki kabisa kusikia kuhusu demokrasia
Mi nimeuliza kupitia uchaguzi wa Aina hiyo wananchi wanAhezhimiwa maamuzi yao na utawala. Huioni nguvu ya Viongozi wa CCM kwenye kilakitu kama ilivyo kwa CCP?Mkuu
Unaongelea WIZI wa kura?
Huo ni WIZI wala sio mfumo legal....
Au uniambie ni mfumo wa wizi tupo which ni kwamba ni mfumo wa mahayawani...CCM ni mahayawani
Tawala nazo huangushwaHaitawafaa nyie NI Nani. Inaufaa utawala