Hii ndio aina ya Demokrasia yetu ya kichina, wapinzani wakiilazimisha ya kimagharibi watatumia

Sioni ulinganifu na Uchina wa mambo mazuri isipokuwa mabaya tu? Mbona kama tumefuata siasa za China, nasi hatuendelei kama uChina?

Nadhani kuwa siasa zetu hazieleweki. Bado sio viongozi tu, hata wananchi - hatujui tunataka nini. Kwa sababu hiyo tumechagua kufuata kila kitu - cha kichina, kimagharibi, chetu wenyewe na cha mwingine yeyote!! Ndio sababu ya mkwamo huu!!
 
Hata Marekani hawakua na na Demokrsasia hii ya sasa huko nyuma, walikua na Demokrsasia ya Uchina mpaka nchi yao ilivyokua kiuchumi na kutengeneza mifumo yote ndio wakaleta Demokrsasia ya sasa ya kubadilishana Madaraka
Marekani ipi unayoizungumzia wewe. Soma historia acha kuropoka tu.
 
Uchina ilipiga hatua kuanzia 1980 baada ya kufata Utawala wa kimagharibi. Waliporuhusu vyama vingi, Uhuru wa kibiashara, Sekta binafsi kupewa nafasi, Uhuru wa vyombo vya habari Kisha wakaondolewa vikwazo na kuanza kutrade na Ulaya. Ila baada ya kukua kiuchumi shida imeanza alipoingia Raisi huyu mwenye uchu wa madaraka na yule Wa Russia. Wanataka Kuurudisha dunia nyuma miaka ya 1800 huko kwa fujo zote.
 
Muhimu demokrasia hiyo uliyoeleza iongozwe na strong man muadilifu mwenye correct vision kuhusu maendeleo ya umma wa wananchi. Ina maana serikali iweze kudhibiti sekta binafsi na ile ya umma kusababisha umma wa raia kupata maendeleo kijamii na kiuchumi.
 
China kuna vyama vingi?

Una malaria?Unajua unachokiongea?

China kuna mwananchi yeyote bilioni 1.4 alishawahi kupiga kura kuchagua rais au mbunge wa nchi hiyo?

NEVER!

Stop this nonsense,unaongea kitu hukijui
Kama hujasoma historia Basi ingia Google uone. Nilichokiandika kuhusu China ndicho. Kama ilivyo Rwanda. Ila bunge ndilo uunda serikali
 

Usipaniki mkuu. Chama tawala China NI CCP. Nyuma Kuna vyama 8 vidogo. Ila vyama hivyo vya siasa havipingani na Serikali lkn hujitegemea. Yenyewe inajiita Ina vyama vingi Ila wanademocrasia huvikosoa na kuviona sio vyama haswa.

Vyama hivyo NI

Name
(abbreviation) Date founded Existed Location founded Members Current leader Official
website
Chinese Communist Party (CCP)
中国共产党(中共) 23 July 1921 100 years, 77 days Shanghai French Concession 89,450,000 General Secretary
Xi Jinping [8]
China Zhi Gong Party (CZGP)
中国致公党(致公党) 10 October 1925 95 years, 341 days Los Angeles, United States 48,000 Chairman
Prof. Wan Gang [9]
Chinese Peasants' and Workers' Democratic Party (CPWDP)
中国农工民主党(农工党) 9 August 1930 91 years, 38 days Shanghai, China 145,000 Chairman
Prof. Chen Zhu [10]
China Democratic League (CDL)
中国民主同盟(民盟) 19 March 1941 80 years, 181 days Chongqing, China 282,000 Chairman
Prof. Ding Zhongli [11]
Jiusan Society (JS)
九三学社 3 September 1945 76 years, 13 days Chongqing, China 167,218 Chairman
Prof. Wu Weihua [12]
China National Democratic Construction Association (CNDCA)
中国民主建国会(民建) 16 December 1945 75 years, 274 days Chongqing, China 170,000 Chairman
Prof. Hao Mingjin [13]
China Association for Promoting Democracy (CAPD)
中国民主促进会(民进) 30 December 1945 75 years, 260 days Shanghai, China 156,808 Chairman
Prof. Cai Dafeng [14]
Taiwan Democratic Self-Government League (TDSGL)
台湾民主自治同盟(台盟) 12 November 1947 73 years, 308 days British Hong Kong 3,000 Chairwoman
Su Hui [15]
Revolutionary Committee of the Chinese Kuomintang (RCCK)
Twende kwa fact. Usitukane burree.

Na swala la bunge kuunda Serikali nimelisema hapo juu. Shida Nini Kaka.
 
Umesoma history vizuri na kuielewa vizuri kongore kwako. Marekani umejengwa na fugitives kutoka ulaya na msingi mkubwa wa mafanikio yao ni katiba ambayo imetoa uhuru mkubwa wa mwanadamu kutia kipawa chake kujiletea maendeleo. Sisi hatuna democracy kabisa tuna udictator wa kishamba. People a
 
I read you shemrji William Mshumbusi .
Vyama vya upinzani viwe Kama
UDP
TLP
NCCR
Kama Cha yule msukuma anayeongeaga kiswahili kizuri alikuaga mwenyekiti wa ccm wazazi.
ACT
CUF
Ambao every now and then wanatupiwa mfupa na CCM.
 
Kupitia uchaguzi uliopita umeona CCM inaamini kunamwananchi anaakili ya kuchagua kiongozi zaidi ya uongozi wenyewe wa CCM. Kura zinapigwa kwa fashion na ndiko tunakokutaka
 
Madikteta awataki kabisa kusikia kuhusu demokrasia
 
Mkuu

Unaongelea WIZI wa kura?

Huo ni WIZI wala sio mfumo legal....

Au uniambie ni mfumo wa wizi tupo which ni kwamba ni mfumo wa mahayawani...CCM ni mahayawani
Mi nimeuliza kupitia uchaguzi wa Aina hiyo wananchi wanAhezhimiwa maamuzi yao na utawala. Huioni nguvu ya Viongozi wa CCM kwenye kilakitu kama ilivyo kwa CCP?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…