Hii ndio benzi mpya ya Uwoya

Papuchi plus u Mule unalipa kwa kweli!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 

mtanzania mwenye utajiri wa hajabu mike mziray mdogo wa mtanzania mwenye utajiri wa hajabu richard mziray mume wa queen mwenye utajiri wa hajabu cynthia masasi kamuuzia uwoya gari la hajabu kwa bei ya hajabu!!! Halafu mi hapa nalialia na kodi ya line za simu.
Kweli kuna wananchi na wenyenchi.
 

Hata mimi nilijiuliza lkn, jibu nilipat kwa masogange!!
 
Gali jipya Mbona reg namba ya zamani. Kuna muuza unga Kampa ili amle uroda kwa muda

big up...mkuu una macho, sikuiona hiyo.....gari mpya zinaanza na namba C.... kwenda mbele, hiyo BV... ni gari ya longtime kwenye 2011 huko au mapema 2012!!!
 
Heee ahsante !!!
Aksante kwa kunijibia,,,,,...............mwambie tena ni sili hapa BONGO PAONE HIVIHIVI kuna wamama wengi waliofiwa na wume au wengine hawakupata bahati ya kuwa na mwenza wa maisha ila alhamdulilahhi mambo YA PESA YAPO! mana wanasema hunyimwi ki
la kitu ndo haoooooooooooo wanaokuja kuwakaba mahandisamu boy wa mji na kwa vile wengi hamjui mnadhani ni SANAAA! haya jamani tupo baadaye!
 



Hajabu* ---- Ajabu
 
Nimeshawahi kushuhudia uwoya anahongwa milioni 5 live mwanza
 
Wasanii wa kiume hawajawezeshwa! Wakiwezeshwa kama akina uwoya watatoka tuu!
 

Huyo mtoto wa marehemu mzee mziray na agnes atakua amefulia...wamerudi tanzania bila kupenda....so km huna kazi na unatumia tu hela unategemea nini....ni nawafahamu sanaaa ila nyodo ss .....uwiiiii
 
Huyo mtoto wa marehemu mzee mziray na agnes atakua amefulia...wamerudi tanzania bila kupenda....so km huna kazi na unatumia tu hela unategemea nini....ni nawafahamu sanaaa ila nyodo ss .....uwiiiii

Inawezekana amefulia lakini hata ilo benzi lenyewe nilijaribu kulifatilia limechoka kweli nadhani hata irene amepigwa engine ile sio ya benzi itakuwa ya cresta amenunua cover la nje tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…