Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
Umuofia kwenu wana JF,
Habari za chinichini zinasema mtanzania mdogo mwenye utajiri wa ajabu mike mziray ameuza gari yake ya kifahari aina ya Benz S500 kwa mrembo irene uwoya!
Je hii imekaaje Mike amefulia au kavuliwa kwa mkwanja mrefu? Au Irene Uwoya ameazima gari kuoshea town baada ya kuliwa uroda nje ndoa na diamond?
Mike Mziray ni mdogo wa Richard Mziray mtanzania mdogo mwenye utajiri wa hajabu ambae alifanya kufuru ya kufunga ndoa juu angani na super model international video queen cynthia masasi.
Swali dogo tu..hv msanii wa bongo muvi anapoenda Marekani,Ufaransa,SA eti kwa shughuli za kikazi,huwa wanaenda kutafuta soko la filamu,lokesheni au nafasi ya kucheza muvi hollywood au waenda kusoma? Chukua atua punda ni wengi,sio mpaka awe mnyama wa miguu 4
Sawa brother thimwambii mtu
Gali jipya Mbona reg namba ya zamani. Kuna muuza unga Kampa ili amle uroda kwa muda
Aksante kwa kunijibia,,,,,...............mwambie tena ni sili hapa BONGO PAONE HIVIHIVI kuna wamama wengi waliofiwa na wume au wengine hawakupata bahati ya kuwa na mwenza wa maisha ila alhamdulilahhi mambo YA PESA YAPO! mana wanasema hunyimwi kiHeee ahsante !!!
mtanzania mwenye utajiri wa hajabu mike mziray mdogo wa mtanzania mwenye utajiri wa hajabu richard mziray mume wa queen mwenye utajiri wa hajabu cynthia masasi kamuuzia uwoya gari la hajabu kwa bei ya hajabu!!! Halafu mi hapa nalialia na kodi ya line za simu.
Kweli kuna wananchi na wenyenchi.
Hajabu ni kuonyesha hakuna uajabu wowote wa huo utajiri wao. Aka being sarcastic.Hajabu* ---- Ajabu
Umuofia kwenu wana JF,
Habari za chinichini zinasema mtanzania mdogo mwenye utajiri wa ajabu mike mziray ameuza gari yake ya kifahari aina ya Benz S500 kwa mrembo irene uwoya!
Je hii imekaaje Mike amefulia au kavuliwa kwa mkwanja mrefu? Au Irene Uwoya ameazima gari kuoshea town baada ya kuliwa uroda nje ndoa na diamond?
Mike Mziray ni mdogo wa Richard Mziray mtanzania mdogo mwenye utajiri wa hajabu ambae alifanya kufuru ya kufunga ndoa juu angani na super model international video queen cynthia masasi.
Huyo mtoto wa marehemu mzee mziray na agnes atakua amefulia...wamerudi tanzania bila kupenda....so km huna kazi na unatumia tu hela unategemea nini....ni nawafahamu sanaaa ila nyodo ss .....uwiiiii