Hii ndio CCM kimetoka chuma kimeingia chuma siyo kama CHADEMA kaondoka Dkt. Slaa imepoteza mwelekeo

Ni mpinzani gani ambaye hajawahi kuwa mwanachama Wa ccm,sema Tanzania kuna hazina ya viongozi.
 
Mkuu mbona nakuchukuliaga una akili kubwa tofauti na hiki ulichoandika hapa? Usijishushe kiasi hiki mkuu
 
Miradi mikubwa huanza kutengeneza faida baada ya miaka zaidi ya 10 bwashee!
Huu ujinga mnaambiwa na kina mtatiro naninyi mnakariri jinga sana! Haya mkurugenzi ATCL kwann hakusema haya ama ninyi mnajua kumzidi??
 
Mliimba sana mapambio na kukata mauno airport kumbe mnatupotezea mabilioni ya shilingi.
Na kama haitoshi mnatupa takwimu za waliofuatilia msiba kumbe ni takwimu za mihela uliyoipiga bandarini.
Jitahidini kuwa wepesi wa kutubu maana corona huwa haimpi mtu muda wa kutubu .
 
Chuma kilichotoka ndiyo hicho kimebainika kuleta hasara kubwa mno kwenye ATCL??
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Asipotumia Busara Itakuwa Aibu Sana
CAG Huu Ujasiri Kautoa Wapi πŸ™„πŸ˜ΆπŸ˜‘πŸ˜Ž
Anaumbua Awamu Ya Gwara πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜€πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜ƒ
 
UPUUZI MTUPU!!! Mbona mlipora uchaguzi kama Chadema imepoteza mwelekeo? Acha KUKURUPUKA Bwashee kuandika ujinga wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…