Hii ndio CCM kimetoka chuma kimeingia chuma siyo kama CHADEMA kaondoka Dkt. Slaa imepoteza mwelekeo

Hii ndio CCM kimetoka chuma kimeingia chuma siyo kama CHADEMA kaondoka Dkt. Slaa imepoteza mwelekeo

Kwanza niwatakie heri ya siku ya Bwana ya Matawi.

CCM ina hazina kubwa sana ya uongozi na katika hilo haina ushindani kabisa.

Kaondoka hayati Magufuli ameingia mama Samia moto ni ule ule tena unaelekea kuzidi.

Subirini huo ukaguzi wa hapo benki kuu wa fedha zilizotoka kuanzia January hadi March 2021 ndio mtajua CCM haina mambo ya kulindana kama wale watani zetu Chadema.

Nilitaka kusahau, pengo la Dr Slaa hapo Ufipa lingalipo hadi leo.

RIO Magufuli!
Isije ikawa nguvu ya soda.
 
Chadema iko imara siku zote..katiba mpya mbona hawataki
 
Ngona nifue fue manguo yangu kwanza niwahi haka ka jua kesho nisije kosa nguo za kuingia ofisini
 
Mmeanza kuruka ruka sasa[emoji1787]
 
Umetoka moto umekuja moto wa tipa.
Mama kapikwa akaiva.
 
Kwanza niwatakie heri ya siku ya Bwana ya Matawi.

CCM ina hazina kubwa sana ya uongozi na katika hilo haina ushindani kabisa.

Kaondoka hayati Magufuli ameingia mama Samia moto ni ule ule tena unaelekea kuzidi.

Subirini huo ukaguzi wa hapo benki kuu wa fedha zilizotoka kuanzia January hadi March 2021 ndio mtajua CCM haina mambo ya kulindana kama wale watani zetu Chadema.

Nilitaka kusahau, pengo la Dr Slaa hapo Ufipa lingalipo hadi leo.

RIO Magufuli!
Haya, tumeibiwa sana nchi hii.. ndo kauli kuu ya mtangulizi... HAYA ATCL HASARA, BANDARI HASARA... na bado kwingine.. Wa sasa naye atangaze kuibiwa as if aliyepita hakufanya lolote?
 
Umetoka moto umekuja moto wa tipa.
Mama kapikwa akaiva.
Mama very soon atathibitisha serikali ya meko ilikuwa ya kifisadi kuliko zota hapa Tanzania tangu tupate uhuru.
Majizi yalikuwa yanajificha kwenye kichaka cha uzalendo...
 
Kwanza niwatakie heri ya siku ya Bwana ya Matawi.

CCM ina hazina kubwa sana ya uongozi na katika hilo haina ushindani kabisa.

Kaondoka hayati Magufuli ameingia mama Samia moto ni ule ule tena unaelekea kuzidi.

Subirini huo ukaguzi wa hapo benki kuu wa fedha zilizotoka kuanzia January hadi March 2021 ndio mtajua CCM haina mambo ya kulindana kama wale watani zetu Chadema.

Nilitaka kusahau, pengo la Dr Slaa hapo Ufipa lingalipo hadi leo.

RIO Magufuli!
Wee! Tafuta "Wanzuki" baridi unywe upate akili.
 
Back
Top Bottom