imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Acheni kutuzugaCAG kesho yuko BOT bwashee.
CCM siyo ya mchezo mchezo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni kutuzugaCAG kesho yuko BOT bwashee.
CCM siyo ya mchezo mchezo!
Isije ikawa nguvu ya soda.Kwanza niwatakie heri ya siku ya Bwana ya Matawi.
CCM ina hazina kubwa sana ya uongozi na katika hilo haina ushindani kabisa.
Kaondoka hayati Magufuli ameingia mama Samia moto ni ule ule tena unaelekea kuzidi.
Subirini huo ukaguzi wa hapo benki kuu wa fedha zilizotoka kuanzia January hadi March 2021 ndio mtajua CCM haina mambo ya kulindana kama wale watani zetu Chadema.
Nilitaka kusahau, pengo la Dr Slaa hapo Ufipa lingalipo hadi leo.
RIO Magufuli!
Kudadeki, leo mnashangilia safu za sisiemu kufanya maamuzi magumu...Huyu mama kiboko huyo aliyemtumbua waliyotangulia walishindwa mtumbuaa wala kumgusa
Ova
Hilo la katiba, sahau kidogo mkuu. Hii nchi inatakiwa kuongozwa na chama cha siasa, sio genge la wanaharakati.Awamu ya Magufuli ilikuwa na Ufisadi wa kutisha
Sisi Chadema mambo ni yaleyale Katiba mpya Tume HURU
Kazi imeanza, shikilieni mabomba vizuri.Viongoz wengi wa ccm wanajua watz wengi coz n MASKINI sn hufurahia wakisikia flan kafutwa kaz...na ndo ilikuwaa kiki za hayat...huyu mama ajiepushe na kikombe hicho
Ngosha! hizo zama zinaenda kwishaHilo la katiba, sahau kidogo mkuu. Hii nchi inatakiwa kuongozwa na chama cha siasa, sio genge la wanaharakati.
Thubutu!Isije ikawa nguvu ya soda.
Haya, tumeibiwa sana nchi hii.. ndo kauli kuu ya mtangulizi... HAYA ATCL HASARA, BANDARI HASARA... na bado kwingine.. Wa sasa naye atangaze kuibiwa as if aliyepita hakufanya lolote?Kwanza niwatakie heri ya siku ya Bwana ya Matawi.
CCM ina hazina kubwa sana ya uongozi na katika hilo haina ushindani kabisa.
Kaondoka hayati Magufuli ameingia mama Samia moto ni ule ule tena unaelekea kuzidi.
Subirini huo ukaguzi wa hapo benki kuu wa fedha zilizotoka kuanzia January hadi March 2021 ndio mtajua CCM haina mambo ya kulindana kama wale watani zetu Chadema.
Nilitaka kusahau, pengo la Dr Slaa hapo Ufipa lingalipo hadi leo.
RIO Magufuli!
Acha kujifurahisha Bwashee we mwenyewe unajua aliyekuwa akimlinda pamoja na Mhasibu Mkuu hapo BandariniKakoko alikuwa anajilinda yeye mwenyewe bwashee!
Mama very soon atathibitisha serikali ya meko ilikuwa ya kifisadi kuliko zota hapa Tanzania tangu tupate uhuru.Umetoka moto umekuja moto wa tipa.
Mama kapikwa akaiva.
RIO Magufuli!
Yaani mataga wana shida sana. Leo wizi wao una fichuliwa bado wana jisifu..Wizi wote unafanyika kwenye mikono salama ya CCM
Wee! Tafuta "Wanzuki" baridi unywe upate akili.Kwanza niwatakie heri ya siku ya Bwana ya Matawi.
CCM ina hazina kubwa sana ya uongozi na katika hilo haina ushindani kabisa.
Kaondoka hayati Magufuli ameingia mama Samia moto ni ule ule tena unaelekea kuzidi.
Subirini huo ukaguzi wa hapo benki kuu wa fedha zilizotoka kuanzia January hadi March 2021 ndio mtajua CCM haina mambo ya kulindana kama wale watani zetu Chadema.
Nilitaka kusahau, pengo la Dr Slaa hapo Ufipa lingalipo hadi leo.
RIO Magufuli!
Kumejaa uozo huko balaaYaani mataga wana shida sana. Leo wizi wao una fichuliwa bado wana jisifu..