controler
JF-Expert Member
- Jul 3, 2012
- 1,562
- 361
Kilaza ni kilaza tu hata ukimpeleka marian boys ataishia kutaga
Una utani na Mwanaasha JMK?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kilaza ni kilaza tu hata ukimpeleka marian boys ataishia kutaga
jana alikuwapo chama na ritz naona leo ni zamu yako mkuu! pambana!!
Utetezi wa Nape kwa jazba jana ulimsababishia ban chama.jana alikuwapo chama na ritz naona leo ni zamu yako mkuu! pambana!!

Nape yuko juu ya mnyika ana masters mnyika hana
Hili linadhirisha jinsi alivyo kihiyo. Angemjibu Mnyika kwa hoja ingependeza sana! Nape hawezi kushindana na Mnyika hata kwa dawa!! To me Mnyika is the next level before Moses Nape. Huwezi kuwalinganisha hata kidogo. Simshabikii Mnyika, ila nimewa-evaluate wote ndo maana nikaja na hiyo observation.
Mbona thread ya elimu ya John Mnyika ipo bado. Kapost kule. Hapa ni Nape Nnauye.
Usijaribu kuipotezea mada hii. Nape O level na A level vipi? Alisoma wapi lini na alifaulu kiwango gani?
"Wanasayansi wanasema akili ya mwanadamu hapa tanzania hupimwa kwa matokeo ya Form Four"
MNYIKA VS NAPE, FORM FOUR RESULTS
NAPE NNAUYE
DIV IV-29
KISW D, HIST D, GEOG D, ENG F, B/MATH F, BIOL D, CHEM D, PHY D, CIV F
JOHN MNYIKA
DIV I-7
PHY A, CHEM A, BIOL A, CIV A, ENGL A, GEOG A, HIST A, B/MATH A, KISW A, B/KNOW A
MY TAKE: MNYIKA NI GINIAZI
NAPE AJIENDELEZ
tunaomba utuwekee hapo O-level alipata div ngapi?, A-level kapata div ngapi
halafu hapo BUTIMBA TTC alisoma kama private candidate au? maana kile ni chuo cha ualimu. na pale jirani kuna shhule moja ya kata (O-level) inaitwa butimba sec imepakana na geti la butimba TTC
Mi napenda tu kufahamu je kuna DIPLOMA YA MWAKA MMOJA?KAMA NDIO JE CERTIFICATE NI MUDA GANI?
ukiona mtu anahamahama shule ujue kuna tatizo.....aidha la kinidhamu au la walezi/wazazi........halafu hii haina qualifications za kuitwa cv........imekaa kama ukle wasifu wakati wa mazishi ya mtu!
Butimba Alevel?
Mi napenda tu kufahamu je kuna DIPLOMA YA MWAKA MMOJA?KAMA NDIO JE CERTIFICATE NI MUDA GANI?
MMh, Butimba TTC ilikuwa na high school? Hakikuwa chuo cha ualimu kile??
Anyway, hata uwe na Phd kama hamnazo za maisha hazimo tu.
Bangalore India? Huko ambako wana-register hata mwenye div 4 ya form 6 Bongo! Kweli si ajabu tuna viongozi wa ajabu. halafu akitoka huko naye anajidai ana degree! Jiulize kwa nini hiyo degree ya Kwanza hakuisomea Mzumbe. Jibu ni rahisi. Wakati huo hakuwa na credits za kupata admission Mzumbe!Matokeo ya Nape Nnauye ya Ordinary level secondary education ni Division TWO..,kwa anayetaka kujiridhisha anaweza ku-google mwenyewe NECTA matokeo ya Nsumba Secondary 1997. na hata kwa matokeo mengine pia ambayo Ni ya ndani ya Nchi na kuhusu matokeo ya chuo cha bangalore nayo yapo TCU.,ni jambo la kuuliza na kujibiwa.