Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

jana alikuwapo chama na ritz naona leo ni zamu yako mkuu! pambana!!

wapo off leo kuna mmoja wao anapendaga sana coke na sigara port. nimeshindwa kumgundua kati yao ni yupi.... mwenye kuwajua tafadhali.
 

"EDUCATED but UNLEARNED"
 
Mbona thread ya elimu ya John Mnyika ipo bado. Kapost kule. Hapa ni Nape Nnauye.

Usijaribu kuipotezea mada hii. Nape O level na A level vipi? Alisoma wapi lini na alifaulu kiwango gani?

Umeona eeh, CCM wagumu kuelewa sana aisee, Sijui hapa Mnjika kaingiaje yaani wanakimbia kivuli chao wenyewe
Utadhani Mnyika ni sehemu ya CV ya Nape
 






hapo kwenye red teh! teh! teh! teh! Kwi! Kwi!Kwi!Kwi!Kwi! LOL!!!!!
Kwenye hotuba sasa!!
 


hapo kwenye blue , o'level dv iv ya pointi 29 na A'level division 0
 
Mi napenda tu kufahamu je kuna DIPLOMA YA MWAKA MMOJA?KAMA NDIO JE CERTIFICATE NI MUDA GANI?
 
Kwa kuangalia elimu ya Nape na mtiririko wake, nimegundua kuwa Tanzania inaweza kuwa tena taifa linaloongoza kwa uongo duniani mbali na namba moja ya uchawi.
.
 
Wote mnaofuatilia uzi huu.

1. Watetezi wote wa Nape Nnauye wanakwepa habari ya Elimu ya Sekondari ya Nnauye.

2. Kutokana na kukosa habari hizo kuhusu Nape Nnauye, tunapata mashaka kama Nape Nnauye alifuzu kweli kidato cha nne na cha sita.

3. Kukosekana kwa maelezo hayo, kunaleta mashaka ya 'namna alivyopata sifa za kuendelea na masomo'.

4. Hili linaleta suala la uaminifu wa kiongozi. Je alitumia mbinu halali? kama ndivyo aziweke wazi. Kama sivyo basi huyu si safi. Tena ni aina mbaya sana na kubwa sana ya ufisadi. Kiongozi kuudanganya umma kuhusu elimu yake
 
ukiona mtu anahamahama shule ujue kuna tatizo.....aidha la kinidhamu au la walezi/wazazi........halafu hii haina qualifications za kuitwa cv........imekaa kama ukle wasifu wakati wa mazishi ya mtu!


itakuwa alikuwa hafikishi maksi/alama zinazomruhusu kuendelea kubaki kwenye shule husika.
 
Lini Phd itatangazwa hadharani? Ndio kipimo cha ujinga wetu sijui?
 
He is one lucky guy. Diploma ya Sayans ya Jamii,Diploma ya Diplomasia na Masters ya Utawala zote kasoma mwaka mmoja mmoja.

Anyways,hayana msingi haya coz aliesema sio Nape mwenye there4 not reliable. Pia tujadili mambo ya msingi tusiingie kwe mtego wa hawa wanaojaribu kutuhold kwe swala la elimu za watu tukaacha mambo yenye maslahi kwa Taifa.

1;watuambie kua hatuko salama na vyombo vyetu vya kiintelijensia vinaishia kwenye vitu vizito na vyenye ncha kali ila yanapokuja maswala mazito kwa usalama wa taifa tunahita FBI.
2;Vp kuhusu elimu kwa watoto na wadogo zetu?
3;Gesi mtwara hatma yake nini?
 
Bangalore India? Huko ambako wana-register hata mwenye div 4 ya form 6 Bongo! Kweli si ajabu tuna viongozi wa ajabu. halafu akitoka huko naye anajidai ana degree! Jiulize kwa nini hiyo degree ya Kwanza hakuisomea Mzumbe. Jibu ni rahisi. Wakati huo hakuwa na credits za kupata admission Mzumbe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…