Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye


Bg up umetufumbua macho na masikio
 

wewe unawehu kichwani unataka kutundanganya butimba TTC hakuna ujinga kama huu pelekea wehu wako huko
 
Mzumbe siku hizi imekuwa kama sekondary ya O level msimu unaanza january na kumalizika November. Masters ndoo wametangaza sasa maana yake kuanza ni July au August. Kwahiyo miaka miwili lazima iwe na calender year tatu. 2013-2015 hiyo ndiyo miaka miwili ya kitaaluma Tanzania.
MTOA UZI AMEVIMBIWA PILAU LA LUMUMBA
 
Reactions: FJM
Lazima Nape akubali ukweli kwamba alifeli Kidato cha sita na nne. Kama sio hivyo aweke vyeti . Hii elimu ya kijanja kijanja sijui kwanini alikuwa anatamba kwa Mnyika ambaye ana akili sana ukilinganisha na yeye
 
Elimu ya Nape haina mashaka wala maswali,elimu ya Mnyika pamoja na mbwembwe zote kaishia njiani.Lawama nyingi kwa serikali kwenye kujibu tuhuma kuwa hana degree.


Mingoi,

Mnyika, kwenye maelezo yake ametoa ufafanuzi wa kina kuhusu elimu yake, shule alizoma, matoke aliyopata na hata pale alipoamua kutoendelea na masomo ya juu. Hakuna mahali popote, sio kwenye mitandao au kwenye mikutano ambapo Mnyika ametoa taarifa ambazo si sahihi. Ameweka wazi kabisa kuwa hajamaliza masomo yake ya juu (Degree), na sababu ameeleza. Kwa maana hiyo wewe au mtu mwingine yoyote atakuwa sahihi akisema kuwa Mnyika ni University drop-out.

Tofauti na Mnyika ambaye aliweka maelezo yake hapa mtandaoni yeye mwenyewe, maelezo ya Nape, yameletwa hayaletwa na Nape mwenywe, kwa maana kwamba ID iliyotumika si jina la Nape. Hata hivyo, masaa mengi yamepita sasa (zaidi ya masaa 5) tangu maelezo ya elimu ya Nape yawekwe JF na hakuna ama kanusho au uthibitisho kuwa tunachosoma ni kweli mealezo ya elimu ya Nape.

Hivyo basi, ingekuwa vema kwa Nape mwenyewe kujitokeza na kukanusha au kuthibitisha maelezo yaliyowekwa ili kutoa mwanya mzuri kwa watu wanaopenda kuchambua elimu za hawa Makatibu waenezi.

Kuna vitu muhimu vya kujadili kutokana na maelezo tuliyopata toka kwa Mnyika na huyu aliyetoa elimu ya Nape. Mfano, mfumo wa elimu unavyowasaidi au kuwatelekeza watoto wenye uwezo wa kusoma, uhakiki wa mithini na uvujaji wa mitahani. Lakini pia uhalali wa kusoma kwa kutumia jina la mtu mwingine, kujiunga na masomo bila ya kutimiza vigezo vilivyowekwa.

Nimalizie tu kuna harufu ya makosa ya jinai hapa lakini kama nilivyosema, ni vema Nape angethibitisha au angekanusha taarifa ya (supposedly) elimu yake iliyowekwa hapa ili watu wajadili kwa haki.
 
Mimi nape nauye simfagilii wala kumpenda, lakini wanasema waswahili mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni.

Katika chuo ambacho nape kasoma in india ndicho ambacho hata mimi nilisoma, kinaitwa acharya institute of graduate studies, na ni one of the best university in bangalore india, ranked in top 20.

So kwa hilo umemuonea nape hakugushi cheti chake cha chuo
 
Kama Chanzo cha habari hii ni Tandale One , basi ukweli ni utata mtupu , Haaminiki ! Mbona Nape mwenyewe yuko hai , Why Tandale One ?
 

Anybody can write a summary.
What you have done you have written a summary and not matokeo yake halisi.
Ye alianza kum attack JJ na kwa bahati nzuri hapa jamvini watu wanamjua wakaamua kuweka ukweli wanaoujua wao alifaulu vipi. Sasa kama unaweza labda na wewe uweke kinaga ubaga alifaulu kwa viwango gani Sekondari zake mbili (O level na A level)
 
Ha ha ahaaaaaaa unatafuta aibu wewe, kwa taarifa yako nina first class with honor.....na sijasoma BBA ya jioni na wala siajaunga unga. weka ya kwako ya kupewa zawadi ya c...hu....p

So what? Who doen'ts I got cash also with nice family. But is non of ur bussines so is ur first class who knows you by da way?
 
Nape hawezi kuonekana hapa maana hana vingezo vyote na majibu ya maswali tuliyomuuliza kwa kifupi tunasumbua akili tu ccm ndio walivyo yaani walio na elimu za ukweli ni wachache na hata walionazo zimekufa angalieni maprofessor na ma Dr. walioko ndani ya ccm hakuna kabisa yaani ni sawa na std 7
 

hii VODAFASTA YA NINI?
 
Elimu haina mwisho Chadema andaeni mkakati wa kuwakumbusha viongozi wenu kujiendeleza kielimu.
 

Kweli nimekubali, ndani ya maccm kuna misomi ya nguvu!! sasa ndugu yangu tunaomba ututupie matokeo yake basi, sio tu unatuwekea vitu ambavyo havijadadavuliwa. Halafu wanajamvi labda mie sielewi, naomba mnijulishe, hivi Butimba TTC ni chuo cha ualimu au ni Shule ya sekondari?? nauliza tu jamani. Halafu naombeni maana ya thesis, labda mie uelewa wangu kidogo una mushkeli. Ni hayo tu jamani ili nijiridhishe na usomi wa huyu Promoter wa chama chetu cha CHADEMA
 
Kwakweli hata mimi sijaelewa maana nijuavyo mimi kuwa kile ni Chuo cha Ualimu sijui labda wadau wa maeneo hayo watusaidie
 
Kuna tofauti kubwa kati ya kusoma na kuelimika! Tujiulize, anaweza kuwa amesoma; je ameelimika? Kuelimika kwake kutaonekana kwa matendo yake na maneno anayoongea!
 
Ukiangalia English alipata F, Civics is all about english, kwa hiyo ilikuwa lazima apate mzinga wa Civics, pia utakuta na degree zake ka soma kwa correspondece.
 

Nape alisomaje elimu ya juu ya sekondari(A level) kwenye Chuo cha Ualimu Butimba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…