...
NB: Ndugu Nape Nnauye akiwa Kivukoni aliandika "thesis" iliyohusu ; VIKWAZO VINAVYOZUIA VIJANA KUSHIRIKI KATIKA SIASA. Na pia akiwa Mzumbe University aliandika kuhusu ; SABABU ZINAZOCHANGIA USHIRIKI WA WAPIGAKURA (ni ipi sababu ya kutojitokeza wapigakura siku ya Kura)
Huku hakuna Ngudu Seco wala A level ya Butimba TTC
kwani hakuna watu waliosoma nae watusaidie kwa hili?
shityy CV, ndomana watu wanakichukia chama cha mapinduzi, jitu likiwa na "sauti kubwa" tu linapata wadhifa. Hivi kwa CV mlioitaja hapo inafaa kumpa mtu ukatibu mkuu wa chama chenye wanachama zaidi ya milion 5? elimu yenyewe kaunga unga...kuna certificate hapo imefichwa au imeandikwa kama diploma ( mfumo wa elimu ya bongo unajulikana bana). Hiki chama kingejipendekeza kwa vijana wenye elimu zao ( wapo vijana wana phd yani hata miaka 40 hawajafikisha, doctorate zao zinahusu masuala ya siasa nawajua wengi ) wakakisaidia chama kupanga mikakati kuliko kuweka mijitu yenye sauti kubwa bila vitu kichwani...kama unabisha hilo jamaa sio ubuyu, fanya survey ya watu wangapi ambao sio wanachama wa CCM hua wanamsikiliza akiwa na interview kwene luninga ujionee mwenyewe.
Chadema kachama kadogo hakana hata historia ndefu, plus kuna kuna udikteta wa wazi kabisa ( mf: ni wakati zitto alipotaka kugombea uenyekiti akaghairisha dhamiri kwakua walimsihi ni jambo la mapema sana pia dokta slaa kugombea Uraisi akiwa tu ni Katibu mkuu huku Mwenyekiti wa chama ni mbunge )...Kwahiyo kupima madhaifu ya chadema ili kujustify ubovu wa CCM sio sawa, Chadema sio level ya CCMKwa Cv ya mbowe je alifaa kupewa uenyekiti CHADEMA???
Mi form 4 nilipata division 4 ya 31 mwaka 1990 lakini sasaivi nina gari 3.gesthouse 4.na nina kampuni yangu nime ajiri watu kibao na wenye digrii za first class 3.maisha na matokeo tofauti katika dunia hii.
Good for you, ila huna vigezo vya kuongozaMi form 4 nilipata division 4 ya 31 mwaka 1990 lakini sasaivi nina gari 3.gesthouse 4.na nina kampuni yangu nime ajiri watu kibao na wenye digrii za first class 3.maisha na matokeo tofauti katika dunia hii.
Tuna wasomi wengi wenye elimu za kutisha, mifano kama ya akina prof muhongo, lakini elimu zao hizo hazilinufaisha taifa hili zaidi ya matumbo yao na familia zao. kama hiyo haina manufaa kwa nchi, kwangu mimi ni USELESS, NI KAMA MTU AMBAYE HAKWENDA SHULE TU.
Nazungumzia 'application' ya hizo CV zao, hazina tija kwa Mama Tanganyika...!
shityy CV, ndomana watu wanakichukia chama cha mapinduzi, jitu likiwa na "sauti kubwa" tu linapata wadhifa. Hivi kwa CV mlioitaja hapo inafaa kumpa mtu ukatibu mkuu wa chama chenye wanachama zaidi ya milion 5? elimu yenyewe kaunga unga...kuna certificate hapo imefichwa au imeandikwa kama diploma ( mfumo wa elimu ya bongo unajulikana bana). Hiki chama kingejipendekeza kwa vijana wenye elimu zao ( wapo vijana wana phd yani hata miaka 40 hawajafikisha, doctorate zao zinahusu masuala ya siasa nawajua wengi ) wakakisaidia chama kupanga mikakati kuliko kuweka mijitu yenye sauti kubwa bila vitu kichwani...kama unabisha hilo jamaa sio ubuyu, fanya survey ya watu wangapi ambao sio wanachama wa CCM hua wanamsikiliza akiwa na interview kwene luninga ujionee mwenyewe.
prof.muhongo is doing a good job believe me;bahati mbaya tu anafanya kazi katika nchi ambayo uwezo wa kufikiri wa watu wake ni mdogo sana,huwezi kumwelewa
HAPO KWENYE RED....BUTIMBA TTC SI CHUO CHA UALIMU JAMAN...AU TUSEME BUTIMBA TTC SECONDARY SCHOOL?..
kajipange upya urudi tena na kiwango cha ufaulu kwa kila level hasa hasa sekondari
Vipi hiyo masters naskia alilazimisha na kumtishia supervisor wake pale mzumbe kampani ya dar! Je habari hizi ni za kweli?Kumekuwepo na habari ambayo inavumishwa katika mitandao ya kijamii hasa hapa Jamiiforums kuhusu Elimu ya Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikati na Uenezi, Ndugu Nape Moses Nnauye. Taarifa hiyo kwa kiasi kikubwa inapotosha na kueleza yale ambayo si sahihi kuhusiana na CV ya Kiongozi huyo wa Chama cha Mapinduzi; Kutokana na Hilo, nimeona ni jambo la busara kuwasaidia wanajamvi kwa kuwapa CV iliyo sahihi ya Nape Moses Nnauye kama ifuatavyo;
NB: Ndugu Nape Nnauye akiwa Kivukoni aliandika thesis iliyohusu ; VIKWAZO VINAVYOZUIA VIJANA KUSHIRIKI KATIKA SIASA. Na pia akiwa Mzumbe University aliandika kuhusu ; SABABU ZINAZOCHANGIA USHIRIKI WA WAPIGAKURA (ni ipi sababu ya kutojitokeza wapigakura siku ya Kura)
- Kati ya mwaka 1987-1989 alianza elimu yake ya msingi katika shule ya Msingi Mwanga-iliyopo Iramba Singida (ambapo alianza darasa la 1 mpaka 3)
- Mwaka 1989-1993 aliendelea na kumalizia elimu ya msingi katika shule ya Bukumbi iliyopo misungwi Mwanza.(ambako alikuwa ni kati ya wanafunzi watatu 3 kati ya 120 waliochaguliwa sekondari.
- Mwaka 1994-1995 alianza elimu ya Sekondari katika shule ya kutwa ya Ngudu Sekondari.(ambapo alisoma kidato cha kwanza mpaka cha pili)
- Mwaka 1995-1997 aliendelea na elimu ya sekondari katika shule ya Bweni ya Sekondari Nsumba iliyopo Mwanza (ambapo aliendelea kidato cha pili mpaka cha nne)
- Mwaka 1998-2000 alisoma elimu ya juu ya sekondari (advanced level), mchepuo wa EGM na kuhitimu Butimba TTC
- Mwaka 2001-2002 alisoma Diploma ya sayansi ya jamii katika Chuo Cha sayansi ya Jamii-Kivukoni.
- Mwaka 2002-2003 alisomea Diploma ya Diplomasia na uhusiano wa Kimataifa Chuo cha Diplomasia Dar es salaam.
- Mwaka 2005-2008 alisomea digrii ya Saikolojia, Lugha na Habari katika Chuo Kikuu cha Bangalore-India
- Mwaka 2009-2010 alisoma digrii ya pili ya utawala (Masters in Public Administration-MPA) katika chuo cha Mzumbe.
...........
NB: Ndugu Nape Nnauye akiwa Kivukoni aliandika thesis iliyohusu ; VIKWAZO VINAVYOZUIA VIJANA KUSHIRIKI KATIKA SIASA. Na pia akiwa Mzumbe University aliandika kuhusu ; SABABU ZINAZOCHANGIA USHIRIKI WA WAPIGAKURA (ni ipi sababu ya kutojitokeza wapigakura siku ya Kura)
- Mwaka 1994-1995 alianza elimu ya Sekondari katika shule ya kutwa ya Ngudu Sekondari.(ambapo alisoma kidato cha kwanza mpaka cha pili)
- Mwaka 1995-1997 aliendelea na elimu ya sekondari katika shule ya Bweni ya Sekondari Nsumba iliyopo Mwanza (ambapo aliendelea kidato cha pili mpaka cha nne)
- Mwaka 1998-2000 alisoma elimu ya juu ya sekondari (advanced level), mchepuo wa EGM na kuhitimu Butimba TTC
- Mwaka 2001-2002 alisoma Diploma ya sayansi ya jamii katika Chuo Cha sayansi ya Jamii-Kivukoni.
- Mwaka 2002-2003 alisomea Diploma ya Diplomasia na uhusiano wa Kimataifa Chuo cha Diplomasia Dar es salaam.
- Mwaka 2005-2008 alisomea digrii ya Saikolojia, Lugha na Habari katika Chuo Kikuu cha Bangalore-India
- Mwaka 2009-2010 alisoma digrii ya pili ya utawala (Masters in Public Administration-MPA) katika chuo cha Mzumbe.
Sasa hiyo elimu yake mbona hatuioni jukwaani?mbona anaongea madudu tu......apite hivi
Mi form 4 nilipata division 4 ya 31 mwaka 1990 lakini sasaivi nina gari 3.gesthouse 4.na nina kampuni yangu nime ajiri watu kibao na wenye digrii za first class 3.maisha na matokeo tofauti katika dunia hii.