Kumbe we unadhani elimu ni kwa ajili ya kununua magari na kujenga hizo unazoita gesthouse. Hapana! Kwani changu doa hawana magari? Mashoga hawana guesthouse?
Huelewi maana ya elimu. Elimu ni vazi la akili. Hapo ulipo, nakuhakikishia akili yako iko uchi
Mashoga na Machangudoa wenye digrii wao akili zao zimevaa nini?