Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye


Mashoga na Machangudoa wenye digrii wao akili zao zimevaa nini?
 
MMh, Butimba TTC ilikuwa na high school? Hakikuwa chuo cha ualimu kile??
Anyway, hata uwe na Phd kama hamnazo za maisha hazimo tu.

hapa ndo nimebaki mdomo wazi, butimba ttc kusomea egm? najiuliza butimba waliwai kusomesha mchepuo huo
 
Mbona kama wasifu wa marehemu?
 
Hatuitaji Wizara yenyewe aliyopewa haiitaji taaluma. Mwacheni akapambane na Sugu anakungoja kwa hamu
 
Sasa kwa kuwa ni waziri hebu jina lake aliandike vizuri aache kuliandika au kulitamka isivyo au kama halipendi jina lake halisi basi angetafuta jina jengine kuliko kulifupisha.... Wengine huwa tunalikosea na kumuita Nepi..
 

Dvs gani?
 
Kumbe!!! Na mtu unajiita msomi, yaaan mtu unakomaa na Elimu ya Kakiko, Luhanga, Mvungi, Chambega .....halafu unasikia wenzio wanakula kuku kwa mriija kilaiiini!
 
hapa ndo nimebaki mdomo wazi, butimba ttc kusomea egm? najiuliza butimba waliwai kusomesha mchepuo huo

Butimba TTC ni kituo cha mtihani kwa watahiniwa wa kujitegemea, yawezekana alikuwa ni mtahiniwa wa kujitegemea
 

Kwani Butimba TTC iliwahi kutoa mchepuko wa EGM?
 
Butimba TTC ni kituo cha mtihani kwa watahiniwa wa kujitegemea, yawezekana alikuwa ni mtahiniwa wa kujitegemea

Kama o level alipata div four 29 ni wakati gani aliriti masomo ya kidato cha nne na alifaulu kwa alama gani pia alisoma form five wakati gani na wapi? na alipata ngapi? Naona contradiction tu hapa
 
?????? 1998-2000 Alisoma advanced kevel Mchepuo wa EGM na kuhitimu Butimba TTC... GORI lingine la mkono hilo.
 
Za kuunga unga, ndo zinaendesha nchi,,, tutatambaa saana kufikia maendeleo. Hii haina tofauti na ya kamanda mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…