Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

Ilíkuwa 2013! Bon Yai leo kaliamsha uko X
 
Usomi ni pamoja na Matokeo ya Form Four na Form six mbona hamjatoa?

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
safi nape kumbe ni msomi mzuri tu.
Yeah! Ni msomi mzuri tu na taarifa yake kwa kiasi kikubwa sana ni sahihi. Kwa kusoma Shule ya Msingi Bukumbi alisoma na Shemeji zangu. Kwa Ngudu Sekondari amesoma darasa Moja na mtumishi mwenzangu. Nakumbuka huyu mtumishi mwenzangu akiniambia siku moja wako shuleni pale Ngudu Sekondari, ikaja Land Rover ya CCM Mkoa wa Mwanza ikamchukua Nape na kumpeleka Nsumba Sekondari.
 
Nimesoma tu paragraph 2 nikagundua kosa la umri nkaachana nayo, hivi mtu aliyezaliwa mwaka 1977 Leo hii unaweazake kusema ana umri wa miaka 39, uchawa uliopitiliza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…