kiwango cha elimu ya mnyika ni kipi???? wangapi tunawajua walikuja mlimani na one za 3 wakaishia ku disco
TandaleOne ndugu Nnauye Jr pale mzumbe amesoma mara moja au mbili? Ninavyofahamu mimi na niko shule unapoma Master Dessertation yako inatakiwa ufanye kwenye "elective modules" ulizochagua mfano kama alichagua say "Human Resources" angefanya kwenye hiyo eneo au kama ni "Marketing" angefanya kwenye hilo eneo. Labda kama elective yake ilikuwa ni "Political science" kitu ambacho sina uhakika kama inalandana na "Business Administration"
Mwanzo umesema "Mwaka 1998-2000 alisoma elimu ya juu ya sekondari (advanced level), mchepuo wa EGM na kuhitimu Butimba TTC" Sasa unasema alifanyia tu mtihani Butimba TTC kama center, swali je, hapo Butimba TTC kulikuwa na A Level ya EGM? kama kilikuwa kituo tu (center ya mtihani)je Nape alisoma shule gani ya A Level hapo Mwanza, kwa vile umesema hakupenda kuwa Boarding sasa tuambie kama alisoma Day Butimba TTC au shule ipi.BUTIMBA TTC ni chuo cha ualimu lakini ni center ya kufanyia mitihani kwa wanafunzi ambao hawako mashuleni.,na hili ni kwa sababu Mheshimiwa Nape hakuwa ameendelea na sekondari kwa mtindo wa Boarding School.,kwa kuwa hakupenda kuendelea kukaa boardingi hivyo aliyasoma masomo yake ya high level akiwa nyumbani na kisha kwenda chuoni hapo kufanya mtihani wa form six.
Matokeo ya Nsumba umeyaweka na ya Butimba TCC yako wapi sasa maana tumekosa Secondary inayoitwa ivo.
Mwaka 1998-2000 alisoma elimu ya juu ya sekondari (advanced level), mchepuo wa EGM na kuhitimu Butimba TTC (Nimesoma Mwanza kuanzia Primary,secondary,advanced level,BA na MA na kazi nipo Mza nakuhakikishia hakuna shule inayoitwa BUTIMBA TCC yenye Advanced Level kuna Butimba Secondary yenye O-Level pekee kaka nendeni mka edit CV yenu)
Unatoa majibu rahisi kwa maswli magumu,Topic umeianzisha mwenyewe halafu unaipindisha,si vizuri kumharibia mwenzako (Nape) Umesema hakupenda kukaa boarding kwani alichguliwa kenda shule gani advanced level.BUTIMBA TTC ni chuo cha ualimu lakini ni center ya kufanyia mitihani kwa wanafunzi ambao hawako mashuleni.,na hili ni kwa sababu Mheshimiwa Nape hakuwa ameendelea na sekondari kwa mtindo wa Boarding School.,kwa kuwa hakupenda kuendelea kukaa boardingi hivyo aliyasoma masomo yake ya high level akiwa nyumbani na kisha kwenda chuoni hapo kufanya mtihani wa form six.
- Mwaka 1995-1997 aliendelea na elimu ya sekondari katika shule ya Bweni ya Sekondari Nsumba iliyopo Mwanza (ambapo aliendelea kidato cha pili mpaka cha nne)
- Mwaka 1998-2000 alisoma elimu ya juu ya sekondari (advanced level), mchepuo wa EGM na kuhitimu Butimba TTC
Kama kuna mada ambayo Nape kashikwa pabaya ni hii ya elimu,Magamba wenzie sasa hivi wanachekelea jamaa anavyosulubiwa na wadau mpaka tujue mbivu na mbichi.BTW kwa nini huyu jamaa huwa anaazisha mijadala ambayo anajua fika hawezi kuhimili kibao kinapogeuziwa upande wake?
Ndugu yangu kwa hapo amemharibia kuliko alivofikiri.Akawadanganye huko Goba tena wale wasio jua kuhojikwa mjanja humpatiMwanzo umesema "Mwaka 1998-2000 alisoma elimu ya juu ya sekondari (advanced level), mchepuo wa EGM na kuhitimu Butimba TTC" Sasa unasema alifanyia tu mtihani Butimba TTC kama center, swali je, hapo Butimba TTC kulikuwa na A Level ya EGM? kama kilikuwa kituo tu (center ya mtihani)je Nape alisoma shule gani ya A Level hapo Mwanza, kwa vile umesema hakupenda kuwa Boarding sasa tuambie kama alisoma Day Butimba TTC au shule ipi.
Ushauri tu, kama hujui ukweli wa wapi Nape alisoma usijaribu kuutetea uongo utamharibia zaidi ya kumtengenezea.
Mwanzo umesema "Mwaka 1998-2000 alisoma elimu ya juu ya sekondari (advanced level), mchepuo wa EGM na kuhitimu Butimba TTC" Sasa unasema alifanyia tu mtihani Butimba TTC kama center, swali je, hapo Butimba TTC kulikuwa na A Level ya EGM? kama kilikuwa kituo tu (center ya mtihani)je Nape alisoma shule gani ya A Level hapo Mwanza, kwa vile umesema hakupenda kuwa Boarding sasa tuambie kama alisoma Day Butimba TTC au shule ipi.
Ushauri tu, kama hujui ukweli wa wapi Nape alisoma usijaribu kuutetea uongo utamharibia zaidi ya kumtengenezea.
Mbn hujatuandikia credit alizopata 4m 4 na six?Fanya hvyo 2jiridhidhe!
matokeo ya kidato cha nne ni sehemu muhimu sana ndani ya CV, mbona umeskip mkuu?
- Mwaka 1995-1997 aliendelea na elimu ya sekondari katika shule ya Bweni ya Sekondari Nsumba iliyopo Mwanza (ambapo aliendelea kidato cha pili mpaka cha nne)
Mtu aliyepata F ya math anasomaje EGM..?Tuanzie hapa form 4
NAPE NNAUYE
SEX M DIV IV PTS 29 KISW D HIST D GEOG D ENGL F B/MATH F BIOL D CHEM D PHY D CIV F
-----------------------
JOHN MNYIKA
SEX M DIV I PTS 7 PHY A CHEM A BIOL A CIV A ENGL A GEOG A HIST A B/MATH A KISW A B/KNOW A