Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

Kwajinsi ninavyomjua Nape.angekuwa amefaulu vizuri angekuja mbio kuja kuanika matokeo hapa.tena mimi nashauri yaandaliwe mashitaka ya JINAI kwa kuendelea na masomo ya chuo wakati amefanya udanganyifu wa elimu yake ya sekondari.ndio maana hata huna uwezo wa kutathmini impact ya post unazozilete humu.unatumia hii ID fake ili iwe rahisi kwako kuzikana hizi taarifa.why usijitokeze na ID yako?
 
Kumbe haka kajaa ka-@nape kamesomea usanii usanii, ndiyo maana kasanii sanii.
 
imefundishwa kuandika cv na mwalimu wangu wa Communication Skills miaka hiyo lakini kwa uelewa wangu hiyo sio cv haijakidhi viwango vya kuitwa cv labda tu google maana ya cv

maana ya cv ni maelezo binafsi ya mtu. sasa inategemea huko anakopeleka wanahitaji nini au ameiandaa kwa madhumuni gani. kwa kuwa post ilihusu sifa ya elimu tu ya NAPE dhidi ya Mnyika hakukuwa na maana ya kuanza kuelezea mambo mengine kama mahali alipozaliwa, umri, mwaka, wazazi wake, shughuli zake na mambo mengine
 
naona kama hii thread imewekwa kututoa nje ya mada kuhusu uozo wa elimu. Turudi kwenye mada za kujenga,elimu yetu
 
Mwaka 1998-2000 alisoma elimu ya juu ya sekondari (advanced level), mchepuo wa EGM na kuhitimu Butimba TTC

Nilisoma Butimba TTC primary school na mpaka leo sijawahi kujua kama pale kuna A level achilia mbali O level. Hapo nadhani mleta CV amechapia na kama hii sio sahihi, basi nina wasiwasi mengi sio sahihi kwenye hii CV.

Tiba
 
BUTIMBA TTC ni chuo cha ualimu lakini ni center ya kufanyia mitihani kwa wanafunzi ambao hawako mashuleni.,na hili ni kwa sababu Mheshimiwa Nape hakuwa ameendelea na sekondari kwa mtindo wa Boarding School.,kwa kuwa hakupenda kuendelea kukaa boardingi hivyo aliyasoma masomo yake ya high level akiwa nyumbani na kisha kwenda chuoni hapo kufanya mtihani wa form six.

Uongo wa karne...angekwenda boarding kwa qualification zipi?? Kusoma EGM kwa F ya Basic Mathematics?? Kwenda zako huko katafute wajinga wenzio hapa si mahala pake.
 
Wewe ndiye mleta mada usikimbie hoja kwa kuanzisha matusi. Ok, mimi ni mjinga sasa wewe mwelevu tuwekee credits za Nape za O'Level zilizomfanya asome EGM.

Weka za Mnyika za A'level
 
Mkuu,
Soma vizuri, hiyo ni Masters in Public Administration (MPA) na wala sio MBA kama ulivyoandika

TandaleOne Master of Business Administration na sababu zinazochangia ushiriki wa wapiga kura zina uhusiano gani? Angefanya "Reasons lead to poor performance of public corporations" hii kidogo ingelandana na hiyo master yake @Nnauye Jr
 
BUTIMBA TTC ni chuo cha ualimu lakini ni center ya kufanyia mitihani kwa wanafunzi ambao hawako mashuleni.,na hili ni kwa sababu Mheshimiwa Nape hakuwa ameendelea na sekondari kwa mtindo wa Boarding School.,kwa kuwa hakupenda kuendelea kukaa boardingi hivyo aliyasoma masomo yake ya high level akiwa nyumbani na kisha kwenda chuoni hapo kufanya mtihani wa form six.
Mkuu kuna tofauti kati ya Private candidate na Day scholar.

Unasema hakupenda kuendelea kukaa boarding, ndio maana alifanya mtihani kama private candidate, sasa hata hiyo shule aliyosoma ni ipi? maana Butimba ni kituo tu cha mtihani.
 
Te te te te Actually kwa Elimu ya Kamastaz na Elimu ya kuunga unga hapa kwetu bukoba hatuwezi kumtambulisha wala kumruhusu kujitambulisha mbele ya wageni hata kwenye birthday ya mwanangu KOKU, kwa elimu yake NAPE tutampatia PEPSI ya MOTO!

Infact kwa elimu yake ni sawa na ya House Girl wangu BYELA
 
mjinga kama wewe..,mtu aliyepata F ya math anasomaje EGM..?

Mjinga yeye au wewe unayetudanganya kuwa kasoma EGM huku ana mswaki wa hesabu?? au ndo wale wale form four filure?? I doubt. Uwezo wako wa kudangganya mdogo sana..
 
mmh, butimba ttc ilikuwa na high school? Hakikuwa chuo cha ualimu kile??
Anyway, hata uwe na phd kama hamnazo za maisha hazimo tu.
mnyika vs nape, form four results
nape nnauye
div iv-29
kisw d, hist d, geog d, eng f, b/math f, biol d, chem d, phy d, civ f

... John mnyika
div i-7
phy a, chem a, biol a, civ a, engl a, geog a, hist a, b/math a, kisw a, b/know a

my take: Mnyika ni giniazi
nape ajiendeleze
 
2pe matokeo yake ya olev na a level ili cv ikamilike

hata siku moja haijawahi kutokea matokeo ya sekondari katika CV. Wewe unapaswa kutambua Nape ana masters degree yatosha, wakati mwenezi wenu (Mnyika) ni form six
 
Wakuu,
Kuweni wakweli, ni CV gani watu wanaandika pass zao?

Pass zako unaweza kuulizwa kwenye interview ya kazi ingawaje nayo siku hizi sio muhimu na badala yake interviewer wanaangalia umefanya nini na sio uli score kiasi gani.
 
BUTIMBA TTC ni chuo cha ualimu lakini ni center ya kufanyia mitihani kwa wanafunzi ambao hawako mashuleni.,na hili ni kwa sababu Mheshimiwa Nape hakuwa ameendelea na sekondari kwa mtindo wa Boarding School.,kwa kuwa hakupenda kuendelea kukaa boardingi hivyo aliyasoma masomo yake ya high level akiwa nyumbani na kisha kwenda chuoni hapo kufanya mtihani wa form six.


kama hukutaka kukaa boarding kwa nini hukuenda ktk shule za day? Wanaofanya mitihan ktk centres za mitihani ni private candidates ambao wanakuwa wana re-seat. Ina maana haukuwa na matokeo mazur hvyo ikakupasa u re-seat?
 
pamoja na kumpaisha lakini hapa butimba ttc hakuna A level ......usituletee cv fake
 
Back
Top Bottom