Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

hata siku moja haijawahi kutokea matokeo ya sekondari katika CV. Wewe unapaswa kutambua Nape ana masters degree yatosha, wakati mwenezi wenu (Mnyika) ni form six
Kwa hiyo sisi tunaosema kuwa Nape alisoma Chuo kikuu alipendelewa na aliziba nafasi za waliofaulu akachukukliwa yeye aliyefeli,huku maskini wenye akili ila hawana mtetezi wakiachwa nyumbani tupo sahihi?
Hicho ndicho kinachotufanya maskini tuichukie CCM kwa sababu inaiba haki zetu huku tukiona.Anayefeli anapewa nafasi na anayefaulu anaachwa mtaani hii sio haki hata kidogo.

Hili lipo hata sasa watoto wa wakubwa wanapewa mikopo wa maskini waliofaulu hawapewi.
 
sio ajabu kumbe ndio maana kila akiwa kwenye jukwaa anaongea mashudu na uh..ro!ukimwambia usiitaje CDM au Dr, basi hatakua na sera tena...ndo maana wenzao wanawatumia tu kama nanii..!hesab ana F halafu anaenda kusoma EGM?haya maaajab mengine.
 
Mnyika aliambiwa aeleze kiwango cha elimu yake badala yake akaja na biography na historia ya maisha ya kisiasa.
 
HAPO KWENYE RED....BUTIMBA TTC SI CHUO CHA UALIMU JAMAN...AU TUSEME BUTIMBA TTC SECONDARY SCHOOL?..
kajipange upya urudi tena na kiwango cha ufaulu kwa kila level hasa hasa sekondari

Huu ni uhuni hakuna lolote elimu yake ni ndogo sana
 
Nape alipokuwa sekondari hakufanya vizuri; HATAHIVYO katika Masters Degree katoka vizuri.

KINYUME

Mnyika O-LEVEL kafanya vizuri; HATAHIVYO chuo kikuu kaangukia pua!
 
Hivi unaelewa maana ya credit au unakurupuka tu. Huyo Mnyika aliyejidai kupata A tisa O-level, aweke na credit alizopata A-level,na alivyochemsha chuo. Au na wewe unamtungia Mnyika jibu kama alivyojitungia swali na kulijibu.

Ndivyo mnavyowadanganya wazazi wenu kwa kujifanya neno credit lionekane ni neno la ajabu.
 
Yote kwa yote, elimu ya mtu HUPIMWA kwa kiwango cha mwisho alichofikia mlengwa;

Mnyika atabaki ana ELIMU YA SEKONDARI wakati Nape ni mhitimu wa Chuo Kikuu (Masters Degree) wana Chadema msipotoshwe uhalisia
 
BUTIMBA TTC ni chuo cha ualimu lakini ni center ya kufanyia mitihani kwa wanafunzi ambao hawako mashuleni.,na hili ni kwa sababu Mheshimiwa Nape hakuwa ameendelea na sekondari kwa mtindo wa Boarding School.,kwa kuwa hakupenda kuendelea kukaa boardingi hivyo aliyasoma masomo yake ya high level akiwa nyumbani na kisha kwenda chuoni hapo kufanya mtihani wa form six.

TandaleOne kwakifupi Nape alikuwa Private Candidate?Hata kama alikuwa kuwa anakaa nyumbani yaan Day schooler mtihani angefanyia Nsumba na siyo Butimba!au kama alikuwa amepewa suspension. ebu tiririka kidogo hapo
 
Nape alipokuwa sekondari hakufanya vizuri; HATAHIVYO katika Masters Degree katoka vizuri.

KINYUME

Mnyika O-LEVEL kafanya vizuri; HATAHIVYO chuo kikuu kaangukia pua!
Fafanua kivipi? kwani John Mnyika alimaliza chuo?.
 
Last edited by a moderator:
Mwanasiasa komavu mwenye shahada husika , this is a challenge to all those Unqualified politicians, Politics is a career not some deal every mropokaji can do!!!!!!:rockon:
 
Nape alipokuwa sekondari hakufanya vizuri; HATAHIVYO katika Masters Degree katoka vizuri.

KINYUME

Mnyika O-LEVEL kafanya vizuri; HATAHIVYO chuo kikuu kaangukia pua!
Umeruka vitu. Nape hakufanya vizuri Sekondari, akafanyaje ili kuondoa vizuizi vya kukosa credit za Form IV ........ mpaka akafikia Masters.
 
Nape unajiaibisha tu mkuu,hii cv yako ungeificha huko tuendelee kukutambua kama mtumia carolite basi
 
Mkuu Mbavu zangu plz!unamaanisha Tandaleone ametuletea wasifu wa marehemu na cyo CV?

Ha!ha!ha! jamani mwenezi wa Magamba mtamuua na stress! Ila jamaa kaunga unga elimu yake haswa, hizo diploma za mafungu mafungu si mchezo.
 
Yote kwa yote, elimu ya mtu HUPIMWA kwa kiwango cha mwisho alichofikia mlengwa;

Mnyika atabaki ana ELIMU YA SEKONDARI wakati Nape ni mhitimu wa Chuo Kikuu (Masters Degree) wana Chadema msipotoshwe uhalisia
Ok! niambie kiwango alichofikia Dhaifu mpaka kupewa Phd!.
 
"Wanasayansi wanasema akili ya mwanadamu hapa tanzania hupimwa kwa matokeo ya Form Four"
MNYIKA VS NAPE, FORM FOUR RESULTS
NAPE NNAUYE
DIV IV-29
KISW D, HIST D, GEOG D, ENG F, B/MATH F, BIOL D, CHEM D, PHY D, CIV F

JOHN MNYIKA
DIV I-7
PHY A, CHEM A, BIOL A, CIV A, ENGL A, GEOG A, HIST A, B/MATH A, KISW A, B/KNOW A

MY TAKE: MNYIKA NI GINIAZI
NAPE AJIENDELEZ
 
May be alifanya kama private candidate so kilikuwa ni kituo chake cha kufanyia mtihani...
 
  • Mwaka 2005-2008 alisomea digrii ya Saikolojia, Lugha na Habari katika Chuo Kikuu cha Bangalore-India ?????!!!
  • Mwaka 2009-2010 alisoma digrii ya pili ya utawala (Masters in Public Administration-MPA) katika chuo cha Mzumbe

Itabidi Nape mwenyewe apande jamvini kukiri au kukanusha uhalisia wa CV hii!! Nape binafsi ni msemaji wa CCM, yeye kama yeye hana msemaji; wewe uhalali huo wa kuwa msemaji wake umeupata wapi?! kama ni power of attorney tunaomba uipost hapa!! au ni mpambe nuksi tu!
 
Back
Top Bottom