Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye sivii mbona hawajaeleza jinsi alivyoteswa na gono sugu?
Te te te te Actually kwa Elimu ya Kamastaz na Elimu ya kuunga unga hapa kwetu bukoba hatuwezi kumtambulisha wala kumruhusu kujitambulisha mbele ya wageni hata kwenye birthday ya mwanangu KOKU, kwa elimu yake NAPE tutampatia PEPSI ya MOTO!
Infact kwa elimu yake ni sawa na ya House Girl wangu BYELA
Te te te te Actually kwa Elimu ya Kamastaz na Elimu ya kuunga unga hapa kwetu bukoba hatuwezi kumtambulisha wala kumruhusu kujitambulisha mbele ya wageni hata kwenye birthday ya mwanangu KOKU, kwa elimu yake NAPE tutampatia PEPSI ya MOTO!
Infact kwa elimu yake ni sawa na ya House Girl wangu BYELA
Swali linalozunguka tangu juzi ni Elimu ya Nape. Aliyejitokeza ameleta anayoiita CV ingawa si CV.Wakuu,
Kuweni wakweli, ni CV gani watu wanaandika pass zao?
Pass zako unaweza kuulizwa kwenye interview ya kazi ingawaje nayo siku hizi sio muhimu na badala yake interviewer wanaangalia umefanya nini na sio uli score kiasi gani.
mnyika vs nape, form four results
nape nnauye
div iv-29
kisw d, hist d, geog d, eng f, b/math f, biol d, chem d, phy d, civ f
... John mnyika
div i-7
phy a, chem a, biol a, civ a, engl a, geog a, hist a, b/math a, kisw a, b/know a
my take: Mnyika ni giniazi
nape ajiendeleze
Nampenda nape lakini kwa f ya civics sitomsamehe? why lakini?
oie!
mnyika o'level kapata A tisa, A'level kapata division 11, mbona nape anakwepa kuweka credit zake?
Nape alipata division two (kwa mujibu wako ) kwa matokeo hayo ni lazima alichaguliwa govt school,je ni shule ipi ya boarding alichaguliwa na kikataa?BUTIMBA TTC ni chuo cha ualimu lakini ni center ya kufanyia mitihani kwa wanafunzi ambao hawako mashuleni.,na hili ni kwa sababu Mheshimiwa Nape hakuwa ameendelea na sekondari kwa mtindo wa Boarding School.,kwa kuwa hakupenda kuendelea kukaa boardingi hivyo aliyasoma masomo yake ya high level akiwa nyumbani na kisha kwenda chuoni hapo kufanya mtihani wa form six.
Mkuu hapo kwenye Red ulikuwa unamaanisha nini?Tiririka
- Mwaka 1998-2000 alisoma elimu ya juu ya sekondari (advanced level), mchepuo wa EGM na kuhitimu Butimba TTC
Te te te te Actually kwa Elimu ya Kamastaz na Elimu ya kuunga
hata siku moja haijawahi kutokea matokeo ya sekondari katika CV. Wewe unapaswa kutambua Nape ana masters degree yatosha, wakati mwenezi wenu (Mnyika) ni form six
Mkulima Masters of Public Administration inawaandaa wanafunzi kuwa nani kama siyo kusimamia shughuli za serikali na mashirika yake? Mtu mwenye hiyo MPA lakini amefanya dessertation ya mahudhurio ya wapiga kura siku ya uchaguzi tukimpa asimamie TTCL litatoboa?Mkuu,
Soma vizuri, hiyo ni Masters in Public Administration (MPA) na wala sio MBA kama ulivyoandika
huwa sibishani na watu wanaoandika kinyumenyume.Hivi unaelewa maana ya credit au unakurupuka tu. Huyo Mnyika aliyejidai kupata A tisa O-level, aweke na credit alizopata A-level,na alivyochemsha chuo. Au na wewe unamtungia Mnyika jibu kama alivyojitungia swali na kulijibu.
Mleta uzi TandaleOne
naona umesahau kuwa kuna tofauti kubwa kati ya mkojo na soda!!
Na mwisho utofautishe kati ya Cv na historia fupi ya elimu!
Au nimekosea wanajamvi?