piper
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 3,253
- 612
Hahahahahahahahahahahahahahahahahah!
Vp mkuu tushirikishane naona umecheka sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahahahahahahahahahahahahahah!
umeona eeh,ht mm nashangaa maana sijawahi ona diploma ya mwaka mmoja.
BUTIMBA TTC ni chuo cha ualimu lakini ni center ya kufanyia mitihani kwa wanafunzi ambao hawako mashuleni.,na hili ni kwa sababu Mheshimiwa Nape hakuwa ameendelea na sekondari kwa mtindo wa Boarding School.,kwa kuwa hakupenda kuendelea kukaa boardingi hivyo aliyasoma masomo yake ya high level akiwa nyumbani na kisha kwenda chuoni hapo kufanya mtihani wa form six.
Wewe ndiye mleta mada usikimbie hoja kwa kuanzisha matusi. Ok, mimi ni mjinga sasa wewe mwelevu tuwekee credits za Nape za O'Level zilizomfanya asome EGM.
TandaleOne Master of Business Administration na sababu zinazochangia ushiriki wa wapiga kura zina uhusiano gani? Angefanya "Reasons lead to poor performance of public corporations" hii kidogo ingelandana na hiyo master yake @Nnauye Jr
safi nape kumbe ni msomi mzuri tu.
Mkuu kuna tofauti kati ya Private candidate na Day scholar.BUTIMBA TTC ni chuo cha ualimu lakini ni center ya kufanyia mitihani kwa wanafunzi ambao hawako mashuleni.,na hili ni kwa sababu Mheshimiwa Nape hakuwa ameendelea na sekondari kwa mtindo wa Boarding School.,kwa kuwa hakupenda kuendelea kukaa boardingi hivyo aliyasoma masomo yake ya high level akiwa nyumbani na kisha kwenda chuoni hapo kufanya mtihani wa form six.
mjinga kama wewe..,mtu aliyepata F ya math anasomaje EGM..?
mnyika vs nape, form four resultsmmh, butimba ttc ilikuwa na high school? Hakikuwa chuo cha ualimu kile??
Anyway, hata uwe na phd kama hamnazo za maisha hazimo tu.
2pe matokeo yake ya olev na a level ili cv ikamilike
BUTIMBA TTC ni chuo cha ualimu lakini ni center ya kufanyia mitihani kwa wanafunzi ambao hawako mashuleni.,na hili ni kwa sababu Mheshimiwa Nape hakuwa ameendelea na sekondari kwa mtindo wa Boarding School.,kwa kuwa hakupenda kuendelea kukaa boardingi hivyo aliyasoma masomo yake ya high level akiwa nyumbani na kisha kwenda chuoni hapo kufanya mtihani wa form six.