Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

Anaomba kazi? Hii CV ya nini? Hizi diploma za mwaka mmoja mmoja Duhhhh.

Ingependeza kama angetuwekea pasi zake za O-level na A level tuone kama alipita kihalali! Nashanga hata mie diploma ni mwaka 1?
 
safi nape kumbe ni msomi mzuri tu.

Inawezekana akawa ni Ruhani,

Hivi kuna mtu yeyote alijitokeza hapa Jf kutoa justification ya Nnape kujipa majina ya Moses Nnauye? Bila kujua huenda tunawajadili watu wawili tofauti!! Kama familia ya mzee Nnauye haimtambui hapo imekaaje bandungu?
 
ELIMU YA NAPE NNAUYE.
(nimeitoa JF)

Mwaka 1993 alifeli darasa la saba. Wakati ule jina halali la Nape akiitwa Nahum Nnauye. Waliosoma nae wanakumbuka. Bt akafanyiwa mpango na kupewa jina la Nape Mkumbo Nyagicha mtoto masikini wa Kinyiramba, aliyefaulu lakini familia yake haikuwa na uwezo wa kumsomesha.

Mwaka 1994 Nahum Nnauye akajiunga na shule ya sekondari ya kutwa Ngudu wilayani Kwimba akiwa na jina jipya la Nape. Mwaka 1995 akahamishiwa shule ya Sekondari Nsumba kwa kutumia title ya baba yake Mzee Moses Nnauye.

Mwaka 1997 akafeli form four kwa kupata division four ya point 29 akiwa na D 4, c 1 na F 5. Akareseat mara 2 bila mafanikio pale Butimba TTC ambacho ni kituo cha watahiniwa binafsi. Mwaka 1999 na mwaka 2000.

Akakata tamaa na hatimaye mwaka 2001 akaamua kwenda kusoma cheti cha Uhazili (cert of secretarial services) katika chuo cha Kivukoni. So kabla sijaendelea naomba ieleweke kuwa Nahum Moses Nnauye (Nape) hajawahi kusoma form 5 shule yoyote duniani. Kama anabisha aje hapa tumuulize maswali ya Geography 1 au Ecomics 2 uone atakavyochanganyikiwa. Kwanza hajui kama kuna paper 1 na 2 A.level, atasemaje amesoma A.level?

So akatumia cheti chake cha uhazili kuomba diploma pale chuo cha Diplomasia kurasini. akapata na akaanza kusoma. Mwaka mwaka 2002 akafeli kuendelea na 2nd year baada ya kupata suplimentary 4 ktk masomo 6 aliyokuwa akisoma. So kwa kifupi akadsco. Hivyo naomba ieleweke kuwa huyu jamaa anayejiita Nape hajawahi kutunukiwa diploma yoyote kutoka Chuo cha Diplomasia Kurasini. Kwanza asikidhalilishe chuo maana pale hakuna Diploma ya mwaka mmoja. kama anabisha aapload picha yoyote hapa alipokuwa anatunukiwa hiyo diploma.

Mwaka 2004 akatumia cheti chake cha form four kuomba degree India kwa kusaidiwa na mwandishi mmoja mashuhuri nchini kwa kuwatafutia vyuo vya nje watu waliofeli.

Na akapata kwa masharti ya kusoma miaka minne. Ikumbukwe India ni nchi yenye vyuo vya hovyo sana duniani, na ni miongoni mwa nchi ambazo hata kama una zero unaweza kusoma Bachelor bila matatizo yoyote hadi ukahitimu. Reffer kesi ya Mr.Andekisye, Lecturer aliyefukuzwa kazi Arusha University kwa kusoma elimu feki India. Andekisye aliajiriwa kama mhadhiri wa Marketing na Business Mathematics akidai ana MBA kutoka India.

Bt ilipofuatiliwa ikagundulika ni kweli ana Masters ya MBA bt hajawahi kusoma Bachelor. Alichomoka na Diploma yake ya Ualimu (Mathematics & Physics) kutoka Monduli TTC akaaply Masters India akapata akaenda kujoin. Sasa imagine mtu anatoka Diploma anakwenda Masters sembuse Nape kusoma bachelor?

Nape akapata degree yake fake ya psychology ambayo ndiyo aliyoitumia kuomba masters mzumbe. Na mzumbe hakukabidhi cheti zaidi ya kile cha degree yake ya India.
Kama anabisha aweke vyeti vyake vya o.lel na a.level hapa.

Huyo ndiye Nahum Moses Nnauye anayejiita Nape. Katibu mwenzezi wa Chama cha Mapinduzi CCM na mgombea ubunge ubungo mwaka 2010, wakati ule akijaribu kushindana na Genious John Mnyika aliyepata A 9 O.Level yeye akiwa na D 4 tu.


Nyamemba,

Nakubaliana na wewe kwa asilimia 99.9999999%!
Maelezo yako na ile CV ya Nnape a.k.a TandaleOne yanaulinganifu mkamilifu kabisaaaaaaaaaaaaa!

Ukitaka kujua kuwa Nnape hajaenda shule na kichwani hamna kitu wewe msikilize utumbo ambao huwa anaongea, ukweli ni kichefuchefu. Nnape kichwani ni O yenye macho manne!!!!!
 
Mwaka 1998-2000 alisoma elimu ya juu ya sekondari (advanced level), mchepuo wa EGM na kuhitimu Butimba TTC.

Hivi nikweli Butimba Teachers College wanatoa elimu ya Adanced certificate mchepuo wa EGM?, labda wanajamii mnifahamishe ikiwa niko nyuma kitaaluma

Mkuu upo sahihi;vyuo vya ualimu ni centre za private candidates tu..hiyo ya kuhitimu ni maajabu ya Musa hayo;mimi mwenyewe nimewahi kufundisha vyuo vya ualimu na HAKUNA HICHO KITU CHA KUHITIMU combination za sekondari zaidi ya kupata fursa ya kufanyia mtihani either QT au PC! wanaohitimu ni waalimu either Dip ed. au Cert.Ed (grade A) au wanaojiendeleza!
 
Ndg makamanda,

NIMESIKITISHA SANA MATOKEO NILIYOYAONA YA KIONGOZI WA CCM KWA JINA HALISI ANAITWA NAUM NAUYE AMBAE NI KATIBU WA ITIKADI NA UENEZI WA CCM TAIFA NA PIA ALIWAHI KUWA DC HAPA NCHINI,

KINACHONISIKITISHA NI KUWA KIONGOZI HUYU WAKATI ANASOMA KIDATO CHA NNE MATOKEO YAKE YALIKUWA HAFIFU AMBAPO YALIKUWA HAYAWEZI KUMPA NAFASI YA KUENDELEA NA KIDATO CHA TANO,NINACHOTAKA KUZUNGUMZIA HAPA NI KIONGOZI HUYO MATOKEO YAKE YANAONESHA ANA 'F' YA SOMO LA CIVICS,SOMO AMBALO NDILO LILILO NISUKUMA KULETA UZI HUU HAPA,NAPENDA KUWEKA WAZI KUWA SOMO HILI LA CIVICS NDILO SOMO LINALO MWANDAA KIONGOZI KUTOKA CHINI COZ UKIWA PRIMARY UTALIKUTA LINAITWA URAIA,O-LEVEL LINAITWA CIVICS,A-LEVEL LINAITWA GENERAL STUDY,

SOMO HILI HUWA LINA TOPIC ZINAZOHUSU UONGOZI NA SIASA KWA UJUMLA KAMA LEADERSHIP,DEVELOPMENT,POVERTY,CULTURE,GLOBALIZATION,DEMOCRACY,GOVERNMENT,KATIBA,NA NYINGINE NYINGI HIVYO KWA TAFSIRI RAHISI NI KUWA KIONGOZI HUYO HAJUI SIASA WALA URAIA COZ ALIFELI ILI SOMO HIVYO NAPATA TABU KUWA ALIEMCHAGUA AU KUMTEUA ALIKUWA HAJAGUNDUA KUWA KIJANA YULE NI MBUMBUMBU WA SIASA,PIA HUYU KIJANA YEYE ANAFAHAMU WAZI KUWA HAJUI SIASA HIVYO NI MUDA WA KUACHI UONGOZI ILI KUWAPISHA WANAOFAHAMU NA WALIOFAULU SOMO HILO NA SIO KUFAULU TU ILA AWE AMEELIMIKA NA HANA SIFA YA WIZI WA MAJINA,

KWA KUWA NAUMU NAUYE YUMO HUMU NA AJE AKANUSHE KAMA SI UKWELI,PIA AKUMBUKE 'MAJI UKISHA YAVULIA NGUO SHARTI UYAOGE' NA PIA SHIMO ALILICHIMBA MWENYEWE HIVYO ASIOGOPE KUINGIA ILI TUMFUKIE.
 
Ndg makamanda,

NIMESIKITISHA SANA MATOKEO NILIYOYAONA YA KIONGOZI WA CCM KWA JINA HALISI ANAITWA NAUM NAUYE AMBAE NI KATIBU WA ITIKADI NA UENEZI WA CCM TAIFA NA PIA ALIWAHI KUWA DC HAPA NCHINI,

KINACHONISIKITISHA NI KUWA KIONGOZI HUYU WAKATI ANASOMA KIDATO CHA NNE MATOKEO YAKE YALIKUWA HAFIFU AMBAPO YALIKUWA HAYAWEZI KUMPA NAFASI YA KUENDELEA NA KIDATO CHA TANO,NINACHOTAKA KUZUNGUMZIA HAPA NI KIONGOZI HUYO MATOKEO YAKE YANAONESHA ANA 'F' YA SOMO LA CIVICS,SOMO AMBALO NDILO LILILO NISUKUMA KULETA UZI HUU HAPA,NAPENDA KUWEKA WAZI KUWA SOMO HILI LA CIVICS NDILO SOMO LINALO MWANDAA KIONGOZI KUTOKA CHINI COZ UKIWA PRIMARY UTALIKUTA LINAITWA URAIA,O-LEVEL LINAITWA CIVICS,A-LEVEL LINAITWA GENERAL STUDY,

SOMO HILI HUWA LINA TOPIC ZINAZOHUSU UONGOZI NA SIASA KWA UJUMLA KAMA LEADERSHIP,DEVELOPMENT,POVERTY,CULTURE,GLOBALIZATION,DEMOCRACY,GOVERNMENT,KATIBA,NA NYINGINE NYINGI HIVYO KWA TAFSIRI RAHISI NI KUWA KIONGOZI HUYO HAJUI SIASA WALA URAIA COZ ALIFELI ILI SOMO HIVYO NAPATA TABU KUWA ALIEMCHAGUA AU KUMTEUA ALIKUWA HAJAGUNDUA KUWA KIJANA YULE NI MBUMBUMBU WA SIASA,PIA HUYU KIJANA YEYE ANAFAHAMU WAZI KUWA HAJUI SIASA HIVYO NI MUDA WA KUACHI UONGOZI ILI KUWAPISHA WANAOFAHAMU NA WALIOFAULU SOMO HILO NA SIO KUFAULU TU ILA AWE AMEELIMIKA NA HANA SIFA YA WIZI WA MAJINA,

KWA KUWA NAUMU NAUYE YUMO HUMU NA AJE AKANUSHE KAMA SI UKWELI,PIA AKUMBUKE 'MAJI UKISHA YAVULIA NGUO SHARTI UYAOGE' NA PIA SHIMO ALILICHIMBA MWENYEWE HIVYO ASIOGOPE KUINGIA ILI TUMFUKIE.
Hv hakuna kipya kumhusu huyu jamaa?? Naskia ni mwana wa mwandosya, hv ni kweli? Nani mwenye ushahidi anihakikishie?


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Naomba nikuulize swali,,1.mgogoro wa waislam na wakristo umetoa ushauri gani ama utatuzi gani?
2. Deni la taifa linazidi kupaa kila mwaka,mna mkakati gani?
3.ajira ni tatizo sio kwa tanzania peke yake bali ni duniani je mna maoni gani kutatua hilo?
4.wanafunzi wa form four wamefeli wengi je mna ushauri gani kulitatua hilo tatizo?
5.tired kusikia fulani hajasoma,fulani hajasoma,,mwangalie kagame wa rwanda amesoma chuo gani?ila angalia anachokifanya
 
Unashangaa hayo kuna mtu Ana Div 4 ya 31 na ni mwenyekiti wa Chama
 
Kama alisoma wakati huo akakwaa F, ina maana angekuwa anamaliza mwaka jana angepata Z...
 
Nahum Nnauye hakubarikiwa kuwa na akili hata punje moja.
Jamani msameheni.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Naomba nikuulize swali,,1.mgogoro wa waislam na wakristo umetoa ushauri gani ama utatuzi gani?
2. Deni la taifa linazidi kupaa kila mwaka,mna mkakati gani?
3.ajira ni tatizo sio kwa tanzania peke yake bali ni duniani je mna maoni gani kutatua hilo?
4.wanafunzi wa form four wamefeli wengi je mna ushauri gani kulitatua hilo tatizo?
5.tired kusikia fulani hajasoma,fulani hajasoma,,mwangalie kagame wa rwanda amesoma chuo gani?ila angalia anachokifanya

I conquer with you big brother! Nape's civics Failure cannot pay 21 trillion national debts that we have. He's smart in qutter politics let him do his best.

If you deal with charcoal, don't expect white from it.
 
Kila mtanzania ana deni la shilingi laki 4 na nusu,kutokana na deni la taifa na idadi ya watu,
inflation?
 
Oya ivi Sugu anangapi vile? Vipi Mbowe na Mnyika ibo toa nao CV. Oya ivi dr. SLAA KAOA?
 
Naomba nikuulize swali,,1.mgogoro wa waislam na wakristo umetoa ushauri gani ama utatuzi gani?
2. Deni la taifa linazidi kupaa kila mwaka,mna mkakati gani?
3.ajira ni tatizo sio kwa tanzania peke yake bali ni duniani je mna maoni gani kutatua hilo?
4.wanafunzi wa form four wamefeli wengi je mna ushauri gani kulitatua hilo tatizo?
5.tired kusikia fulani hajasoma,fulani hajasoma,,mwangalie kagame wa rwanda amesoma chuo gani?ila angalia anachokifanya

Mmelikoroga wenyewe na mlinywe, washe..nzi nyie...kwani wakati Nape Nauye anaanzisha hoja ya Dr Silaa kumiliki kadi ya ccm alijua ndio itaondoa umaskini wa watz? au wakati mnaandaa masalia chadema, mlijua ndio KUPUNGUZA DENI LA TAIFA? Au wakati Nape anaanzisha hoja ya Mnyika kuwa hajasoma, alijua kuwa ndio KUTAWAFAULISHA FORM FOUR? Stupidity...ptuuuu!!! Mlinywe, tukianza kuwafuatilia, mnajidai kuwa tunawahamisha kwenye hoja za msingi za kutatua matatizo ya watz, maccm tangu lini mkawa na hoja na ajenda za kuwakomboa watz? Nyie si mnatumia umasikini wetu kama mtaji wenu kwenye chaguzi? Mtuhonge 1000 ili tuwapigie kura? Pumbavu zetu magamba wote....potelea mbali nikipigwa ban....mnaudhi sana nyie wapuuzi wakubwa....eti Rais anasema "nani hajua kama form four wamefeli?" Sijui alikuwa anamuuliza nani and so what? Kweli, naungana na mleta uzi mmoja hapa jamvini kuwa "waliompigia kura Kikwete wote ni mataahira...hili halikwepeki". Hasira kweli!!!!

Hata huo udini si KIKWETE na WANAMTANDAO uliomuweka mdarakani 2005 ndio waliuasisi? Sasa sisi tumsaidie wakati ulikuwa mtaji wake? ccm hakuna watu wenye akili kabisa, laiti kama wangelikuwepo, wangemshauri JK kutotumia propaganda za UDINI, UKABILA na UKANDA kwenye kampeni zake, matokeo yake ndiyo haya sasa, taifa linaangamia hivi hivi, AND WE HAVE REACHED TO THE POINT OF NO RETURN, HADI TUTANDIKANE NDIO AKILI ZITUSOGEE, KAMA SIYO KABLA YA 2015, BASI 2015 HAITAPITA, WALLAH NASEMA!!! SIAMINI KAMA TUTAINGIA 2016 SALAMA, Mungu atupe uhai tu!
 
Back
Top Bottom