Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

EGM Butimba TTC? Kazi kweli kweli. Enzi zetu EGM za kuaminika zilitoka Shybush, Pugu, Mazengo na Tosamaganga. CV hii inakatisha tamaa watu kusoma kwa bidii. Yaani mtu kiazi anakula nchi kwa kutumia vyeti vya "Mama Lishe"?
 
CV ya kipopompooo, kazi yake kukejeli tu na kutaka wenzake watoe maelezo ya elimu zao wakati ya kwake ni ya kuungaunga na CV ya kuandikiwa!!! Mbwembwe nyiiiiingi kumbe kopo tu na alienda india kucheza masongi na sio kusoma!!!!
 
anaitwa nape jitu patel nauye mwandosya.........
 
Kumekuwepo na habari ambayo inavumishwa katika mitandao ya kijamii hasa hapa Jamiiforums kuhusu Elimu ya Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikati na Uenezi, Ndugu Nape Moses Nnauye. Taarifa hiyo kwa kiasi kikubwa inapotosha na kueleza yale ambayo si sahihi kuhusiana na CV ya Kiongozi huyo wa Chama cha Mapinduzi; Kutokana na Hilo, nimeona ni jambo la busara kuwasaidia wanajamvi kwa kuwapa CV iliyo sahihi ya Nape Moses Nnauye kama ifuatavyo;


  • Kati ya mwaka 1987-1989 alianza elimu yake ya msingi katika shule ya Msingi Mwanga-iliyopo Iramba Singida (ambapo alianza darasa la 1 mpaka 3)
  • Mwaka 1989-1993 aliendelea na kumalizia elimu ya msingi katika shule ya Bukumbi iliyopo misungwi Mwanza.(ambako alikuwa ni kati ya wanafunzi watatu “3” kati ya 120 waliochaguliwa sekondari.
  • Mwaka 1994-1995 alianza elimu ya Sekondari katika shule ya kutwa ya Ngudu Sekondari.(ambapo alisoma kidato cha kwanza mpaka cha pili)
  • Mwaka 1995-1997 aliendelea na elimu ya sekondari katika shule ya Bweni ya Sekondari Nsumba iliyopo Mwanza (ambapo aliendelea kidato cha pili mpaka cha nne)
  • Mwaka 1998-2000 alisoma elimu ya juu ya sekondari (advanced level), mchepuo wa EGM na kuhitimu Butimba TTC
  • Mwaka 2001-2002 alisoma Diploma ya sayansi ya jamii katika Chuo Cha sayansi ya Jamii-Kivukoni.
  • Mwaka 2002-2003 alisomea Diploma ya Diplomasia na uhusiano wa Kimataifa –Chuo cha Diplomasia Dar es salaam.
  • Mwaka 2005-2008 alisomea digrii ya Saikolojia, Lugha na Habari katika Chuo Kikuu cha Bangalore-India
  • Mwaka 2009-2010 alisoma digrii ya pili ya utawala (Masters in Public Administration-MPA) katika chuo cha Mzumbe.
NB: Ndugu Nape Nnauye akiwa Kivukoni aliandika “thesis” iliyohusu ; VIKWAZO VINAVYOZUIA VIJANA KUSHIRIKI KATIKA SIASA. Na pia akiwa Mzumbe University aliandika kuhusu ; SABABU ZINAZOCHANGIA USHIRIKI WA WAPIGAKURA (ni ipi sababu ya kutojitokeza wapigakura siku ya Kura)
Yakhee hapo kwenye rangi nyekundu mbona husomeki? Inakuwaje A-level (EGM) uanzie shule ya mfumo rasmi halafu umalizie Chuo cha Ualimu (Butimba)?
Hebu tutake radhi wana JF kwa uongo huu halafu kajipange upya...
 
EGM Butimba TTC? Kazi kweli kweli. Enzi zetu EGM za kuaminika zilitoka Shybush, Pugu, Mazengo na Tosamaganga. CV hii inakatisha tamaa watu kusoma kwa bidii. Yaani mtu kiazi anakula nchi kwa kutumia vyeti vya "Mama Lishe"?
Mkuu umenikumbusha Half Miles za Tosamaganga na zamu za kuchunga ng'ombe enzi za H/M Mr. Dudu.
 
Mkuu umenikumbusha Half Miles za Tosamaganga na zamu za kuchunga ng'ombe enzi za H/M Mr. Dudu.

Mie hapo nikizamia Utemini kule Shybush enzi za Fr.Marvin Dutch. Tukipewa Sensodyne na spiral exercise books. Wee acha tu. Tukiwa na Mwl Mkungu-Economics, Manyangu-Math na yule mjita..Geography. Mkuu wa shule akiwa Masaki na kada wa CCM akiwa Mwl Rutubo.
 
Ndugu yangu butimba ttc kwa kirefu ni butimba teachers terchinical college sasa chuo cha ualimu na a level wap na wap then hiyo diploma ya mwaka mmoja mmoja haijatulia pitia vizuri uirekebishe next tym hiyo fake cv
 
Kuna hii habari ya tweet za akaunti ya CCM kwenye ukurasa wake wa twitter.,inaweza kuwa na mahusiano yeyote na CV hii..?
 
Mie niliwahi kusema hizi I'd ni Za Raia mmoja nikala ban.. Wandugu embu Tezameni


.....
Kumekuwepo na habari ambayo inavumishwa katika mitandao ya kijamii hasa hapa Jamiiforums kuhusu Elimu ya Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikati na Uenezi, Ndugu Nape Moses Nnauye. Taarifa hiyo kwa kiasi kikubwa inapotosha na kueleza yale ambayo si sahihi kuhusiana na CV ya Kiongozi huyo wa Chama cha Mapinduzi; Kutokana na Hilo, nimeona ni jambo la busara kuwasaidia wanajamvi kwa kuwapa CV iliyo sahihi ya Nape Moses Nnauye kama ifuatavyo;


  • Kati ya mwaka 1987-1989 alianza elimu yake ya msingi katika shule ya Msingi Mwanga-iliyopo Iramba Singida (ambapo alianza darasa la 1 mpaka 3)
  • Mwaka 1989-1993 aliendelea na kumalizia elimu ya msingi katika shule ya Bukumbi iliyopo misungwi Mwanza.(ambako alikuwa ni kati ya wanafunzi watatu “3” kati ya 120 waliochaguliwa sekondari.
  • Mwaka 1994-1995 alianza elimu ya Sekondari katika shule ya kutwa ya Ngudu Sekondari.(ambapo alisoma kidato cha kwanza mpaka cha pili)
  • Mwaka 1995-1997 aliendelea na elimu ya sekondari katika shule ya Bweni ya Sekondari Nsumba iliyopo Mwanza (ambapo aliendelea kidato cha pili mpaka cha nne)
  • Mwaka 1998-2000 alisoma elimu ya juu ya sekondari (advanced level), mchepuo wa EGM na kuhitimu Butimba TTC
  • Mwaka 2001-2002 alisoma Diploma ya sayansi ya jamii katika Chuo Cha sayansi ya Jamii-Kivukoni.
  • Mwaka 2002-2003 alisomea Diploma ya Diplomasia na uhusiano wa Kimataifa –Chuo cha Diplomasia Dar es salaam.
  • Mwaka 2005-2008 alisomea digrii ya Saikolojia, Lugha na Habari katika Chuo Kikuu cha Bangalore-India
  • Mwaka 2009-2010 alisoma digrii ya pili ya utawala (Masters in Public Administration-MPA) katika chuo cha Mzumbe.
NB: Ndugu Nape Nnauye akiwa Kivukoni aliandika “thesis” iliyohusu ; VIKWAZO VINAVYOZUIA VIJANA KUSHIRIKI KATIKA SIASA. Na pia akiwa Mzumbe University aliandika kuhusu ; SABABU ZINAZOCHANGIA USHIRIKI WA WAPIGAKURA (ni ipi sababu ya kutojitokeza wapigakura siku ya Kura)


Ha ha ahaaaaaaa unatafuta aibu wewe, kwa taarifa yako nina first class with honor.....na sijasoma BBA ya jioni na wala siajaunga unga. weka ya kwako ya kupewa zawadi ya c...hu....p
 
Tuanzie hapa form 4

NAPE NNAUYE
SEX M DIV IV
PTS 29 KISW D HIST D GEOG D ENGL F B/MATH F BIOL D CHEM D PHY D CIV F
-----------------------
JOHN MNYIKA
SEX M DIV I PTS 7 PHY A CHEM A BIOL A CIV A ENGL A GEOG A HIST A B/MATH A KISW A B/KNOW A


Kumbe ndo maana NAPE "huwaga" anamwaga matusi kwenye mikutano ya hadhara bila aibu! Kama Kiswahilialipata alimanusula, ungetegemea Kiingereza na Hesabu apateje?

ila kwenye Uraia ameniacha hoi-"Mswaki"! Ilikuwaje akawa kiongozi kwenye siasa wakati elimu ya uraia alipata ze-mtungi? Ndo maana CCM imekosa mwelekeo!

Kumbe Nape ujanja wa bure tu, yaani hii hata "ualimu" hauendi! Ulikula buyu mtu wangu! Nga'ng'ania CCM isitoke madarakani vinginevyo utakuwa mshona viatu siku moja!
 
Mbona hujatuonyesha kazaliwa lini na mzazi wake ni nani. Humu ndani ya jamvi ilithibitika kuwa Mzee Moses Nnauye si baba yake. Hata hivyo Nappy Nnauye ni kilaza tu. Huko India alisoma akitumia lugha gani? Mbona Kiingereza alipa zero. Eti ana digrii ya Saikolojia na Lugha. Lugha ipi? Aahaaa! Nimekumbuka digrii za India zaweza kununuliwa. Alinunua. Ndiyo maana akafanywa Vuvuzela wa Magamba.
 
Back
Top Bottom