Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

Kumekuwepo na habari ambayo inavumishwa katika mitandao ya kijamii hasa hapa Jamiiforums kuhusu Elimu ya Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikati na Uenezi, Ndugu Nape Moses Nnauye. Taarifa hiyo kwa kiasi kikubwa inapotosha na kueleza yale ambayo si sahihi kuhusiana na CV ya Kiongozi huyo wa Chama cha Mapinduzi; Kutokana na Hilo, nimeona ni jambo la busara kuwasaidia wanajamvi kwa kuwapa CV iliyo sahihi ya Nape Moses Nnauye kama ifuatavyo;


  • Kati ya mwaka 1987-1989 alianza elimu yake ya msingi katika shule ya Msingi Mwanga-iliyopo Iramba Singida (ambapo alianza darasa la 1 mpaka 3)
  • Mwaka 1989-1993 aliendelea na kumalizia elimu ya msingi katika shule ya Bukumbi iliyopo misungwi Mwanza.(ambako alikuwa ni kati ya wanafunzi watatu “3” kati ya 120 waliochaguliwa sekondari.
  • Mwaka 1994-1995 alianza elimu ya Sekondari katika shule ya kutwa ya Ngudu Sekondari.(ambapo alisoma kidato cha kwanza mpaka cha pili)
  • Mwaka 1995-1997 aliendelea na elimu ya sekondari katika shule ya Bweni ya Sekondari Nsumba iliyopo Mwanza (ambapo aliendelea kidato cha pili mpaka cha nne)
  • Mwaka 1998-2000 alisoma elimu ya juu ya sekondari (advanced level), mchepuo wa EGM na kuhitimu Butimba TTC
  • Mwaka 2001-2002 alisoma Diploma ya sayansi ya jamii katika Chuo Cha sayansi ya Jamii-Kivukoni.
  • Mwaka 2002-2003 alisomea Diploma ya Diplomasia na uhusiano wa Kimataifa –Chuo cha Diplomasia Dar es salaam.
  • Mwaka 2005-2008 alisomea digrii ya Saikolojia, Lugha na Habari katika Chuo Kikuu cha Bangalore-India
  • Mwaka 2009-2010 alisoma digrii ya pili ya utawala (Masters in Public Administration-MPA) katika chuo cha Mzumbe.
NB: Ndugu Nape Nnauye akiwa Kivukoni aliandika “thesis” iliyohusu ; VIKWAZO VINAVYOZUIA VIJANA KUSHIRIKI KATIKA SIASA. Na pia akiwa Mzumbe University aliandika kuhusu ; SABABU ZINAZOCHANGIA USHIRIKI WA WAPIGAKURA (ni ipi sababu ya kutojitokeza wapigakura siku ya Kura)

hizi diploma ni noma mwaka 1 tu kamaliza kweli nchi hii haina mitaala je hivyo vyeti vya diploma vinatambulika kweli.
 
Ndugu yangu butimba ttc kwa kirefu ni butimba teachers terchinical college sasa chuo cha ualimu na a level wap na wap then hiyo diploma ya mwaka mmoja mmoja haijatulia pitia vizuri uirekebishe next tym hiyo fake cv

hiyo ttc,ni teacher training college.umeposha mkuu
 
Elimu ya Nape inamashaka sana yaan kila kitu kinaonekana fogari za magamba tu. Ndio maana anaonekanaga mropokaji sana.
 
mimi nafikiri labda ni kweli hakufanya vizuri kitaaluma hasa ukizingatia alikuwa mtoto wa mtu mkubwa angesomea kwenye sekondari zilizo bora, kwani kuna ugumu gani kujitokeza hapa jf kuweka mambo wazi?kama anavyojitokeza mara kwa mara kujibu hoja zinazohusu ccm?
 
anasoma diploma akaandika "Thesis"?. acha uongo!, hapo aliandika Sp-report tu. Thesis ni huko kwenye Masters (tena ni masters by research ya 3 years) au PhD. Hata hivyo, elimu yake haijatukonga nyoyo wafuasi. Na huko kuhamahama kwake shule ndiyo kumemfanya anaonekana ni mtu asiye mtulivu.
 
Mwandishi kajifunze upya kuandika CV. Hapa inaonekana kama umeandika historia fupi ya marehemu.
 
Kumekuwepo na habari ambayo inavumishwa katika mitandao ya kijamii hasa hapa Jamiiforums kuhusu Elimu ya Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikati na Uenezi, Ndugu Nape Moses Nnauye. Taarifa hiyo kwa kiasi kikubwa inapotosha na kueleza yale ambayo si sahihi kuhusiana na CV ya Kiongozi huyo wa Chama cha Mapinduzi; Kutokana na Hilo, nimeona ni jambo la busara kuwasaidia wanajamvi kwa kuwapa CV iliyo sahihi ya Nape Moses Nnauye kama ifuatavyo;


  • Kati ya mwaka 1987-1989 alianza elimu yake ya msingi katika shule ya Msingi Mwanga-iliyopo Iramba Singida (ambapo alianza darasa la 1 mpaka 3)
  • Mwaka 1989-1993 aliendelea na kumalizia elimu ya msingi katika shule ya Bukumbi iliyopo misungwi Mwanza.(ambako alikuwa ni kati ya wanafunzi watatu "3" kati ya 120 waliochaguliwa sekondari.
  • Mwaka 1994-1995 alianza elimu ya Sekondari katika shule ya kutwa ya Ngudu Sekondari.(ambapo alisoma kidato cha kwanza mpaka cha pili)
  • Mwaka 1995-1997 aliendelea na elimu ya sekondari katika shule ya Bweni ya Sekondari Nsumba iliyopo Mwanza (ambapo aliendelea kidato cha pili mpaka cha nne)
  • Mwaka 1998-2000 alisoma elimu ya juu ya sekondari (advanced level), mchepuo wa EGM na kuhitimu Butimba TTC
  • Mwaka 2001-2002 alisoma Diploma ya sayansi ya jamii katika Chuo Cha sayansi ya Jamii-Kivukoni.
  • Mwaka 2002-2003 alisomea Diploma ya Diplomasia na uhusiano wa Kimataifa –Chuo cha Diplomasia Dar es salaam.
  • Mwaka 2005-2008 alisomea digrii ya Saikolojia, Lugha na Habari katika Chuo Kikuu cha Bangalore-India
  • Mwaka 2009-2010 alisoma digrii ya pili ya utawala (Masters in Public Administration-MPA) katika chuo cha Mzumbe.
NB: Ndugu Nape Nnauye akiwa Kivukoni aliandika "thesis" iliyohusu ; VIKWAZO VINAVYOZUIA VIJANA KUSHIRIKI KATIKA SIASA. Na pia akiwa Mzumbe University aliandika kuhusu ; SABABU ZINAZOCHANGIA USHIRIKI WA WAPIGAKURA (ni ipi sababu ya kutojitokeza wapigakura siku ya Kura)

Hizi sifa ulizompa hapa haziendani na mtu mwenyewe labda kama unaandika historia ya marehemu. Akifungua mdomo ndio utajua hana hata sifa mojawapo ya hizo hapo juu. Labda huyu ni miongoni mwa wale wanaofaulu huku wakiwa hawajui kusoma, kuhesabu na kuandika. Kwa nchi hii hilo linawezekana. Kama watoto zaidi ya 5000 wanafaulu wakiwa mbumbu kwa K zote tatu kwanini Nape naye asijipatie madigrii ya kuokota!
 
Mengi yamezungumzwa mimi nashauri sasa kiundwe kikosi kazi maalumu cha kumleta Nape humu ajibu vipengele vyote ndani ya hiyo historia fupi ya marehemu. Kwa performance yake hata upolisi hafai chilia mbali ualimu wa shule za msingi.maana cut off point za polisi na ualimu ni pts 28. Baada ya kuona historia hiyo (sio CV) ndio nimejua kwanini kila anapofungua mdomo inakuwa tatizo. Mimi naona digrii aliyonayo sasa ni ya udini, ukabila, ukanda na ujinsia yaani 4U
 
Kuna mtu kajitokeza kujibu
elimu ya Nape wengi wakahoji
kwani Nape yuko wapi
asijitokeze mwenyewe kujibu
kama alivyofanya Mnyika?
Naomba mfahamu aliyejibu ni
Nape mwenyewe kwa kutumia
ID ya bandia, lakini amekuwa
mno too radical hadi watu
wakamshtukia.
Lakini hoja sio kuwa radical,
au kutumia ID bandia, hoja ni
kuwa amefanya upotoshaji wa
makusudi uliotuacha mdomnd
wazi wale tunaomfahamu.
Sasa ukweli kuhusu elimu ya
Nape huu hapa.
Mwaka 1993 alifeli darasa la
saba. Wakati ule jina halali la
Nape akiitwa Nahum Nnauye.
Waliosoma nae wanakumbuka.
Bt akafanyiwa mpango na
kupewa jina la Nape Mkumbo
Nyagicha mtoto masikini wa
Kinyiramba, aliyefaulu lakini
familia yake haikuwa na
uwezo wa kumsomesha.
Mwaka 1994 Nahum Nnauye
akajiunga na shule ya
sekondari ya kutwa Ndugu
wilayani Kwimba akiwa na jina
kaiba jina jipya la Nape.
Mwaka 1995 akahamishiwa
shule ya Sekondari Nsumba
kwa kutumia title ya baba
yake Mzee Moses Nnauye.
Mwal 1997 akafeli form four
kwa kupata division four ya
point 29 akiwa na D 4, c 1 na
F 5. Akareseat mara 2 bila
mafanikio pale Butimc TTC
ambacho ni kituo cha
watahiniwa binafsi. Mwaka
1999 na mwaka 2000.
Akakata tamaa na hatimaye
mwaka 2001 akaamua kwenda
kusoma cheti cha Uhazili (cert
of secretarial services) katika
chuo cha Kivukoni. So kabla
sijaendelea naomba ieleweke
kuwa Nahum Moses Nnauye
(Nape) hajawahi kusoma form
5 shule yoyote duniani. Kama
anabisha aje hapa tumuulize
maswali ya Geography 1 au
Ecomics 2 uone
atakavyochanganyikiwa.
Kwanza hajui kama kun
paper 1 na 2 A.level,
atasemaje amesoma A.level?
So uhazili mwaka akatumia
cheti chake cha uhazili
kuomba diploma pale chuo
cha Diplomasia kurasini.
akapata na akaanza kusoma.
Mwaka mwaka 2002 akafeli
kuendelea na 2nd year baada
ya kupata suplimentary 4 ktk
masomo 6 aliyokuwa akisoma.
So kwa kifupi akadsco. Hivyo
naomba ieleweke kuwa huyu
jamaa anayejiita Nape
hajawahi kutunukiwa
diplmoma yoyote kutoka Chuo
cha Diplomasia Kurasini.
Kwanza asikidhalilishe chuo
maana pale hakuna Diploma
ya mwaka mmoja. kama
anabisha aupoad picha yoyote
hapa alipokuwa anatunukiwa
hiyo diploma.
Grace Mwasonge
unamkumbuka Nape vzr
maana alikuwa classmate
wako wakati huo. So najua
uko humu japo kwa ID tofauti
naomba ujitokeze kudhibitisha
ili isionekane nafanya
defamation.
Mwaka 2004 akatumia cheti
chake form four kuomba
degree India kwa kusaidiwa na
mwandishi mmoja mashuhuri
nchini kwa kuwatafutia vyuo
vya nje watu waliofeli.
Na akapata kwa masharti ya
kusoma miaka minne.
Ikumbukwe India ni nchi
yenye vyuo vya hovyo sana
duniani, na ni miongoni mwa
nchi ambazo hata kama una
zero unaweza kusoma
Bachelor bila matatizo yoyote
hadi ukahitimu. Reffer kesi ya
Mr.Andekisye, Lecturer
aliyefukuzwa kazi Arusha
University kwa kusoma elimu
feki India. Andekisye aliajiriwa
kama mhadhiri wa Marketing
na Business Mathematics
akidai ana MBA kutoka India.
Bt ilipofuatiliwa ikagundulika
ni kweli ana Masters bt
hajawahi kusoma Bachelor.
Alichomoka na Diploma yake
ya Ualimu (Mathematics &
Physics) kutoka Monduli TTC
akaaply Masters India akapata
akaenda kujoin. Sasa imagine
mtu anatoka Diploma
anakwenda Masters sembuse
Nape kusoma bachelor?
So akapata degree yake fake
ya psychology ambayo ndiyo
aliyoitumia kuomba masters
mzumbe. Na mzumbe
hakukabidhi cheti zaidi ya kile
cha degree yake ya India.
Kama anabisha aweke vyeti
vyake vya o.lel na a.level
hapa.
Huyo ndiye Nahum Moses
Nnauye anayejiita Nape.
Katibu mwenzezi wa Chama
cha Mapinduzi CCM na
mgombe ubunge ubungo
mwaka 2010, wakati ule
akijaribu kushindana na
genious aliyepata A 9 O.Level
yeye akiwa na D 4 tu.
 
Duh JF ni kiboko cha njia kwa hiyo Nape hajawahi soma five na six, hajawahi kuwa na diploma ya Diplomasia, Kozi aliyosama ni ya usecretary na kweli ana mipasho kama masecretary Nape anapenda kuwaita wenziwe zero, kumbe hata darasa la saba aliiba cheti cha Nape Mkumbo mtoto wa kinyiramba yeye ni Nahum duh

Yote tisa Sokeine hakusoma lakini hapajatokea Waziri Mkuu aliyekuwepo kwa niaba ya watu kama yeye
 
Khaaa,Nape inabidi urudi class,you still have a very long way broo
 
Back
Top Bottom