Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

  • Mwaka 2001-2002 alisoma Diploma ya sayansi ya jamii katika Chuo Cha sayansi ya Jamii-Kivukoni.
  • Mwaka 2002-2003 alisomea Diploma ya Diplomasia na uhusiano wa Kimataifa –Chuo cha Diplomasia Dar es salaam.
  • Mwaka 2005-2008 alisomea digrii ya Saikolojia, Lugha na Habari katika Chuo Kikuu cha Bangalore-India
  • Mwaka 2009-2010 alisoma digrii ya pili ya utawala (Masters in Public Administration-MPA) katika chuo cha Mzumbe.
NB: Ndugu Nape Nnauye akiwa Kivukoni aliandika “thesis” iliyohusu ; VIKWAZO VINAVYOZUIA VIJANA KUSHIRIKI KATIKA SIASA. Na pia akiwa Mzumbe University aliandika kuhusu ; SABABU ZINAZOCHANGIA USHIRIKI WA WAPIGAKURA (ni ipi sababu ya kutojitokeza wapigakura siku ya Kura)


Haya mambo ndio hayo acheni matusi ya reja reja kwa kijana wetu, tumempa kazi kwa kumuamini sio kwa u-godifaza maana wengine wakiona jina lake likiwa na Nnauye wanadhani kafadhiliwa hapana, amethubutu na ameweza sasa ni kusonga mbele. SASA KAMA NI TISHIO KWENU kaeni mkao wa kula maana huyo ni miongoni mwa vinara wetu kuelekea 2015 anaijua siasa ya akina... kwa kusomea na uzoefu.
 
Tuanzie hapa form 4

NAPE NNAUYE
SEX M DIV IV PTS 29 KISW D HIST D GEOG D ENGL F B/MATH F BIOL D CHEM D PHY D CIV F
-----------------------
JOHN MNYIKA
SEX M DIV I PTS 7 PHY A CHEM A BIOL A CIV A ENGL A GEOG A HIST A B/MATH A KISW A B/KNOW A

Tunataka cv ya Mnyika kama alivyoitoa mwenyewe.sio kutuletea usanii hapa
 
Kwani Chuo cha Ualimu Butimba kina masuala ya EGM kweli?? Na je ni kwanini hakusoma degree moja kwa moja baada ya kumaliza EGM yake mpaka aanze diploma na diploma tena?????????????????????????
 
WANA JF,
Nimeikuta mahali hii je ina ukweli wowote?

_________________________________________
Nimeamua kueleza ukweli huu
baada ya kuona upotoshaji wa
makusudi unaoendelea humu.

Kuna mtu kajitokeza kujibu elimu
ya Nape wengi wakahoji kwani
Nape yuko wapi asijitokeze
mwenyewe kujibu kama alivyofanya
Mnyika?

Naomba mfahamu aliyejibu ni
Nape mwenyewe kwa kutumia ID ya
bandia, lakini amekuwa mno too
radical hadi watu wakamshtukia.

Lakini hoja sio kuwa radical, au
kutumia ID bandia, hoja ni kuwa
amefanya upotoshaji wa makusudi
uliotuacha mdomo wazi wale
tunaomfahamu.

Sasa ukweli
kuhusu elimu ya Nape huu hapa.
Mwaka 1993 alifeli darasa la saba.
Wakati ule jina halali la Nape
akiitwa Nahum Nnauye. Waliosoma
nae wanakumbuka. (japo inadaiwa hatj Mzee Moses Nnauye hakua baba yake wa damu maana baba yake ni Prof.Mark Mwandosya).

Bt akafanyiwa
mpango na kupewa jina la Nape
Mkumbo Nyagicha mtoto masikini
wa Kinyiramba, aliyefaulu lakini
familia yake haikuwa na uwezo wa
kumsomesha.

Mwaka 1994 Nahum Nnauye
akajiunga na shule ya sekondari ya
kutwa Ngudu wilayani Kwimba
akiwa na jina jipya la Nape. Mwaka
1995 akahamishiwa shule ya
Sekondari Nsumba kwa kutumia
title ya baba yake Mzee Moses
Nnauye.

Mwal 1997 akafeli form four kwa
kupata division four ya point 29
akiwa na D 4, c 1 na F 5. Akareseat
mara 2 bila mafanikio pale Butimc
TTC ambacho ni kituo cha
watahiniwa binafsi.

Mwaka 1999 na
mwaka 2000.
Akakata tamaa na hatimaye mwaka
2001 akaamua kwenda kusoma
cheti cha Uhazili (cert of
secretarial services) katika chuo
cha Kivukoni.

So kabla sijaendelea
naomba ieleweke kuwa Nahum
Moses Nnauye (Nape) hajawahi
kusoma form 5 shule yoyote
duniani. Kama anabisha aje hapa
tumuulize maswali ya Geography 1
au Ecomics 2 uone
atakavyochanganyikiwa. Kwanza
hajui kama kuna paper 1 na 2
A.level, atasemaje amesoma
A.level?

So akatumia cheti chake cha
uhazili kuomba diploma pale chuo
cha Diplomasia kurasini. akapata
na akaanza kusoma. Mwaka mwaka
2002 akafeli kuendelea na 2nd year
baada ya kupata suplimentary 4
ktk masomo 6 aliyokuwa akisoma.
So kwa kifupi akadsco.

Hivyo
naomba ieleweke kuwa huyu jamaa
anayejiita Nape hajawahi
kutunukiwa diploma yoyote kutoka
Chuo cha Diplomasia Kurasini.
Kwanza asikidhalilishe chuo maana
pale hakuna Diploma ya mwaka
mmoja. kama anabisha aupoad
picha yoyote hapa alipokuwa
anatunukiwa hiyo diploma.

Grace Mwasonge unamkumbuka
Nape vzr maana alikuwa classmate
wako wakati huo. So najua uko
humu japo kwa ID tofauti naomba
ujitokeze kudhibitisha ili
isionekane nafanya defamation.

Mwaka 2004 akatumia cheti chake
cha form four kuomba degree India
kwa kusaidiwa na mwandishi
mmoja mashuhuri nchini kwa
kuwatafutia vyuo vya nje watu
waliofeli.

Na akapata kwa masharti ya
kusoma miaka minne. Ikumbukwe
India ni nchi yenye vyuo vya hovyo
sana duniani, na ni miongoni mwa
nchi ambazo hata kama una zero
unaweza kusoma Bachelor bila
matatizo yoyote hadi ukahitimu.

Reffer kesi ya Mr.Andekisye,
Lecturer aliyefukuzwa kazi Arusha
University kwa kusoma elimu feki
India. Andekisye aliajiriwa kama
mhadhiri wa Marketing na
Business Mathematics akidai ana
MBA kutoka India.

Bt ilipofuatiliwa ikagundulika ni
kweli ana Masters ya MBA bt
hajawahi kusoma Bachelor.
Alichomoka na Diploma yake ya
Ualimu (Mathematics & Physics)
kutoka Monduli TTC akaaply
Masters India akapata akaenda
kujoin. Sasa imagine mtu anatoka
Diploma anakwenda Masters
sembuse Nape kusoma bachelor?

Nape akapata degree yake fake ya
psychology ambayo ndiyo
aliyoitumia kuomba masters
mzumbe. Na mzumbe hakukabidhi
cheti zaidi ya kile cha degree yake
ya India.

Kama anabisha aweke vyeti vyake
vya o.lel na a.level hapa.
Huyo ndiye Nahum Moses Nnauye
anayejiita Nape. Katibu mwenzezi
wa Chama cha Mapinduzi CCM na
mgombe ubunge ubungo mwaka
2010, wakati ule akijaribu
kushindana na Genious aliyepata A
9 O.Level yeye akiwa na D 4 tu.
 
Heh,kumbe hana tofauti na Nchimbi aliyepata Div 4 ya O-Level lakn akaenda IDM Mzumbe kwa maelekezo maalum ya chama!!
 
Kumekuwepo na habari ambayo inavumishwa katika mitandao ya kijamii hasa hapa Jamiiforums kuhusu Elimu ya Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikati na Uenezi, Ndugu Nape Moses Nnauye. Taarifa hiyo kwa kiasi kikubwa inapotosha na kueleza yale ambayo si sahihi kuhusiana na CV ya Kiongozi huyo wa Chama cha Mapinduzi; Kutokana na Hilo, nimeona ni jambo la busara kuwasaidia wanajamvi kwa kuwapa CV iliyo sahihi ya Nape Moses Nnauye kama ifuatavyo;


  • Kati ya mwaka 1987-1989 alianza elimu yake ya msingi katika shule ya Msingi Mwanga-iliyopo Iramba Singida (ambapo alianza darasa la 1 mpaka 3)
  • Mwaka 1989-1993 aliendelea na kumalizia elimu ya msingi katika shule ya Bukumbi iliyopo misungwi Mwanza.(ambako alikuwa ni kati ya wanafunzi watatu “3” kati ya 120 waliochaguliwa sekondari.
  • Mwaka 1994-1995 alianza elimu ya Sekondari katika shule ya kutwa ya Ngudu Sekondari.(ambapo alisoma kidato cha kwanza mpaka cha pili)
  • Mwaka 1995-1997 aliendelea na elimu ya sekondari katika shule ya Bweni ya Sekondari Nsumba iliyopo Mwanza (ambapo aliendelea kidato cha pili mpaka cha nne)
  • Mwaka 1998-2000 alisoma elimu ya juu ya sekondari (advanced level), mchepuo wa EGM na kuhitimu Butimba TTC
  • Mwaka 2001-2002 alisoma Diploma ya sayansi ya jamii katika Chuo Cha sayansi ya Jamii-Kivukoni.
  • Mwaka 2002-2003 alisomea Diploma ya Diplomasia na uhusiano wa Kimataifa –Chuo cha Diplomasia Dar es salaam.
  • Mwaka 2005-2008 alisomea digrii ya Saikolojia, Lugha na Habari katika Chuo Kikuu cha Bangalore-India
  • Mwaka 2009-2010 alisoma digrii ya pili ya utawala (Masters in Public Administration-MPA) katika chuo cha Mzumbe.
NB: Ndugu Nape Nnauye akiwa Kivukoni aliandika “thesis” iliyohusu ; VIKWAZO VINAVYOZUIA VIJANA KUSHIRIKI KATIKA SIASA. Na pia akiwa Mzumbe University aliandika kuhusu ; SABABU ZINAZOCHANGIA USHIRIKI WA WAPIGAKURA (ni ipi sababu ya kutojitokeza wapigakura siku ya Kura)

HAPANA --- MATOKEO ya FORM FOUR yalimnyima uwezo wa kufanya MTIHANI wa FORM SIX unahitaji at least 3 C's alikuwa hana hata MOJA; BUTIMBA alikwenda kurudia O'LEVEL alijaribu Mara 3 hakuweza kuweka hata C Moja
Kwanini kuchakachua???
 
Kumekuwepo na habari ambayo inavumishwa katika mitandao ya kijamii hasa hapa Jamiiforums kuhusu Elimu ya Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikati na Uenezi, Ndugu Nape Moses Nnauye. Taarifa hiyo kwa kiasi kikubwa inapotosha na kueleza yale ambayo si sahihi kuhusiana na CV ya Kiongozi huyo wa Chama cha Mapinduzi; Kutokana na Hilo, nimeona ni jambo la busara kuwasaidia wanajamvi kwa kuwapa CV iliyo sahihi ya Nape Moses Nnauye kama ifuatavyo;


  • Kati ya mwaka 1987-1989 alianza elimu yake ya msingi katika shule ya Msingi Mwanga-iliyopo Iramba Singida (ambapo alianza darasa la 1 mpaka 3)
  • Mwaka 1989-1993 aliendelea na kumalizia elimu ya msingi katika shule ya Bukumbi iliyopo misungwi Mwanza.(ambako alikuwa ni kati ya wanafunzi watatu “3” kati ya 120 waliochaguliwa sekondari.
  • Mwaka 1994-1995 alianza elimu ya Sekondari katika shule ya kutwa ya Ngudu Sekondari.(ambapo alisoma kidato cha kwanza mpaka cha pili)
  • Mwaka 1995-1997 aliendelea na elimu ya sekondari katika shule ya Bweni ya Sekondari Nsumba iliyopo Mwanza (ambapo aliendelea kidato cha pili mpaka cha nne)
  • Mwaka 1998-2000 alisoma elimu ya juu ya sekondari (advanced level), mchepuo wa EGM na kuhitimu Butimba TTC
  • Mwaka 2001-2002 alisoma Diploma ya sayansi ya jamii katika Chuo Cha sayansi ya Jamii-Kivukoni.
  • Mwaka 2002-2003 alisomea Diploma ya Diplomasia na uhusiano wa Kimataifa –Chuo cha Diplomasia Dar es salaam.
  • Mwaka 2005-2008 alisomea digrii ya Saikolojia, Lugha na Habari katika Chuo Kikuu cha Bangalore-India
  • Mwaka 2009-2010 alisoma digrii ya pili ya utawala (Masters in Public Administration-MPA) katika chuo cha Mzumbe.
NB: Ndugu Nape Nnauye akiwa Kivukoni aliandika “thesis” iliyohusu ; VIKWAZO VINAVYOZUIA VIJANA KUSHIRIKI KATIKA SIASA. Na pia akiwa Mzumbe University aliandika kuhusu ; SABABU ZINAZOCHANGIA USHIRIKI WA WAPIGAKURA (ni ipi sababu ya kutojitokeza wapigakura siku ya Kura)

kumbe matatizo yake ni ya muda mrefu sana kuunga unga huku vijidip vya mwaka 1x1 inaonesha ni kwa namna gani ubongo uko slow jamani kumbe sasa kuna haja kufanya utafiti watu kama hawa huwa wanakosa nini mpaka kuunga unga hivi
 
mbe ameungaunga ndiyo maana hana hata mpangilio wa hotuba zake majukwaani. Huyu bado cha mtoto, Sayansi ya jamii hata kama ana cheti alitoa chochote. Leo ndio umetufunulia ukweli wa huyu jamaa. Ni dhahiri kuwa unavyowekeza ndivyo utakavyopata. Haiwezekana upande mchicha uvune bangi yenye thaman. we linganisha na majembe ya CDM: (15 Napes = 0.5 Tundu Lissu, 1 Mnyika, 0.9 Zito)
 
Tangu lini Butimba TTC ikatoa wanafunzi wa A.LEVEL combination ya EGM?mm ninachojua ni kwamba Butimba TTC ni chuo cha ualimu sasa inakuwaje huyu jamaa anasema eti Nape alihitimu pale A-level?
 
WANA JF,
Nimeikuta mahali hii je ina ukweli wowote?

_________________________________________
Nimeamua kueleza ukweli huu
baada ya kuona upotoshaji wa
makusudi unaoendelea humu.

Kuna mtu kajitokeza kujibu elimu
ya Nape wengi wakahoji kwani
Nape yuko wapi asijitokeze
mwenyewe kujibu kama alivyofanya
Mnyika?

Naomba mfahamu aliyejibu ni
Nape mwenyewe kwa kutumia ID ya
bandia, lakini amekuwa mno too
radical hadi watu wakamshtukia.

Lakini hoja sio kuwa radical, au
kutumia ID bandia, hoja ni kuwa
amefanya upotoshaji wa makusudi
uliotuacha mdomo wazi wale
tunaomfahamu.

Sasa ukweli
kuhusu elimu ya Nape huu hapa.
Mwaka 1993 alifeli darasa la saba.
Wakati ule jina halali la Nape
akiitwa Nahum Nnauye. Waliosoma
nae wanakumbuka. (japo inadaiwa hatj Mzee Moses Nnauye hakua baba yake wa damu maana baba yake ni Prof.Mark Mwandosya).

Bt akafanyiwa
mpango na kupewa jina la Nape
Mkumbo Nyagicha mtoto masikini
wa Kinyiramba, aliyefaulu lakini
familia yake haikuwa na uwezo wa
kumsomesha.

Mwaka 1994 Nahum Nnauye
akajiunga na shule ya sekondari ya
kutwa Ngudu wilayani Kwimba
akiwa na jina jipya la Nape. Mwaka
1995 akahamishiwa shule ya
Sekondari Nsumba kwa kutumia
title ya baba yake Mzee Moses
Nnauye.

Mwal 1997 akafeli form four kwa
kupata division four ya point 29
akiwa na D 4, c 1 na F 5. Akareseat
mara 2 bila mafanikio pale Butimc
TTC ambacho ni kituo cha
watahiniwa binafsi.

Mwaka 1999 na
mwaka 2000.
Akakata tamaa na hatimaye mwaka
2001 akaamua kwenda kusoma
cheti cha Uhazili (cert of
secretarial services) katika chuo
cha Kivukoni.

So kabla sijaendelea
naomba ieleweke kuwa Nahum
Moses Nnauye (Nape) hajawahi
kusoma form 5 shule yoyote
duniani. Kama anabisha aje hapa
tumuulize maswali ya Geography 1
au Ecomics 2 uone
atakavyochanganyikiwa. Kwanza
hajui kama kuna paper 1 na 2
A.level, atasemaje amesoma
A.level?

So akatumia cheti chake cha
uhazili kuomba diploma pale chuo
cha Diplomasia kurasini. akapata
na akaanza kusoma. Mwaka mwaka
2002 akafeli kuendelea na 2nd year
baada ya kupata suplimentary 4
ktk masomo 6 aliyokuwa akisoma.
So kwa kifupi akadsco.

Hivyo
naomba ieleweke kuwa huyu jamaa
anayejiita Nape hajawahi
kutunukiwa diploma yoyote kutoka
Chuo cha Diplomasia Kurasini.
Kwanza asikidhalilishe chuo maana
pale hakuna Diploma ya mwaka
mmoja. kama anabisha aupoad
picha yoyote hapa alipokuwa
anatunukiwa hiyo diploma.

Grace Mwasonge unamkumbuka
Nape vzr maana alikuwa classmate
wako wakati huo. So najua uko
humu japo kwa ID tofauti naomba
ujitokeze kudhibitisha ili
isionekane nafanya defamation.

Mwaka 2004 akatumia cheti chake
cha form four kuomba degree India
kwa kusaidiwa na mwandishi
mmoja mashuhuri nchini kwa
kuwatafutia vyuo vya nje watu
waliofeli.

Na akapata kwa masharti ya
kusoma miaka minne. Ikumbukwe
India ni nchi yenye vyuo vya hovyo
sana duniani, na ni miongoni mwa
nchi ambazo hata kama una zero
unaweza kusoma Bachelor bila
matatizo yoyote hadi ukahitimu.

Reffer kesi ya Mr.Andekisye,
Lecturer aliyefukuzwa kazi Arusha
University kwa kusoma elimu feki
India. Andekisye aliajiriwa kama
mhadhiri wa Marketing na
Business Mathematics akidai ana
MBA kutoka India.

Bt ilipofuatiliwa ikagundulika ni
kweli ana Masters ya MBA bt
hajawahi kusoma Bachelor.
Alichomoka na Diploma yake ya
Ualimu (Mathematics & Physics)
kutoka Monduli TTC akaaply
Masters India akapata akaenda
kujoin. Sasa imagine mtu anatoka
Diploma anakwenda Masters
sembuse Nape kusoma bachelor?

Nape akapata degree yake fake ya
psychology ambayo ndiyo
aliyoitumia kuomba masters
mzumbe. Na mzumbe hakukabidhi
cheti zaidi ya kile cha degree yake
ya India.

Kama anabisha aweke vyeti vyake
vya o.lel na a.level hapa.
Huyo ndiye Nahum Moses Nnauye
anayejiita Nape. Katibu mwenzezi
wa Chama cha Mapinduzi CCM na
mgombe ubunge ubungo mwaka
2010, wakati ule akijaribu
kushindana na Genious aliyepata A
9 O.Level yeye akiwa na D 4 tu.

Nasikia na hiyo Masters ya hapo MZUMBE aliandikiwa research na mtu.Huyu bwana atolewe katika nafasi ya uenezi vinginevyo ataua chama moja kwa moja.CCJ MOJA!
 
Kuna mtu kajitokeza kujibu
elimu ya Nape wengi wakahoji
kwani Nape yuko wapi
asijitokeze mwenyewe kujibu
kama alivyofanya Mnyika?
Naomba mfahamu aliyejibu ni
Nape mwenyewe kwa kutumia
ID ya bandia, lakini amekuwa
mno too radical hadi watu
wakamshtukia.
Lakini hoja sio kuwa radical,
au kutumia ID bandia, hoja ni
kuwa amefanya upotoshaji wa
makusudi uliotuacha mdomnd
wazi wale tunaomfahamu.
Sasa ukweli kuhusu elimu ya
Nape huu hapa.
Mwaka 1993 alifeli darasa la
saba. Wakati ule jina halali la
Nape akiitwa Nahum Nnauye.
Waliosoma nae wanakumbuka.
Bt akafanyiwa mpango na
kupewa jina la Nape Mkumbo
Nyagicha mtoto masikini wa
Kinyiramba, aliyefaulu lakini
familia yake haikuwa na
uwezo wa kumsomesha.
Mwaka 1994 Nahum Nnauye
akajiunga na shule ya
sekondari ya kutwa Ndugu
wilayani Kwimba akiwa na jina
kaiba jina jipya la Nape.
Mwaka 1995 akahamishiwa
shule ya Sekondari Nsumba
kwa kutumia title ya baba
yake Mzee Moses Nnauye.
Mwal 1997 akafeli form four
kwa kupata division four ya
point 29 akiwa na D 4, c 1 na
F 5. Akareseat mara 2 bila
mafanikio pale Butimc TTC
ambacho ni kituo cha
watahiniwa binafsi. Mwaka
1999 na mwaka 2000.
Akakata tamaa na hatimaye
mwaka 2001 akaamua kwenda
kusoma cheti cha Uhazili (cert
of secretarial services) katika
chuo cha Kivukoni. So kabla
sijaendelea naomba ieleweke
kuwa Nahum Moses Nnauye
(Nape) hajawahi kusoma form
5 shule yoyote duniani. Kama
anabisha aje hapa tumuulize
maswali ya Geography 1 au
Ecomics 2 uone
atakavyochanganyikiwa.
Kwanza hajui kama kun
paper 1 na 2 A.level,
atasemaje amesoma A.level?
So uhazili mwaka akatumia
cheti chake cha uhazili
kuomba diploma pale chuo
cha Diplomasia kurasini.
akapata na akaanza kusoma.
Mwaka mwaka 2002 akafeli
kuendelea na 2nd year baada
ya kupata suplimentary 4 ktk
masomo 6 aliyokuwa akisoma.
So kwa kifupi akadsco. Hivyo
naomba ieleweke kuwa huyu
jamaa anayejiita Nape
hajawahi kutunukiwa
diplmoma yoyote kutoka Chuo
cha Diplomasia Kurasini.
Kwanza asikidhalilishe chuo
maana pale hakuna Diploma
ya mwaka mmoja. kama
anabisha aupoad picha yoyote
hapa alipokuwa anatunukiwa
hiyo diploma.
Grace Mwasonge
unamkumbuka Nape vzr
maana alikuwa classmate
wako wakati huo. So najua
uko humu japo kwa ID tofauti
naomba ujitokeze kudhibitisha
ili isionekane nafanya
defamation.
Mwaka 2004 akatumia cheti
chake form four kuomba
degree India kwa kusaidiwa na
mwandishi mmoja mashuhuri
nchini kwa kuwatafutia vyuo
vya nje watu waliofeli.
Na akapata kwa masharti ya
kusoma miaka minne.
Ikumbukwe India ni nchi
yenye vyuo vya hovyo sana
duniani, na ni miongoni mwa
nchi ambazo hata kama una
zero unaweza kusoma
Bachelor bila matatizo yoyote
hadi ukahitimu. Reffer kesi ya
Mr.Andekisye, Lecturer
aliyefukuzwa kazi Arusha
University kwa kusoma elimu
feki India. Andekisye aliajiriwa
kama mhadhiri wa Marketing
na Business Mathematics
akidai ana MBA kutoka India.
Bt ilipofuatiliwa ikagundulika
ni kweli ana Masters bt
hajawahi kusoma Bachelor.
Alichomoka na Diploma yake
ya Ualimu (Mathematics &
Physics) kutoka Monduli TTC
akaaply Masters India akapata
akaenda kujoin. Sasa imagine
mtu anatoka Diploma
anakwenda Masters sembuse
Nape kusoma bachelor?
So akapata degree yake fake
ya psychology ambayo ndiyo
aliyoitumia kuomba masters
mzumbe. Na mzumbe
hakukabidhi cheti zaidi ya kile
cha degree yake ya India.
Kama anabisha aweke vyeti
vyake vya o.lel na a.level
hapa.
Huyo ndiye Nahum Moses
Nnauye anayejiita Nape.
Katibu mwenzezi wa Chama
cha Mapinduzi CCM na
mgombe ubunge ubungo
mwaka 2010, wakati ule
akijaribu kushindana na
genious aliyepata A 9 O.Level
yeye akiwa na D 4 tu.

Hatujui tumwamin yupi hapa
 
Mwaka 1998-2000 alisoma elimu ya juu ya sekondari (advanced level), mchepuo wa EGM na kuhitimu Butimba TTC

Hapa tu ndio sijaelelwa
 
mbona wewe tandale one unakuaga hauna akili? Iv kuna shule inaitwa butimba ttc jijini mwanza?? Acha ujinga na wewe io sio shule ni ki2o cha kuresiti au kujiendeleza kielimu kwa wa2 wazima na ni ki2o cha walimu? Kweli hata na wewe ujasoma mtoa mada ni wap ulisikia diploma ya mwaka mmoja?? Eti ana thesis?? Sasa si mtu yoyote anaesoma chuo anaweza kuiandika?? Kwaio na wewe ukajiona una msafisha?? Tandale one rudi darasani utulize akili na wewe usome?
 
Agenda yetu kuu kwa NAPE ni kuhusu ufaulu wake na sio kasomea wapi au kasomea nini:

1. Tunaomba ufaulu wa matokeo yake (Kwa Sekondari pale Nsumba)
2. Ufaulu wake katika masomo ya EGM (Hapo Butimba)

MKuu,

Bado hana ujanja. Hakuna diploma ya mwaka mmoja kwa TZ ila kama utafanya kuanzia technical level, unaweza. Kivukoni lazima miaka 2, pale diplomasia miak 2, sasa yeye alikuwa anapateje vyeti wakati hajamaliza chuo?

Inawezeka hana uelewa mzuri wa kuandika miaka ya shule.

Alete masahihisho.
 
Elimu ya mtu itajulikana kwa kazi yake, si kwa orodha ya msururu wa sehemu alizosomea.
 
Hivi Butimba TTC kuna a level ya EGM? si ni chuo cha ualimu? hahaa
 
Mwaka 1998-2000 alisoma elimu ya juu ya sekondari (advanced level), mchepuo wa EGM na kuhitimu Butimba TTC

Hapa tu ndio sijaelelwa
butimba ni chuo cha ualimu grade a na diploma sasa hiyo EGM wapi ma wapi?
 
Back
Top Bottom