STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,076
- 17,247
Furaha ya EX wako aliyekuumiza makusudi ni
kukuona UMEUMIA...UNALIA...UMEKATA
TAMAA...HUNA FURAHA...Kwake ni Sherehe kubwa
kuliko demu wa Kipare aliyepata Mchumba wa
kumuoa
Ukitaka kummaliza ni kuharibu sherehe yake kwa kumuonyesha UNA RAHA KULIKO MWANZO....UNA
FURAHA...UMENENEPA...HIPS ZIMEKUA...UNANG'AA...na kubwa zaidi UMESONGA MBELE Ipo siku
yatamshinda na atajikuta tu ameshoboka na
kudondokea kwenye Inbox yako na GHAFLA utakuta
ujumbe wa kibwege kabisa umeandikwa,''Hi,Za masiku...Nimekumiss sana.JAna nimepishana na mtu
ananukia kama wewe nikakukumbuka sana''
Kwahiyo nifanyeje???UNGEMNUSA BASI....Upatapo
meseji kama hizo unajua kabisa huko alipo Bodaboda
haivuki Boda,Tumia kauli-mbiu ya TCRA,FUTA DELETE
KABISA! Usimpe nafasi adui yako kukuona umeinama, Mharibie
Sherehe!
-
STUNTER KASEMA..!!!
kukuona UMEUMIA...UNALIA...UMEKATA
TAMAA...HUNA FURAHA...Kwake ni Sherehe kubwa
kuliko demu wa Kipare aliyepata Mchumba wa
kumuoa
Ukitaka kummaliza ni kuharibu sherehe yake kwa kumuonyesha UNA RAHA KULIKO MWANZO....UNA
FURAHA...UMENENEPA...HIPS ZIMEKUA...UNANG'AA...na kubwa zaidi UMESONGA MBELE Ipo siku
yatamshinda na atajikuta tu ameshoboka na
kudondokea kwenye Inbox yako na GHAFLA utakuta
ujumbe wa kibwege kabisa umeandikwa,''Hi,Za masiku...Nimekumiss sana.JAna nimepishana na mtu
ananukia kama wewe nikakukumbuka sana''
Kwahiyo nifanyeje???UNGEMNUSA BASI....Upatapo
meseji kama hizo unajua kabisa huko alipo Bodaboda
haivuki Boda,Tumia kauli-mbiu ya TCRA,FUTA DELETE
KABISA! Usimpe nafasi adui yako kukuona umeinama, Mharibie
Sherehe!
-
STUNTER KASEMA..!!!