The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Ujue nilikuwa nakusubiria wewe hapa Pasaka unataka kwenda wapi? Oppss usiseme hapa utaniambia chumbani ukisema hapa watu wanaweza waidaka halafu wakakuchukua juu kwa juuFinest vipi pasaka? Ni PM basi!!!!
Kweli mkuu yaani hapa mimi i am broke kwahiyo nina hasira kwelimimi nikiwa broke hata simu sipokei...
na kusemeshwa sitaki
Huwezi amini halafu aliye niabuse alifariki majuzi kwenye msiba badala ya kuhuzunika nilikuwa nafurahi
Ahaaaa ahaaa ahaaa ahaaaa:A S 109::A S 109::behindsofa::behindsofa:Huyo kaanza sasa, wewe NE ngoja wenyewe wakushukie
Ahaaaa ahaaaa mkuu unazidi kunipa maumivu...ha ha ha! imebidi nicheke tu wazee. Kwani kuwa broke si ni kosa lako menyewe bana?
'Matumizi yamezidi kipato?' kwani hukujipangia bajeti? au ni matokeo ya double-dip Recession na inflation?
[COLOR=darkred[COLOR=blue]]The Finest, Kwangua Credit Cards hizo, wakidondosha Bills kimbiza kwa friji zikapoe kwanza.[/COLOR]
Mwisho wa mwezi una defer payments.
Hata waliokuwa Milionnaires wana claim Bancruptcy...kisha unaanza upya kujenga Credit Score.[/COLOR]
...Sad, Unfinished Business.
Mbu halafu leo unarukaruka sana unajificha wapi au ndio kule ambako hatuingii wengine?...ha ha ha! imebidi nicheke tu wazee. Kwani kuwa broke si ni kosa lako menyewe bana?
'Matumizi yamezidi kipato?' kwani hukujipangia bajeti? au ni matokeo ya double-dip Recession na inflation?
The Finest, Kwangua Credit Cards hizo, wakidondosha Bills kimbiza kwa friji zikapoe kwanza.
Mwisho wa mwezi una defer payments.
Hata waliokuwa Milionnaires wana claim Bancruptcy...kisha unaanza upya kujenga Credit Score.
...Sad, Unfinished Business.
Mi hii inanitokeaga sana, ila tiba yangu ktk hilo ni Maombi na kuimba/kusikiliza nyimbo za kuabudu na kumsifu Mungu. Kutulia kabisa manake nikijifanya kuongea ongea naweza nikamjibu mtu ndivyo sivyo. Baada ya muda hali inaondoka na ninaweza kupata jibu sahihi la kwa nn nilikuwa najisikia vile. Pasaka njema Wapendwa.
YouTube - P-Unit ft Mimmo - Kare (Official video)usijifiche we subiria tu
jina la MBU linahusika kwenye hii sredi, sizani kama ni depression hii. sitofafanua zaidi, wale wataalam wa lugha za vifupisho, sijui abbreviations watakuwa wamenielewa. asanteni sana
Habari wana JF wenzangu, kuna kitu kinanitatiza sijui kinasababishwa na nini, kila nachofanya nahisi kuna kitu kina miss, najaribu kula chakula nikipendacho bado nahisi sijaridhika, najaribu kuwa karibu na family steel im feeling lonely, najaribu kufanya shoping nisikie raha wapi! making love every now and then bado tu siridhiki na roho yangu, nisaidieni ni nini inasababisha hali hii? au kazi nyingi? au ndio depression magonjwa ya kizungu hatujayazoea mwenzangu, naombeni ushauri. najua humu huwa hakiaribiki kitu
hehehe kamanda hili jina lako ni multitask na nina hakika umelichagua kwa mantiki ya kutuambiguity lakini mie acha nikae kimya tu na nijifanye kukuita mbu wa moskwito. Nina uhakika kwa upande mmoja jina lako limebeba jibu la hii sred. lolHA HA HA, Umeanza sasa!
Nashukuru kwani tayari niko mbali tangu wednesday najaribu kutafakari mpaka hii holiday iishe1, POLE SANA GAGA,
Mi nahisi , ni kweli una dalili au niseme tayari una msongo wa mawazo,
Jaribu kufanya safari ya kwenda mahali mbali na nyumbani ukakae huko kwa siku kadhaa, pili amua kwenda peke yako kama unaona utafurahi zaidi,au nenda mume wako kama utaona utafurahi pia.KUjitenga na mazingira ya nyumbani wakati mwingine inasaidia sana.
2, pia si vibaya ukiwaona hata wanasaikolojia, wanaweza kukutatulia tatizo lako,pia baada ya kuongea na wewe kwa muda mrefu lazima watajua tatizo lako.
Hongera pia kwa kujitambua na kuona kuna kitu hakiko sawa kwako, ni vizuri sana kujitambua na kujua wapi unaona hapako sawa.
upendapo
Una uhakika Mbu ndio tiba kloro? thibitisha banahehehe kamanda hili jina lako ni multitask na nina hakika umelichagua kwa mantiki ya kutuambiguity lakini mie acha nikae kimya tu na nijifanye kukuita mbu wa moskwito. Nina uhakika kwa upande mmoja jina lako limebeba jibu la hii sred. lol
Ahaaaa ahaaaa mkuu unazidi kunipa maumivu
Mbu halafu leo unarukaruka sana unajificha wapi au ndio kule ambako hatuingii wengine?
sio tiba, MBU ndio chanzo cha hili tatizo, na Mbu anaweza akafafanua zaidi.Una uhakika Mbu ndio tiba kloro? thibitisha bana