Hii ndio inaitwa Kutongozana, nyingine miyeyusho

Hii ndio inaitwa Kutongozana, nyingine miyeyusho

Huyo jamaa angemtua kwanza huo mzigo, hapo ilivyo atasindikiza hadi mwisho wa safari hakieleweki kitu
 
Huyo jamaa angemtua kwanza huo mzigo, hapo ilivyo atasindikiza hadi mwisho wa safari hakieleweki kitu

Kulikuwa hakuna kumtua mtu mzigo. Pia tofauti na sasa kilikuwa halieleweki the same day. kwani demu anatua maji mara moja tuu?
 
Kulikuwa hakuna kumtua mtu mzigo. Pia tofauti na sasa kilikuwa halieleweki the same day. kwani demu anatua maji mara moja tuu?


Ha ha ha, Kwa hiyo inabidi jamaa asubirie maeneo ya kisimani au mtoni na kesho yake. Maana hakuna mawasiliano ya haraka na ya uhakika. Inabidi uwe unajua ratiba ya kuchota maji.
 
Ha ha ha, Kwa hiyo inabidi jamaa asubirie maeneo ya kisimani au mtoni na kesho yake. Maana hakuna mawasiliano ya haraka na ya uhakika. Inabidi uwe unajua ratiba ya kuchota maji.

Siku hizo time table lazima uwe nazo. Demu mwenyewe anakupa timetable. Siku hizo kama demu yuko home kweli yuko home. Kama ataelekea muda fulani atakuambia. Siku hizi unampigia demu anakwamnia yupo shopping mlimani city kumbe yuko tandale sokoni.
 
mimi nilifanyaga siku moja kidogo nimwagiwe maji.
 
mimi nilifanyaga siku moja kidogo nimwagiwe maji.
Pole sana mkuu ndiyo tulipotoka, maana zamani bila demu kukata kajani na kula mdomoni ujue ndiyo kakubali vinginevyo hakieleweki! Na bila kutumia nguvu kidogo hakieleweki tofauti na saizi mtu ukienda guest tu ndiyo siku ya kwanza demu anachojoa huku anaangalia kabox kako kama ni normal au abnormal!
 
dah,cku hzo nikitaka kumtoa bint kwao narusha mawe juu ya bati,anajua kuwa namsubiri,TEKNOHAMA imeraisisha mawasilianog
 
mkuu thanxx sana tu hapo ujuzi ulikuwa mkubwa saana tu sio siku hizi mnapeana namba za simu mchezo umekwisha. enzi hizi una zoza mpaka kinaeleweka
 
Siku hizi watu hawatongazani tena. Wanachukuana
 
Mimi nilikuwa naamka saa 10 alfajiri kufukuzia.. Kwani maji yalikuwa yanatoka kuanzia saa 10 mpaka 12 mara 3 kwa wiki...
 
mimi nilifanyaga siku moja kidogo nimwagiwe maji.

Kwi kwi, kwe kwe!!!! Mob umenikumbusha mbali. Mimi nilishawahi pigwa rungu miguuni na kaka wa demu mmoja hadi nikateguka mguu. Jamaa kwa mkwara mzito akaniambia "hiyo miguu ndio inakufanya umfuate fuate ........(akataja jina la dada yake)"
 
Back
Top Bottom