waltham
JF-Expert Member
- Jan 23, 2014
- 2,522
- 1,045
Vipi tena ndugu!? Imekuwa vita!? Sisi ni LDC wakati nyie ni Developed Country. Hizi ni stress za kukosa chakula 😀😀
chimbia kichwa mchangani ata zaidi, ukiimbuka hapa bado ni tanzania ya viwonder!!!
hali ya hospitali tanzania
HOSPITALI ya Taifa ya Muhimbili (MNH) imeeleza sababu za kuwapo msongamano katika wodi ya wazazi kuwa ni pamoja na magonjwa mbalimbali yanayowakumba wanawake kabla na baada ya uzazi.
Msongamano mkubwa wa wagonjwa katika Hospitali ya rufaa ya KCMC umesababisha madaktari kutoa huduma katika mazingira magumu na hatari kwao wenyewe na pia ...