Hii ndio list ya gari 10 ghali zaidi duniani kwa mwaka 2018 - 2019

Hii ndio list ya gari 10 ghali zaidi duniani kwa mwaka 2018 - 2019

Traveller X

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2017
Posts
271
Reaction score
305
wakuu hizi ndizo gazi 10 ambazo bei zake zinazifanya kuwa gari ghali zaidi kwa mwaka huu, sijui hawa wanao nunua hizi gari huwa wanafikiria nini, japo gari nzuri na luxury lakini hizo bei zimenifanya nijiulize mara mbili mbili juu ya wanunuzi wake kama wana akili sawasawa, hiyo hela bora wangenunua vitz tu alaf chenchi waka jenga tuu..

 
Daah hizo gari hazipiti Mikocheni kukiwa na nvua
zinafaa huku huku mbele ambako miundombinu sio issue
 
Kwa sababu huna fedha ndo unashangaa
 
Hiyo ya billioni 29 hujaweka kodi hapo kama ndio unaingiza tz ukiweka na kodi lazima igonge billioni 29 nyingine hivyo hiyo gari thamani yake mpaka una ihold lazima itakuwa si chini ya billioni 58 ha hahaaa imenibidi nicheke hiki ni kituko
 
Hiyo ya billioni 29 hujaweka kodi hapo kama ndio unaingiza tz ukiweka na kodi lazima igonge billioni 29 nyingine hivyo hiyo gari thamani yake mpaka una ihold lazima itakuwa si chini ya billioni 58 ha hahaaa imenibidi nicheke hiki ni kituko
Duh mzee hyo si bajeti ya wizara ya maji kwa mwaka 😀😀
 
Huyu jamaa alienunua Rolls Royce amefichwa jina lakini ni tajiri mkubwa sana.
Na hili gari ni ghali kwa sasa (mpya) kwani ni costume made, lakini Ile Ferrari 250 GTO iliyouzwa kwa $38m ndio ilikuwa kiboko
Yaani haya magari tuwaachie kina Kardashian na P Diddy na kina Simon Cowell
 
Kuna ki Ferrari na kiona moshi mjini sijui ni binadamu gni huyo,ila haya magari ni ya binadamu wa kawaida au ni ya Allen
 
Huyu jamaa alienunua Rolls Royce amefichwa jina lakini ni tajiri mkubwa sana.
Na hili gari ni ghali kwa sasa (mpya) kwani ni costume made, lakini Ile Ferrari 250 GTO iliyouzwa kwa $38m ndio ilikuwa kiboko
Yaani haya magari tuwaachie kina Kardashian na P Diddy na kina Simon Cowell
dah kweli itabidi tuwaachie kina kardashian tu, tule kwa macho tu
 
wakuu hizi ndizo gazi 10 ambazo bei zake zinazifanya kuwa gari ghali zaidi kwa mwaka huu, sijui hawa wanao nunua hizi gari huwa wanafikiria nini, japo gari nzuri na luxury lakini hizo bei zimenifanya nijiulize mara mbili mbili juu ya wanunuzi wake kama wana akili sawasawa, hiyo hela bora wangenunua vitz tu alaf chenchi waka jenga tuu..


J
Kwa sababu huna fedha ndo unashangaa

Bombardier yetu vipi haijaingia top ten
 
Si ile aliyouziwa na mtoto wa bakhressa.Ni old model lkn kibongo bongo bado jamaa amepiga hatua.

Watu hata passo ni shughuli pevu na mikopo juu.
haha kweli tuna miaka 1000 mpaka kuwafkia wenzetu,

niliwah kuona lambo kama 3 ukijumlisha na ile ya mtoto wa bakhresa nilipoenda ku google kua ni za mwaka gani ndio nilichoka kabisa
 
haha kweli tuna miaka 1000 mpaka kuwafkia wenzetu,

niliwah kuona lambo kama 3 ukijumlisha na ile ya mtoto wa bakhresa nilipoenda ku google kua ni za mwaka gani ndio nilichoka kabisa
Hahah zile ni za long sana mkuu,ila sababu tuko bongo ndo hivo tena
 
Usichanganye na Vintage collection.

Bado sana hizo ferrari ku qualify kua vintage.
Umeona comment ya mdau hapo juu lakini
" Kiferrari"
Halafu Enzo Ferrari gari yake ya kwanza ilitoka 1947
Halafu haina hadhi ya kuwa vintage?
Kwani vintage iwe na umri gani to qualified
Naomba unisaidie hapo
 
Back
Top Bottom