Mkuu ferrari ya mwaka 2000 ina qualify kua vintage?Umeona comment ya mdau hapo juu lakini
" Kiferrari"
Halafu Enzo Ferrari gari yake ya kwanza ilitoka 1947
Halafu haina hadhi ya kuwa vintage?
Kwani vintage iwe na umri gani to qualified
Naomba unisaidie hapo
Hapana sikuwa na maana hiyo ya 2000 bado sanaMkuu ferrari ya mwaka 2000 ina qualify kua vintage?
Hii ya 1962 ina deserve kabisaaa no doubt mkuu,nili base comment yangu kwenye hio ya mwaka 2000.Hapana sikuwa na maana hiyo ya 2000 bado sana
Ila alivyoponda ndio nikaandikia hivyo.
Hii ndio vintage kweli mkuu iliyovunja rekodi duniani kwa bei mbaya
Vintage ndo nini mkuu?Mkuu ferrari ya mwaka 2000 ina qualify kua vintage?
Ile ni lambo mzee,hicho ni ferrariSi ile aliyouziwa na mtoto wa bakhressa.Ni old model lkn kibongo bongo bado jamaa amepiga hatua.
Watu hata passo ni shughuli pevu na mikopo juu.
Inatemba angani?Hiyo ya billioni 29 hujaweka kodi hapo kama ndio unaingiza tz ukiweka na kodi lazima igonge billioni 29 nyingine hivyo hiyo gari thamani yake mpaka una ihold lazima itakuwa si chini ya billioni 58 ha hahaaa imenibidi nicheke hiki ni kituko
Ya allen mkuuKuna ki Ferrari na kiona moshi mjini sijui ni binadamu gni huyo,ila haya magari ni ya binadamu wa kawaida au ni ya Allen
Nyumba wanazo Mzee.wakuu hizi ndizo gazi 10 ambazo bei zake zinazifanya kuwa gari ghali zaidi kwa mwaka huu, sijui hawa wanao nunua hizi gari huwa wanafikiria nini, japo gari nzuri na luxury lakini hizo bei zimenifanya nijiulize mara mbili mbili juu ya wanunuzi wake kama wana akili sawasawa, hiyo hela bora wangenunua vitz tu alaf chenchi waka jenga tuu..
aisee hata kama ningekua nazo nisingefanya upuuzi huo