Hii Ndio Love Bite (Hickey)

Hii Ndio Love Bite (Hickey)

kuna madam chuo anaheshimika sanaaa anafundisha masomo magumu magumu. Yuko anatoa kipindi nkaona love bite, aisee nlijikuta nawapa taarifa wa pembeni yangu maana nlishindwa kuvumilia kumuona madam na ile kitu. Ni aibu sijui ni nini. Nikiwa nazo ni full kujifunika muda wote.
Labda univizie ndo uziweke kwa mwili wangu ila sipendi haswaa
 
kuna madam chuo anaheshimika sanaaa anafundisha masomo magumu magumu. Yuko anatoa kipindi nkaona love bite, aisee nlijikuta nawapa taarifa wa pembeni yangu maana nlishindwa kuvumilia kumuona madam na ile kitu. Ni aibu sijui ni nini. Nikiwa nazo ni full kujifunika muda wote.
Labda univizie ndo uziweke kwa mwili wangu ila sipendi haswaa

Mnhh umewahi pewa love bite za wowowo? Muulize Husninyo na Bantu lady
 
Last edited by a moderator:
Kuna dada mmoja niliwahi kukutana nae , na alikuwa amenizungusha sana siku ya kukutana nae nikaona ni mrembo balaa maana sikuwahi kukutana nae live tulikuwa tunaongea Kwa simu na Hela nikiwa namtumia ila kutoka arusha kuja dsm ikawa mtihani , siku tunakutana tulifurahi balaa , tukapiga bia za kutosha kisha tukaendq kuzagamuana , yule dada alikuwa na balaa Yaani alininyonya chuchu zangu sio poa nillikuja KUANZA kuhisi maumivu kesho yake , na Kwa muda wa siku kama 4 hivi chuchu zinawaka moto , dah sijui ndo love bite zenyewe hizo we acha tu
 
Kuna dada mmoja niliwahi kukutana nae , na alikuwa amenizungusha sana siku ya kukutana nae nikaona ni mrembo balaa maana sikuwahi kukutana nae live tulikuwa tunaongea Kwa simu na Hela nikiwa namtumia ila kutoka arusha kuja dsm ikawa mtihani , siku tunakutana tulifurahi balaa , tukapiga bia za kutosha kisha tukaendq kuzagamuana , yule dada alikuwa na balaa Yaani alininyonya chuchu zangu sio poa nillikuja KUANZA kuhisi maumivu kesho yake , na Kwa muda wa siku kama 4 hivi chuchu zinawaka moto , dah sijui ndo love bite zenyewe hizo we acha tu
Teh teh teh 😃 😃 kazi kweli kweli
 
Kuna dada mmoja niliwahi kukutana nae , na alikuwa amenizungusha sana siku ya kukutana nae nikaona ni mrembo balaa maana sikuwahi kukutana nae live tulikuwa tunaongea Kwa simu na Hela nikiwa namtumia ila kutoka arusha kuja dsm ikawa mtihani , siku tunakutana tulifurahi balaa , tukapiga bia za kutosha kisha tukaendq kuzagamuana , yule dada alikuwa na balaa Yaani alininyonya chuchu zangu sio poa nillikuja KUANZA kuhisi maumivu kesho yake , na Kwa muda wa siku kama 4 hivi chuchu zinawaka moto , dah sijui ndo love bite zenyewe hizo we acha tu
hahahahahha
 
Back
Top Bottom