Hii ndio maana ya dini niliyojifunza mwaka huu

Hii ndio maana ya dini niliyojifunza mwaka huu

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Dini ni uhusiano wa karibu sana kati ya Mtu na mwenyezi Mungu bila kuwepo na kitu chpchote kati yako na Mungu.

Uhusiano huu ndio aliokuwa nao Adam baada ya kuumbwa.

Hakukuwa na Mchungaji siku hiyo wala shehe.

Hakukuwa na Baba wala Mama

Hakukuwa na Serikali

Hakukuwa na marafiki.

Hawa wote hapo juu, kazi yao moja ni kuhakikisha wanaimarisha dini yako yaani mahusiano yako na mwenyezi Mungu bila kupenya na kujipa umuhimu kati yako na Mungu.


Hii ndio mqana yangu mpya ya Dini, ambayo ntatembea nayo kuanzia mwakani. Ukisikiq nimeacha mambo ya Dini ujue nimeacha hii connection.
Madhehebu na dhehebu langu linahii kazi tu ya kuhakikisha hakuna chochote kinanitoa hapo, na kupitia watumishi wake kulea huu uhusiano.


Ni hayo tu

Mtumishi Matunduizi.
 
Dini ni uhusiano wa karibu sana kati ya Mtu na mwenyezi Mungu bila kuwepo na kitu chpchote kati yako na Mungu.

Uhusiano huu ndio aliokuwa nao Adam baada ya kuumbwa.

Hakukuwa na Mchungaji siku hiyo wala shehe.

Hakukuwa na Baba wala Mama

Hakukuwa na Serikali

Hakukuwa na marafiki.

Hawa wote hapo juu, kazi yao moja ni kuhakikisha wanaimarisha dini yako yaani mahusiano yako na mwenyezi Mungu bila kupenya na kujipa umuhimu kati yako na Mungu.


Hii ndio mqana yangu mpya ya Dini, ambayo ntatembea nayo kuanzia mwakani. Ukisikiq nimeacha mambo ya Dini ujue nimeacha hii connection.
Madhehebu na dhehebu langu linahii kazi tu ya kuhakikisha hakuna chochote kinanitoa hapo, na kupitia watumishi wake kulea huu uhusiano.


Ni hayo tu

Mtumishi Matunduizi.
 
Dini ni uhusiano wa karibu sana kati ya Mtu na mwenyezi Mungu bila kuwepo na kitu chpchote kati yako na Mungu.

Uhusiano huu ndio aliokuwa nao Adam baada ya kuumbwa.

Hakukuwa na Mchungaji siku hiyo wala shehe.

Hakukuwa na Baba wala Mama

Hakukuwa na Serikali

Hakukuwa na marafiki.

Hawa wote hapo juu, kazi yao moja ni kuhakikisha wanaimarisha dini yako yaani mahusiano yako na mwenyezi Mungu bila kupenya na kujipa umuhimu kati yako na Mungu.


Hii ndio mqana yangu mpya ya Dini, ambayo ntatembea nayo kuanzia mwakani. Ukisikiq nimeacha mambo ya Dini ujue nimeacha hii connection.
Madhehebu na dhehebu langu linahii kazi tu ya kuhakikisha hakuna chochote kinanitoa hapo, na kupitia watumishi wake kulea huu uhusiano.


Ni hayo tu

Mtumishi Matunduizi.
 
Bishop Joshua Maponga
 

Attachments

  • facebook_20250120_192218.mp4
    10.4 MB
Haya mambo ya watu kutenganisha dini na Mungu kwanini sioni waislamu kufanya hivyo?
 
Back
Top Bottom