2018ππ hebu acha ushamba Gor mahia hiyo timu ilikuja bongo ikafungwa na mbao timu iliyoshuka daraja, ndio kwenu timu tishio kwanza wachezaji wake wanaikimbia aiwezi hata kulipa mishaara kwa wachezaji.
Najua uko kenya Hakuna timu inayoweza kujaza kiwanja chenye capacity yakubeba watu elfu sitini tena wakiwa wameingia kwa kulipa kiingilio lazima ushangae useme ni photo shoot
Tanzania is a country of One City, One Stadium and One Party...CCMOutside that your one stadium hamna ingine tena. This is Nyayo stadium, 30,000 seats.
View attachment 1554630
hiyo michuano ya sport pesa simba na yanga walikua wanaichukulia poa sana na walikua wanawatumia wachezaji wa kikosi cha pili, wakati gor mahia walikua wanakuja wamepania kuzifunga simba na yanga.2018
Gor Mahia emerged victorious in the final match of the 2018 Sportpesa Supercup. They beat Simba of Tanzania 2-0.
2018
Gor mahia beat Yanga 2-0 in Dark est Sluum
2018
Gor Mahia beat Yanga 2-0 in Nairobi
ππππ Kutwanga tu!
Dar es salam pekee ina viwanja viwili vikubwa Kenya nzima hakuna, pia kuna timu kama azam wanamiliki uwanja mzuri sana,Tanzania is a country of One City, One Stadium and One Party...CCM
Hivi huu upuuzi hata hakilingani na kiwanja chetu cha uhuru stadium sasa ndio uje ulinganishe na dimba la mkapa, yahani kwa Africa nchi viwanja ambavyo vinaweza kukishinda kiwanja cha mkapa ni South Africa na waarabu tu nyie wengine mtasubiri sana.Siku mtakuwa na kitu kama hiki unitag please. That`s 60,000
View attachment 1554629
Please jaribu kua unaficha huu upuuzi wako ππOutside that your one stadium hamna ingine tena. This is Nyayo stadium, 30,000 seats.
View attachment 1554630
Kenyans are stupendousHuwezi lala bila kuota kuhusu .kenya . View attachment 1553998
hiki kama ndio kiwanja chenu kikubwa basi kinalingana na hiki kiwanja chetuSiku mtakuwa na kitu kama hiki unitag please. That`s 60,000
View attachment 1554629
Weka ushahidi wa kiwanja kingine...bure kabisaDar es salam pekee ina viwanja viwili vikubwa Kenya nzima hakuna, pia kuna timu kama azam wanamiliki uwanja mzuri sana,
Na tuna viwanja vizuri tu kwenye mikoa mingine so watu watakucheka utakaposema Tanzania kuna kiwanja kimoja
Weka ushahidi wa hicho kikosi Cha pili!hiyo michuano ya sport pesa simba na yanga walikua wanaichukulia poa sana na walikua wanawatumia wachezaji wa kikosi cha pili, wakati gor mahia walikua wanakuja wamepania kuzifunga simba na yanga.
Sasa hivi ukiwauliza wachezaji wote wa gor mahia watakuambia wanapenda kuja kucheza Tanzania tena simba au yanga
Wekeni ubinadamu basi, uhasimu uwepo ila sio uhadui. Comments nyingine zinaudhi, wenzio wanafariki wewe unyawakejeli! Huu ni uchawi, sio lazima uamke ucku ukawange ila huu pia uchawi.Dah, Wana shida sana hawa watu, na hii Corona ndio inawazika kabisa, misaada ya kupambana na Corona nayo, imeibwa. Pathetic