Hii ndio nchi ya Uganda

Kawaida sana...

Baba Rais Mstafuu, mtoto waziri, mama mbunge, wapwa RAS, DAS...



Cc: Mahondaw
 
Sisi ambao ukoo haujawahi hata kuwa na mjumbe wa mtaa....tuendelee kunywa mtori
 
Hata hapa hakuna tofauti .

Hatuchekani.

Mwinyi Rais wa Zanzibar, Rais wa Tanzania.

Mwinyi Jnr Rais wa Zanzibar,.......

Karume Rais wa Zanzibar,

Karume Jnr Rais wa Zanzibar.

Kikwete Rais wa Tanzania.

Mrs Kikwete Mbunge.

Kikwete jnr Mbunge, naibu waziri.

Wengineo kama kawawa,Pinda, na wengineo.

Watoto wao wamejaa taasisi zote zenye mishahara minono, wizarani, taasisi nyeti na channel zote za pesa ni zao.
 
Kikwete Jnr ni Deputy Minister pia.
 
Kikwete Jnr ni Deputy Minister pia.
Yaani hapa Tanzania HUWEZI ukafungua biashara YEYOTE ukafanikiwa bila haya mabeberu kuwa na mkono wao.

Yana tamaa mno, yanataka kila kitu kiwe Chao.

Majizi makubwa na familia zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…