umeeleza vizuri boss, umoja ni moja ya kitu kizuri ila tatizo wengi wetu hatuna muwamko wa jambo kama hili mfano mimi nili propose kwa wenzngu nilomaliza nao shule hakuna hata mmoja aliye respond kwakeli kutokea hapo sikuona umuhimu wa kuwa nao, nimejaribu kuwa expose watu wangu wa karibu mara mbili bado inaonekana kila mtu mbinafsi mpaka sasahivi watu wamekuwa wabinafsi mno kukosa muamko katika mambo ya kimaendeleo, mpaka nikajisemea bora ukiiona fursa au ukiona kuna matumaini makubwa katika kitu furani chenye tija ukiiendee tu pekeyako, utakapo pata matokeo ndio watajua, kiukweli watu awana muamko kabisa na suala zima la maisha, kutokuaminiana na uaminifu ni moja ya changamoto tu kwasababu katika jambo lolote lenye tija changamoto ni kitu cha kawaida na kwenye safari hii ya mafanikio muhimu kuwa risk taker, endapo mungu atajaalia mukawa waaminifu nauwakika mutafika mbali tu kimaisha.
niukweli usiopingika kwamba njia rahisi ya kumiliki investment kubwa na kampuni ni kupitia umoja ila akiwa kila mtu kivyake kwakeli utasota msoto si wakawaida ni vyema tuiniane katika wengi kuna mengi kila mtu na ujuzi wake, uzoefu mawazo na hekima zake lakini pia kupitia kuwa pamoja inakuwa rahisi kupata hata misaada ya kifedha kwa wadau mbalimbali.
huu ndio muda, kwa kupitia sera za raisi za kufanya kazi na viwanda ni njia rahisi ya kuwezeshwa mtaji wenu ukawa mkubwa mfano juzijuzi tu kuna watu furanini walikuwa wanataka kufungua kiwanda cha matofari wamepewa eneo kubwa na serikali magwepande huu ndio muda wa kuinuana.