Hii ndio njia iliyobaki kujikwamua na umasikini kwa sisi watoto wa kimasikini

Hii ndio njia iliyobaki kujikwamua na umasikini kwa sisi watoto wa kimasikini

Kuna mtu humu alikuja na wazo kama lako, mpala ilifikia hatua ya kufungua kampuni ya kilimo. Mpaka bank account ya company ikafunguliwa na uchaguZ ulifanyika very fair kuchagua viongoz.


Nakumbuka mikutano ilikuwa inafanyika hapa dar na vijana kutoka mikoani walikuja.


Mwisho wa siku aliekuja na wazo kama wewe alikuwa ni TAPEEEEEELI na MWENYE TAMAAA


kama iliwai kutokea basi asante kwa inpired post nakuonesha kwamba inawezekana kwa kutuonesha mfano, hii inaonesha kwamba hili wazo sio imagination tu, kwa wataalamu hapo wanaangalia kwa jambo liliwezekana ila huwo utapeli ni weakness za mtu.
 
2.mimi pia

pamoja mkuu japo nili propose kama mada tu, unaonaje kukawa na group la whatsapp kila antakeyekuwa tayari kwenye movement hii afanye kujoin kwasabu kujoin na kudiscuss masuala yenye tija kamahaya ni kitu kizuri hata kama haitafanikiwa ila kwa kuwa na group la la whats app hii itaonesha usiriasi na mkubwa na kupeleka idea mzima kwenye vitendo
 
Kuna mtu humu alikuja na wazo kama lako, mpala ilifikia hatua ya kufungua kampuni ya kilimo. Mpaka bank account ya company ikafunguliwa na uchaguZ ulifanyika very fair kuchagua viongoz.


Nakumbuka mikutano ilikuwa inafanyika hapa dar na vijana kutoka mikoani walikuja.


Mwisho wa siku aliekuja na wazo kama wewe alikuwa ni TAPEEEEEELI na MWENYE TAMAAA
Mkuu msome pale juu mdau anajiita @kirikouwakwanza,sio lazima muwe kikundi pia sio lazima partner wako atoke mitandaoni naamini hapo wewe unao marafiki sasa inatakiwa ktk hao hao marafiki zako umchomoe mmoja ambae unaona yuko focused kwenye maisha muunganishe nguvu.

Hapa pana points nzuri sana kama mtu akazichukua na akazitumia inavyotakikana.
 
Mkuu umenena sawia kabisa, tatizo sio kuungana tatizo lipo kwenye uaminifu wabongo wanapenda utapeli kuliko kula. Bora niwekeze kivyangu ntakapofikia basi nimushukuru mwenyez mungu. Wabongo nomaa sana kweny hela.
Jana Nikiwa natoka bagomoyo, tuluanzisha hii mada ya uaminifu na mama mmoja muuza samaki anakaa bunju. Kwa kweli mama kalalamika sana wabongo ni waharibifu balaa
1. Ukimweka shambani anakula chakula afu anaenda kulima kwingine
2. Ukimweka dukani ananunua mzigo wake anauza eg sukari stock yako utaikuta IPO poa
3.ukimweka mashineni ananunua mafuta/ luku anasaga yeye
4. Mtunza hazina naye kwenye kikundi haishi kujikopesha
5.ukimpa MTU hela ya biashara anaila ovyo bila at taarifa anasingizia shida
Waafrika/wabongo tunasafari ndefu sana kufikia maendeleo ya kweli.
 
umeeleza vizuri boss, umoja ni moja ya kitu kizuri ila tatizo wengi wetu hatuna muwamko wa jambo kama hili mfano mimi nili propose kwa wenzngu nilomaliza nao shule hakuna hata mmoja aliye respond kwakeli kutokea hapo sikuona umuhimu wa kuwa nao, nimejaribu kuwa expose watu wangu wa karibu mara mbili bado inaonekana kila mtu mbinafsi mpaka sasahivi watu wamekuwa wabinafsi mno kukosa muamko katika mambo ya kimaendeleo, mpaka nikajisemea bora ukiiona fursa au ukiona kuna matumaini makubwa katika kitu furani chenye tija ukiiendee tu pekeyako, utakapo pata matokeo ndio watajua, kiukweli watu awana muamko kabisa na suala zima la maisha, kutokuaminiana na uaminifu ni moja ya changamoto tu kwasababu katika jambo lolote lenye tija changamoto ni kitu cha kawaida na kwenye safari hii ya mafanikio muhimu kuwa risk taker, endapo mungu atajaalia mukawa waaminifu nauwakika mutafika mbali tu kimaisha.

niukweli usiopingika kwamba njia rahisi ya kumiliki investment kubwa na kampuni ni kupitia umoja ila akiwa kila mtu kivyake kwakeli utasota msoto si wakawaida ni vyema tuiniane katika wengi kuna mengi kila mtu na ujuzi wake, uzoefu mawazo na hekima zake lakini pia kupitia kuwa pamoja inakuwa rahisi kupata hata misaada ya kifedha kwa wadau mbalimbali.

huu ndio muda, kwa kupitia sera za raisi za kufanya kazi na viwanda ni njia rahisi ya kuwezeshwa mtaji wenu ukawa mkubwa mfano juzijuzi tu kuna watu furanini walikuwa wanataka kufungua kiwanda cha matofari wamepewa eneo kubwa na serikali magwepande huu ndio muda wa kuinuana.
Nimekupata sana kiongozi.

Kweli kwenye umoja pana mafanikio ikiwa kama kuna nia ya dhati kwa kila mmoja.

Mwamko umeshapatikana sasa ni muda wa kufanyia kazi wazo na hata kama linahitaji maboresho tutafanya on the processes.
 
haha nyie watu munajihesabu tu nimekupeni njia ya kuwa pamoja hapo juu amuioni
 
Mazee mbona sioni mwendelezo wowote wa hii mada?

Msiniambie huu nao ulikuwa ni Uzi wa stori tu kama zingine
 
Nikweli kaka edwin kuwa bussiness partener yahitaji muwe kwanza mshachunguzana kwa zaida hata ya miaka10 na ushuhuda nabiashara ya mzee yuko partner najamaa flan hivi alikua anamuuzia mizigo baada ya miaka18 ndo amewez kua partner anapewa mzgo wa mali kauli hata milioni100 baada yakua amejenga uaminifu wahali yajuu kwa zaidi ya miaka18
Uko sahihi
 
Back
Top Bottom