Mwana falsafa na mfanya biashara mkubwa Dunia PORTER aliwahi kusema moja ya njia ambayo unaweza kumuua mshindani wako kwa urahisi ni kutengeneza ushirika na mshindani wako....Hii husaidia katika kujua mapungufu ya mshindani wako ikiwa ni pamoja na kujua ni wapi ameegemea
Wakati wakoloni wanakuja barani afrika hawakufika moja kwa moja na kutawala bali walijenga urafiki wa kinafiki na viongozi wa kiafrika ambapo ilipelekea hata wafuasi wa viongozi wa afrika kuweza kupunguza hasira za kuwaona labda wazungu ni wabaya
Lakini baadae wazungu walikuja kuwageuka baada ya kuwa wamesha jua madhaifu yao yapo wapi .
Lengo hasa la kujenga urafiki ilikuwa ni kujenga imani ya kuwa wao ni wazuri hali yakuwa moyoni wanalo jambo lao
Hii ndio mbinu ambayo anaitumia Ruge mtahaba katika kupambana na WCB wasafi
Picha hapo chini inaonesha Joseph kusaga Diamond Platnumz na Babu Tale walipo.kuwa katika Yatchy party iliyo fanyika katika birthday part ya Diamond
Unaweza Dhani ati huu ni urafiki lakini hii ni njia ya kupunguza hasira za mashabiki wa WCB kwa kuonesha kuwa hawana ugomvi
Kupitia picha watu wengi walifurahi kuwaona pamoja lakini wakasahau kujiuliza kwann sasa nyimbo za WCB hazipigwi clouds?
Unagundua hii ni njia tu ya kuwaaminisha watu na kutuliza hasira za kuona msani ambaye inaiwakilisha vyema nchi ya Tz lakini anapigwa vita na kupigania kumshusha mtu ambaye hadi sasa watu 1000 wanatabasamu la matibabu ya bure
Ushauri:
Diamond usikubali kutumiwa kinafiki na hawa watu...sisi tuna support yeyote mwenye nia njema na tanzania yetu sio mwenye nia ya kuturudisha nyuma
Wakati wakoloni wanakuja barani afrika hawakufika moja kwa moja na kutawala bali walijenga urafiki wa kinafiki na viongozi wa kiafrika ambapo ilipelekea hata wafuasi wa viongozi wa afrika kuweza kupunguza hasira za kuwaona labda wazungu ni wabaya
Lakini baadae wazungu walikuja kuwageuka baada ya kuwa wamesha jua madhaifu yao yapo wapi .
Lengo hasa la kujenga urafiki ilikuwa ni kujenga imani ya kuwa wao ni wazuri hali yakuwa moyoni wanalo jambo lao
Hii ndio mbinu ambayo anaitumia Ruge mtahaba katika kupambana na WCB wasafi
Picha hapo chini inaonesha Joseph kusaga Diamond Platnumz na Babu Tale walipo.kuwa katika Yatchy party iliyo fanyika katika birthday part ya Diamond
Unaweza Dhani ati huu ni urafiki lakini hii ni njia ya kupunguza hasira za mashabiki wa WCB kwa kuonesha kuwa hawana ugomvi
Kupitia picha watu wengi walifurahi kuwaona pamoja lakini wakasahau kujiuliza kwann sasa nyimbo za WCB hazipigwi clouds?
Unagundua hii ni njia tu ya kuwaaminisha watu na kutuliza hasira za kuona msani ambaye inaiwakilisha vyema nchi ya Tz lakini anapigwa vita na kupigania kumshusha mtu ambaye hadi sasa watu 1000 wanatabasamu la matibabu ya bure
Ushauri:
Diamond usikubali kutumiwa kinafiki na hawa watu...sisi tuna support yeyote mwenye nia njema na tanzania yetu sio mwenye nia ya kuturudisha nyuma