Hii ndio njia ya kuepuka usumbufu wa usafiri DSM

Hii ndio njia ya kuepuka usumbufu wa usafiri DSM

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Nmeangalia hali ya usafiri ulivyo kafili Dar es salaam nmesikitika sana. Mfano leo nmeona kabisa daladala imejaa mpaka konda ikabidi apande ya nyuma yake maana alikosa pa kusimama kabisa.

Nashauri: Asubuhi vaa traki suti au kaptula. Amka mapema anza kufanya jogging toka unapokaa kwenda kazini, mgongoni uwe na bag la nguo za kubadilisha ukifika job. Huu ni ufumbuzi mmoja wapo.

Tutumieni baiskeli ndugu zanguni.mdogo mdogo unanyonga mountain bike/sports bike yako mpaka town.Huna tatizo la folen wala nini.

Jioni mnajiorganize mnafanya matembezi ya mshikamano from town mpaka home.

Uzi umekamilika.
 
Maisha magumu sana.

........mnatoka kazini saa 9 na nusu mnafika home saa 4 usiku sababu ya usafiri unasumbua.
 
Mkuu si naskia ulijinyonga uka rest in eternal peace baada ya kuunganishwa kwnye gridi ya taifa ya megawatt 2000kva, habari ya jehannum mkuu?? Wanasemaje huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
afu hy 800+ ya nauli unanunua karanga/maji unatembea nazo mdogo mdogo.
 
Back
Top Bottom