Hii ndio orodha ya majina ya waliokuwa wanachama wa CHADEMA ambao sababu ya kuondoka kwao walimtaja Freeman Mbowe, Je tumtarajie nani wa 71?

Halima Mdee hajaondoka chadema. Acha kughushi orodha. Na mbowe hawezi kuwa sababu ya yeye kuondoka kwa sababu ile orodha ya wabunge ilibarikiwa na mbowe!
 
Freeman Mbowe ana anger management problems.
Haya leo alipokuwa anaongea inaonekana kwamba ana anger issue.
Isipokuwa leo alikuwa katika rare moment of lucidity.
Both sides wanasema watakampeni kistaarabu lakini hawatakibali kutukanwa.
Sasa how do you decide kama mtu ametukanwa?
 
Watanzania walio wengi wanapenda kuona Demokrasia ila hawataki kufanya Demokrasia.
Fikiria Lissu angebaki mgombea pekee kwenye kiti cha Mwenyekiti ingejengeka nadharia kuwa uenyekiti Chadema inaridhiwa.
Cha kushangaza leo tena watu wanalalamika Ndugu Mbowe kugombea uenyekiti.
 
Saed kubenea vipi hayumo kwenye list ya chama chenu cha chadema
 
Wengine kwa maelfu wataondoka baada ya huyo Museven wa machame atakapoiba kura za uchaguzi wa uenyekiti. CHADEMA watabaki familia ya Mbowe, Chawa wa Mbowe, COVID-19 na mambumbu wachache.
Sahihi kabisa
 
MBOWE Mbowe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…