Hii ndio orodha ya Miji na Wilaya za Tanzania zenye watu wenye kipato cha Uhakika

[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] imepungua kiaina, sio kushuka kabisa. Tunduma ni mji wenye amsha amsha sana za kibiashara, unabeiba mkoa wa Songwe
Imepungua kwenye mapato ya TRA lakini haya ya Halmashauri hayana impacts ni nyie tuu kukaza.

Ndio maana serikali haipendi kutoa summary za mikoa bali Halmashauri husika kwa sababu kila Halmashauri unakusanya pesa yake na wanatumia wenyewe hakuna senti inatumika mkoani
 
Bagamoyo imekuwaje tena? Hakuna mkwanja kivipi yaani?
1. Utalii
2. Uvuvi/Samaki
3. Kilimo
4. Viwanda
5. Ukaribu na Dar es salaam
6. Hoteli
7. Heritage site(s) - UNICEF

What is not happening???
Karatu mmeisahau ndo ndo chokest imagine ina hotel za kitalii53 kuanzia nyota 3 hadi5 ahilia mbali guest houses trade center ya wilaya 3 wanalima.vitunguu mahindi mbaaizi na wamerudi c cm
 
Sasa mkuu umeweka halmashauri yangu akati nikijicheki mfukoni kuna masalia ya maganda ya karanga tu?[emoji16] halmashauri nyingi znabebwa na uwepo wa natajiri wakubwa tu, unaweza kukuta hiyo kodi ni ya watu wachache sana.
Kama we huna haimaniishi wote hamna,i'la in picha halisi ya uchakarikaji ktk wilaya yako,wakati ww unaswma huna hela wenzio Kama wewe wanachakarika wanalipa mapato ya halmashauri
 
Naam Kilolo ni kuzuri sana lakini sijaiweka hapa kwasababu toka Mzee Kikwete aondoke mji ule umesimama kukua. Tofauti na Mufindi, Kilolo hapaendeki kwa urahisi kwasababu hakuna miundombinu mizuri kuwezesha mtu wa kawaida kufika kwa urahisi. Mwezi huu nimeshinda huko, nakuambia na mvua hii hapafikiki kwa urahisi.

Lakini kama una usafiri wako binafsi Kilolo ni sehemu nzuri sana, kuna kipindi mimi nimeishi Dabaga. Nilitembea hadi kufika sehemu za Itonya ndani huko, kuna rutuba nzuri hatari. Japo nyumba moja iko hapa na nyingine iko kulee, na ufikaji wake siyo rahisi.
 
Karatu mmeisahau ndo ndo chokest imagine ina hotel za kitalii53 kuanzia nyota 3 hadi5 ahilia mbali guest houses trade center ya wilaya 3 wanalima.vitunguu mahindi mbaaizi na wamerudi c cm
Eti wamerudi ccm,[emoji28][emoji28][emoji28]check kwenye pdf hapo utaona status yake
 
Tatizo kubwa kule ni Miundombinu yaani Serikali iangalie hili japo tupate barabara ya uhakika kutoka Iringa hadi Mlimba na Ifakara huko

Wilaya iko na future kubwa na nzuri kiuchumi.

Unakujua hadi itonya kweli wewe baharia wa uchumi [emoji109][emoji109],nilifika kuona uwekezaji wa jamaa yangu yaani matunda ukilima kama tikiti linakuwa kubwa kama dumu la maji
 
Hahahah Aameeen. We are coming there usijali kabisaaa.. napendaga uwekezaji wa long term investment.
 
Check out ur pm
 
sio kweli Njombe TC haina mpaka uliofika kilomita mia moja mkuu.sehemu ya mbali sana ni kilomita 60+ kutoka Centre.
 
sio kweli Njombe TC haina mpaka uliofika kilomita mia moja mkuu.sehemu ya mbali sana ni kilomita 60+ kutoka Centre.
Achana na huyo mbususu wa Makambako,ameaibika baada kuona Njombe TC iko na mipesa kama yote na kile kijiji chao cha maduka ya mitumba kinachuana na akina Igwechana huko
 
Mbona kama chato sijaona au ni macho yangu tu.
 
Karatu mmeisahau ndo ndo chokest imagine ina hotel za kitalii53 kuanzia nyota 3 hadi5 ahilia mbali guest houses trade center ya wilaya 3 wanalima.vitunguu mahindi mbaaizi na wamerudi c cm
[emoji23][emoji23][emoji23] eti imerudi ccm!!

Karatu kwa ninavyo ifahamu haiwezi kurudi CCM, sema 'imerudishwa' kama maeneo mengine yalivyo fanyiwa kibabe na Meko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yan mtoa post handsome huwezi kuoacha makambako hata siku moja
Kwani unadhani hiyo list imepangwa kwa kuzingatia mahaba ya sehemu anakotokea mtu au?

Unaweza anzisha yako ukaiweka hiyo Makambako yako ila kwa vigezo hivyo hapo juu vya mapato ya ndani kwa mujibu wa Tamisemi Makambako haimo.

Imagine Tabora MC,Singida MC,Bukoba MC,Musoma MC,Sumbawanga MC,Songea MC nk Manispaa zote hizo zimeshindwa kutokea kwenye list,Makambako ni kitu gani hadi ulie lie,hamna pesa nyie wauza mitumba
 
MApato ya serikali hayapimi unafuu wa maisha wa sehemu ww mbona ukiangalia mtu wa hali ya chini aliyepo makambako anamaisha mazuri kuliko njombe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…