Hii ndio orodha ya Miji na Wilaya za Tanzania zenye watu wenye kipato cha Uhakika

[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Hakuna lolote mikoa ya Njombe na Iringa ndio inaongoza kwa watoto wa kike kwenda Dar kama mahouse girl kutokana na ugumu wa maisha katika mikoa hiyo. Leo unajigamba eti hali ni nzuri. Ifike mahali tuache kulinganisha kanda ya ziwa na vikanda kama nyanda za juu kusini. Ala.
 
Hakuna Manispaa inayoitwa Nyamagana bali kuna Manispaa ya Ilemela na Jiji la Mwanza (Nyamagana ).
 
Mhhh Njombe hakuna kitu. Endelea kuota ndoto za mchana.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti maisha ya mwananchi wa njombe yako juu ya watu wa bukoba!!!endelea kuamini takwimu zako [emoji23]

Mzee ushawahi fika bukoba vijijini,misenyi, muleba na karagwe huko?


Jamaa unafurahisha Sana eti njombe.


Njombe naiona kama maisha ya biharamulo na ngara huko ila sio uhayan.


Endelea kuamini takwimu zako
 
Umenifurahisha eti wahaya hawajengi uchumi kwao? Endelea kuamini story za kusimuliwa.


Sidhani kama kuna kabila linapendana na kupenda kwao kama wahaya hapa bongo .halafu unavichekusho Sana eti nyumba ya wachaga mbona unawaabudu Sana hao wachaga ambao hata mkoa wao ni Sawa na wilaya moja Tu ya misenyi ?


Hiv njombe mko hata million nyie. Kwa hiyo hata mapato yenu yakigawiwa mmaonekana na per capita income kubwa kuliko kagera yenye 3m
 
Huyu mjamaa analinganisha maisha ya muleba,misenyi na bukoba na njombe sidhani kama zinamtosha kichwani.


Eti wabeba sijui wakinga[emoji23] hiv mtu na akili timamu unaweza ukalinganisha wahaya na vikabila vidogo vya huko kusini Kwa maendeleo binafsi na jumla?



Hiv huyu ashawahi fika vijijini bukoba huyu?
 
Hongera mkuu, wewe unaijui Iringa.
 
Usimshauri mgeni alime Mazao kama hayo kule ataumia, hayo wanayaweza wenyeji maana yanahitaji uangalizi muda wote,
Aje Kilolo alime shamba la Miti ya Mbao au parachichi, anawezakuwa anatembelea once kila baada ya miezi mitatu na gharama za usimamizi ni ndogo, pia watu wa Kule (workforce) ni wachapakazi na waaminifu.
 
Kwani ni mashindano mkuu?
 
Mkuu ni mipango tu, mimi nimefanya aina zote za kilimo ulizozitaja na mambo yako vizuri.
Hiyo miti na maparachichi ataanza kuvuna lini ?Nina mwaka wa tano sijavuna miti ya mbao.
Huo ni uwekezaji wa muda mrefu sana na unakula pesa vibaya mno, yaani vibaya mnooo.

Tufike mahali tuache kuogopa , mtu aende mwenyewe akajioneee. Mbona hata sisi tulianza kama wegeni, lakini mambo yakawa mazuri tu mkuu. Unapofanya biashara lazima uweka mikakati na ukubaliane na suala zima la RISK.

Binafsi, kuliko kutokwenda nashauri aende, afanye utafiti binafsi na atoe maamuzi.
 
Usijitoe ufahamu sio tuu wanaongoza bali wanapendwa wao kwa ajili ni walezi wazuri na wachapa Kazi hodari.

Kila jamii kuna watu maskini lakini maskini wa huko kanda ya ziwa wamekithiri na ni useless kiasi kwamba hata Kazi kama hizo za malezi hawawezi.

Ukweli utabaki pale pale kwamba hali za maisha ya watu wa mikoa ya Nyanda za Juu Kusini ni bora mara elfu kuliko huko jangwani kwenu.

Najua wajua kwamba kwa jamii za kitanzania ukiacha Wachaga watu wengine wenye pesa ni kutoka Njombe sasa kama tumejenga miji ya watu na tunatambulika Tzn hii wewe ni nani hadi usitube heshima yetu?
 
Mhhh Njombe hakuna kitu. Endelea kuota ndoto za mchana.
Sio mimi huwa napanga Takwimu bali ni NBS sasa labda hao ndio ukawatolee povu na hasira.

Mkoa wa wachapakazi na Mji wa wastaarabu.Takwimu zinaongea wewe unaleta porojo
 
Wewe hili povu kawatolee National Bureau of Statistics,sio mimi nilisema Kagera ni Kati ya mikoa maskini Sana hapa Tzn yaani mko top 5 ya maskini .

Kumbuka mjumbe hauwawi.Ni uzwazwa kukana credible sources huku ukitaka kutuaminisha feelings zako,hiyo haipo.

By the way wewe ni nani hadi ushindwe kutoa heshima kwa wachapa Kazi wa Mkoa wa Njombe ? Tunajulikana Tzn nzima kwamba nyuma ya Wachaga kuna Wakinga sijui wewe nshomile unataka kusemaje.

Tumejenga miji zaidi ya 10 Tzn hii,imagine hadi Mwenyekiti wa wachimbaji madini wadogo Tzn hii ni mwamba kutoka Njombe lakini kwetu hatuchombi dhahabu.

Unatujua au unasimuliwa mkuu.Nyie nshomile endeeni kuajiriwa na kujisifia kwa makaratasi tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…