Hii ndio orodha ya Miji na Wilaya za Tanzania zenye watu wenye kipato cha Uhakika

Hii ndio orodha ya Miji na Wilaya za Tanzania zenye watu wenye kipato cha Uhakika

Kweli kabisa sasa hivi mufindi Kuna viwanda vingi vya mchina kwa vijana wanaotafuta maisha bila kujali ugumu wa kazi njoo mufindi hakika hautojuta
Nje ya mazao makuu yanayofanya vizuri Kama mbao, mahindi, viazi maua na matunda. Ukiangalia Mkoa wa Iringa kuanzia Ruaha mbuyuni au mtera kuelekea Iringa town hadi ufike Makambako, asubuhi na mapema utakutana na makundi makubwa ya vijana maeneo ya Ifunda, Rungemba na Mafinga wakielekea kwenye viwanda vya kuchakata mbao na mazao, Jambo ambalo unaona limesaidia kwa kiasi kikubwa uhaba wa ajira kwa vijana hususan wanawake. Hali hiyo imeimarisha uchumi binafsi na mchango wa mtu mmojamoja kuchangia Pato la taifa.
 
Kwani mkoa WA tanga ipo mingapi?
Kuna wilaya ya Tanga,ndio jiji(city).Na kuna mkoa wa Tanga,hiyo wilaya ya Tanga,na wilaya nyingine ziko ndani ya huo mkoa wa Tanga.Nafikiri wilaya nyingine za mkoa wa Tanga,bado ni halimashauri za miji.Kama nimekosea,nifahamishwe.
 
Kwa hyo tanga kuna mikoa miwili?
Tanga iko tofauti na mikoa mingine.Kuna Tanga wilaya,na kuna Tanga Mkoa,Tanga wilaya ndio Tanga jiji.Wilaya zingine bado ni halimashauri za miji.Huwenda hii ikawa ni Tanga city(sio mkoa mzima wa Tanga).Kama sivyo naomba maelekezo.
 
Tanga iko tofauti na mikoa mingine.Kuna Tanga wilaya,na kuna Tanga Mkoa,Tanga wilaya ndio Tanga jiji.Wilaya zingine bado ni halimashauri za miji.Huwenda hii ikawa ni Tanga city(sio mkoa mzima wa Tanga).Kama sivyo naomba maelekezo.
Sijui mnabishana nini,hapo juu imeandikwa Tanga CC
 
MApato ya serikali hayapimi unafuu wa maisha wa sehemu ww mbona ukiangalia mtu wa hali ya chini aliyepo makambako anamaisha mazuri kuliko njombe
Kupata kichekesho kama hiki jiunge na Mdatchu blog 😀 😀 😀 😀 .Pesa hizo zinakusanywa kutoka mbinguni au kutoka kwenye shughuli za wananchi?

Mkuu hicho kijiji chenu cha Makambako kinachekesha,Mwaka huu wa fedha Njombe TC tuna hit 7.0 bln ya makusanyo ya ndani wakati kijiji chenu hata 3b haijulikani mtapata lini.Unapozungumzia mapato ya Mkoa wa Njombe unazungumzia Njombe TC na Njombe DC.

Kingine just kwa taarifa yako own source zinatumika kutoa huduma kwenye Halamshauri husika,zinduka mnapotea na mitumba yenu huko.
 
Bila Kahama na Makambako hii report ni ya kupika.
Ifuatayo ni orodha ya Miji na Halmashauri 41 pekee kati ya Halmashauri 165 Tanzania ambazo watu wake Wana kipato cha Uhakika na kuwa na purchasing power inayotoa fursa ya uhakika wa biashara kwa Tanzania.
Orodha imehusisha Halmashauri zenye mapato yanayoanzia shilingi za Tanzania bilioni 3.5 kwenda juu.

Orodha hii imetokana na makusanyo ya ndani ya kila Halmashauri kiutoka kwenye vyanzo vya mapato vya Halmashauri ambavyo ni shughuli za kawaida za wananchi kutoka Tamisemi kwa mwaka wa fedha 2019/2020.
Mapato hayo ni nje ya vyanzo vinavyokusanywa na TRA na wakala zingine za.serikali.

Kama wewe ni mfanyabiashara hii itakuwa picha halisi ya uchaguzi wa sehemu ya kuwekeza.

1.Ilala MC=58.6bln

2.Dodoma CC=53.2bln

3.Kinondoni MC=44.5bln

4.Temeke MC=34.4bln

5.Arusha City=19.2bln

6.Ubungo MC=17.9bln

7.Mbeya City=13.0bln

8.Tanga City=12.8bln

9.Mwanza CC=12.2bln

10.DSM CC=11.4bln

11.Ilemela MC=10.2bln

12.Geita TC=9.2bln.

13.Morogoro MC=7.5bln

14.Kahama MC=7.12bln

15.Chalinze DC=7.1bln

16.Mkuranga DC=6.6bln

17.Kigamboni MC=6.4bln

18.Mufindi DC=6.1bln

19.Moshi MC=5.7bln

20.Iringa MC=5.62bln

21.Njombe TC=5.6bln

22.Tunduma TC=5.4bln

23.Tarime DC=5.2bln

24.Kilolo DC=5.0bln

25.Mtwara MC=4.8bln

26.Mafinga TC=4.7bln

27.Tunduru DC=4.7bln

28.Muleba DC=4.61bln

29.Kilwa DC=4.6bln

30.Geita DC=4.5bln

31.Arusha DC=4.01bln.

32.Mlimba DC=4.0bln

33.Mbozi DC=3.97bln

34.Tandahimba DC=3.92bln

35.Mbarali DC=3.9bln

36.Rungwe DC=3.89bln

37.Kilosa DC=3.8bln

37.Mbeya DC=3.8bln

38.Mbinga DC=3.65bln

39.Chato DC=3.64bln

40.Kibaha TC.3.62bln

41.Chunya DC=3.5bln

My take kuna Mikoa/Miji ni ya kuonea huruma mfano Tabora,Singida,Rukwa,Katavi,Kigoma,Simiyu na Manyara.Hii mikoa haina hata Halmashauri moja yenye mapato kwa kiwango cha kuanzia bilioni 3.5 au zaidi

Kiufupi inatoa picha ya hali mbaya ya umaskini wa kipato kwa wananchi wake.Hali kadharika Mikoa ya Dar, Mbeya,Geita na Iringa ina hali nzuri ya kimapato kwa watu wake.

Pdf ya Tamisemi hii hapa unaweza kujionea mwenyewe
 
Bila Kahama na Makambako hii report ni ya kupika.
Uwe unasoma kabla ya kukurupuka ku comment mkuu😉😉 ,Kahama ndio iko kwenye list hicho kijiji cha Makambako size yake ni Nanayamba,Ifakara,Liwale,Masasi na tumiji twingine dizaini ya hiyo.Hiyo orodha ni kwa ajili ya heavy weight.

Ukiangalia trend ya Makusanyo kwa mwaka huu unaoisha june 2021,utakuta Halamshauri za Geita TC,Kahama MC,Chalinze DC, Tarime DC,Mkuranga DC na Njombe TC zinakuja kwa kasi sana kwenye mapato seems hayo maeneo watu wana pesa sana ukiacha Majiji makubwa
 
Kichwa cha habari kilifaa kuandikwa ,,miji 40 inayoongoza kwa makusanyo.
Nilichelea kuandika hivyo kwa sababu mambo yanabadilika badilika sana kadiri mda unavyoenda,Na uhakika List ya mwakani Halmashauri nyingi zitaanguka na mpya kuingia kulingana na mwenendo wa makusanyo ya kufikia mwezi wa pili 2021.
 
Kupata kichekesho kama hiki jiunge na Mdatchu blog 😀 😀 😀 😀 .Pesa hizo zinakusanywa kutoka mbinguni au kutoka kwenye shughuli za wananchi?

Mkuu hicho kijiji chenu cha Makambako kinachekesha,Mwaka huu wa fedha Njombe TC tuna hit 7.0 bln ya makusanyo ya ndani wakati kijiji chenu hata 3b haijulikani mtapata lini.Unapozungumzia mapato ya Mkoa wa Njombe unazungumzia Njombe TC na Njombe DC.

Kingine just kwa taarifa yako own source zinatumika kutoa huduma kwenye Halamshauri husika,zinduka mnapotea na mitumba yenu huko.
Endelea kujifariji na njombe yko ila kumbuka mapato yanabadilika kila mwaka na kunaa baadhi ya sekta Kama majengo mabango walichukua mapato serikal kuu saiz yamerud halimashaur na usilo lijua na upo usingizini njombe tc inaokolewa mapato na vijiji mjini kupo hoi ndo maana hata ugawaji walingangania vijiji ukienda ile halimshaur ya mji haina utofati na wilaya za vijijin ko unavoendelea kujiliwaza lazima upigwe gap tu na wenzio tumesoma mapato vizuri tatizo unatuoletea makadirio ambapo kimakusanyo njombe imekusanya bln 4.7 pitia kwenye page yao usitupotoshe alafu hiyo makambako unayo iita Kijiji ndo mji kwasasa mkubwa kimkoa ko endelea kula mtori nyama ipo chini utaongea sana mk inazidi kusonga mbele
 
Bila Kahama na Makambako hii report ni ya kupika.
Jamaa anaipamba njombe wee alafu watu wa njombe wanahamia makambako hahaha makambako imekuwa mji mkubwa kuliko njombe na bado wataisoma tu mapato yanabadilika kila mwaka nenda kaanga wamejengewa soko wote wamerundikana barabaran si mji wa kishamba huo
 
Endelea kujifariji na njombe yko ila kumbuka mapato yanabadilika kila mwaka na kunaa baadhi ya sekta Kama majengo mabango walichukua mapato serikal kuu saiz yamerud halimashaur na usilo lijua na upo usingizini njombe tc inaokolewa mapato na vijiji mjini kupo hoi ndo maana hata ugawaji walingangania vijiji ukienda ile halimshaur ya mji haina utofati na wilaya za vijijin ko unavoendelea kujiliwaza lazima upigwe gap tu na wenzio tumesoma mapato vizuri tatizo unatuoletea makadirio ambapo kimakusanyo njombe imekusanya bln 4.7 pitia kwenye page yao usitupotoshe alafu hiyo makambako unayo iita Kijiji ndo mji kwasasa mkubwa kimkoa ko endelea kula mtori nyama ipo chini utaongea sana mk inazidi kusonga mbele
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaa umeongea kwa kutia huruma sana.

Mkuu Acha kutapatapa,taarifa iko rasmi kutoka Tamisemi sasa hiyo ya mdomoni mwako utaiamini wewe Ili ujifariji.Kusomea mapato sijui ndio kozi gani kama unashindwa kuelewa kwamba vyanzo vikuu vya mapato kwenye Halmashauri zote nchini vimegawanywa kwenye category mbili,moja vyanzo halisi kutoka shughuli za kiuchumi ndani ya Halmashauri na pili ni ruzuku ya maendeleo kutoka serikali kuu ambapo kwa Halmashauri ni Kati ya Mil.900--1.5bln kutegemea hadhi ya Halmashauri husika eg DC,MC au CC.

Ndio maana unaona Tamisemi ni 5.6 vs 4.7bln.So hiyo ndio formula unatakiwa kuelewa.

Kwamba Vijiji vina mapato mengi kuliko Mji mkubwa wa Mkoa Makambako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mkuu kubali tuu kwamba hicho kijiji cha Makambako bado saaana kuliko kuweweseka na kulia lia mara mabango mara TRA yaani utadhani hivyo havipatikani Njombe Mjini.

Kwa taarifa yako hadi kufikia Juni 30,2021,Njombe itavunja rekodi ya mapato kufikia 7 bln ambayo haitakaa ije kufikiwa na hicho kijiji cha wachuuzi.

Soma hiyoo [emoji116][emoji116]
View attachment 1783672View attachment 1783673
 
Jamaa anaipamba njombe wee alafu watu wa njombe wanahamia makambako hahaha makambako imekuwa mji mkubwa kuliko njombe na bado wataisoma tu mapato yanabadilika kila mwaka nenda kaanga wamejengewa soko wote wamerundikana barabaran si mji wa kishamba huo
Wewe labda una tatizo uelewa.Wanaohamia huku sio wawekezaji ni wachuuzi,wawekezaji wakabaki Njombe mkuu.

Yaani Mji unazidi kuchanua na kub feature kwenye lists ya Miji yenye mapato mengi Kitaifa afu kibwengo mmja anakuja kupayuka ,haya si ni maajabu?

Eti napamba,kwa nini nipambe wakati takwimu zinaongeza? Mapato yenu yanabadilika kwenda chini huku wenzetu yakibadilika ki upwards mfano 2017/18 mapato =3.5 bln,2018/19=5.6bln,,2019/20=6 plus bln sasa hicho kijiji mnachohangaika nacho veeepe?

Shindaneni na Nanyumbu TC ndio level yenu.
 
Back
Top Bottom