strong ruler
JF-Expert Member
- Nov 2, 2013
- 4,921
- 3,308
Mbona sipaoni ikulu kwenye hiyo picha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una jini wazimu wewe!! tujivunie hayo manyimbo yake mabig Gee?!?! Mpambe nuksi!Hongera zake. Diamond ndiye kitu pekee taifa tunaweza kujivunia. Zaidi ya hapo kuna nini?
Eti twiga na Mali zote tulizonazo ni uselessHongera zake. Diamond ndiye kitu pekee taifa tunaweza kujivunia. Zaidi ya hapo kuna nini?
umeua aiseeDiamond ameleta mafanikio makubwa sana kwenye hii nchi kuliko mafanikio ya Kitwanga na Nape ukiyaunganisha pamoja
LugumiHongera zake. Diamond ndiye kitu pekee taifa tunaweza kujivunia. Zaidi ya hapo kuna nini?
Diamond ameajiri vijana wengi mno wengi tayari wamejenga wanaendesha magari kupitia kampuni zake kama WCB record label, WCB production house, WCB photos nk.... Kwenye show zake watu wanatengeneza mamilioni kwa siku moja kuanzia wandaaji wamachinga nk... Kuna watu instagram wanaendesha family zao kupitia story za Diamond... So nje ya mapinduzi yake kwenye sanaa nzima ya Tanzania ametekeleza ajira nyingi sana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Umeambiwa conference room
Wewe vuvuzela la CCM ila hata ikulu hujawahi kukanyaga...
Una akili sana kiongozi [emoji106]Huyu sio mfanyabiashara huyu ni gwiji la sanaa lililofanya makubwa ambayo hayakuwahi kufanywa na wengine huko nyuma. Ni kijana kutoka uswahilini hasiyekulia maisha mazuri ila kawa mfano kwa vijana wengi wanaoamini mfumo mmoja wa kufanikiwa.
Diamond ni kama Filbert Bayi ni kama Juma Ikangaa ni kama Kanumba ni kama Magufuli ni kama Msuguli watu awa hawatokei mara nyingi ukiwapoteza ndio unajua umuhimu wake.
Sio ikulu tu,ukija hata ofisini kwangu utaikutaUkiingia conference room ya ikulu utakutana na hii picha ya Nasib Abdul almaarufu Diamond Platnumz.
View attachment 350546
Mzee wako...LowassaHongera zake. Diamond ndiye kitu pekee taifa tunaweza kujivunia. Zaidi ya hapo kuna nini?