Hii Ndio Picha ya Diamond Iliyozua balaa Mtandaoni!

Hii Ndio Picha ya Diamond Iliyozua balaa Mtandaoni!

بمبتيﻻوفممبخهبتعقيغناخ
binamu hichi kihindi au kiarabu?
 
Hujabatika. Kukutokeya hukatai utaona kama pepi la mbinguni limefunguka ktk kwako chezeya diamond ww
 
Si kila mnacho ona Lil Wayne akifanya ni ya kuiga ukizingatia utamaduni wetu. Monkey see, monkey do. Nyani ni wale wale wa Tandale.
 

Baada ya Rommy Jones Kuweka picha hii Instagram ..Soma kilichofuata hapo chini kutoka kwa Mashabiki wa Diamond:

samsteven62 Mh broo hapa nakupinga na hicho kidole km vp

delete hii post

hassanmapunda Kumbe ni ---- plutnamz

shaurimjaka Umezingua hicho kidole una m---- nani sasa

evelinusb Unazingua

saidimtanga hii sio poa kabisa y mnatuonyesha kidole cha kati

diamondplatnumz_ reubeneliasi Fack you

1whitebeauty Karibuni sana.. romyjons diamondplatnumz

brightlibius Mmeharibu bwn nn sasa hiyo tatizo la cerebrates

wetu ni shule sidhani kama mtu

alieenda shule anaweza kufanya ujinga huu

frankspair Shule nayo inasaidia jaman let’s go back to school

rchuggalady4real Usenge uwo sasa,inakuwaje unatutukana

tena.unazingua platinum

dorothea06 Sasa nn hvyo ulimbuken sas!

mamshomy Xjapend wala nn umearibu jiji la amani hlo

unazingua si kisenge yan platnm

oscaraden444 Dah aya bhana ipo siku na ww utatukanwa ivo

salumkaka ilo dole la kati linamuhusu nani

wemasepetu hihihihihi… mie napita… ila mmependeza vipenzi

vya roho yangu….

halimaabduly Pendaza vipenz vya $

romyjons Ok. wemasepetu

edwardma2ngus Kuna vi2 vya kuiga but kwa hik unaonye jinc

ulvyo mpuuz!!!!!!!! At cjapenda kabixaaaa

jamalysongo Kwaio we diamnd umeona ishu sana kupiga ilo

dole ---- wewe akili una wew kubwa zima akili amna

Hivi kwani condition mojawapo ya kua msanii Super star ni lazima kuvalia Suruali chini ya makalio????
 
Romy...OK..Romy na nasib ..ni ndugu Wa damu..mama Mdg na Mkubwa...pia Romy ndio Dj Wa nasib........ni hayo tu...

Mmh basi ingekuwa wasanii wote wanatembea na DJ zao sijui ingekuwaje, bado sijaona mantink wala hlo la udungu sio sababu ya kuongozana ovyo kama kumbi kumbi had wanaboa, labda kama wana mambo yao mengine nyuma ya pazia
 
Mi mwenyewe ndugu yangu Pnc lakin kutembea nae ndio maana siku anamuomba msamaha kwa ostadhi hamkuniona kwenye pichaaa
 
Shida ya hawa wasanii wavaa visuruali vya kubana na vyenye rangi rangi ......wako na under thinking
 
Wa hivyo si tutakua tunashinda kwenye kioo wotee maana kama wa kike kike hiv

Ukitokewa ma plutnum maneno yote yatakwisha muhulize irene uwoya alijisikiaje alipogegedwa na plutnum ije kuwa ww unaeshinda kwenye jf siutazimia ukifanikiwa
 
Ukitokewa ma plutnum maneno yote yatakwisha muhulize irene uwoya alijisikiaje alipogegedwa na plutnum ije kuwa ww unaeshinda kwenye jf siutazimia ukifanikiwa

Nishaonana na platnum hata sikua na mdaa namuona wa kawaida sanaa wala sio saizi yangu saizi yake wema na hao wenzie anaowapanga msururu
 
Back
Top Bottom