sister
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 9,014
- 6,847
Aisee......Bora umemwambia hivo akipigwa picha na mama yake haonyeshe hizo swagger
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee......Bora umemwambia hivo akipigwa picha na mama yake haonyeshe hizo swagger
binamu hichi kihindi au kiarabu?بمبتيﻻوفممبخهبتعقيغناخ
ndioKumbee
hahahahaha..maswali mengine haya..lol..Halaf ana dem kweli huyo yaan alivyokaa kaaa tu lol
kwa jinsi unavyochangiaga humu..na jinsi unavyowajua watu...natumai unawajua...uliza ni watu waina gani...jioni njemaEeee siwafaham ndio kina nani pia wanafanya kazi wapii?
Baada ya Rommy Jones Kuweka picha hii Instagram ..Soma kilichofuata hapo chini kutoka kwa Mashabiki wa Diamond:
samsteven62 Mh broo hapa nakupinga na hicho kidole km vp
delete hii post
hassanmapunda Kumbe ni ---- plutnamz
shaurimjaka Umezingua hicho kidole una m---- nani sasa
evelinusb Unazingua
saidimtanga hii sio poa kabisa y mnatuonyesha kidole cha kati
diamondplatnumz_ reubeneliasi Fack you
1whitebeauty Karibuni sana.. romyjons diamondplatnumz
brightlibius Mmeharibu bwn nn sasa hiyo tatizo la cerebrates
wetu ni shule sidhani kama mtu
alieenda shule anaweza kufanya ujinga huu
frankspair Shule nayo inasaidia jaman lets go back to school
rchuggalady4real Usenge uwo sasa,inakuwaje unatutukana
tena.unazingua platinum
dorothea06 Sasa nn hvyo ulimbuken sas!
mamshomy Xjapend wala nn umearibu jiji la amani hlo
unazingua si kisenge yan platnm
oscaraden444 Dah aya bhana ipo siku na ww utatukanwa ivo
salumkaka ilo dole la kati linamuhusu nani
wemasepetu hihihihihi mie napita ila mmependeza vipenzi
vya roho yangu .
halimaabduly Pendaza vipenz vya $
romyjons Ok. wemasepetu
edwardma2ngus Kuna vi2 vya kuiga but kwa hik unaonye jinc
ulvyo mpuuz!!!!!!!! At cjapenda kabixaaaa
jamalysongo Kwaio we diamnd umeona ishu sana kupiga ilo
dole ---- wewe akili una wew kubwa zima akili amna
Romy...OK..Romy na nasib ..ni ndugu Wa damu..mama Mdg na Mkubwa...pia Romy ndio Dj Wa nasib........ni hayo tu...
Halaf ana dem kweli huyo yaan alivyokaa kaaa tu lol
Vp sister umempenda nn mbona unamuulzia sn isijekua unatafuta data humu??
mama yakokaoneshewa mpiga picha wake.
Cc: H.O.D
Wa hivyo si tutakua tunashinda kwenye kioo wotee maana kama wa kike kike hiv
Wa hivyo si tutakua tunashinda kwenye kioo wotee maana kama wa kike kike hiv
Ukitokewa ma plutnum maneno yote yatakwisha muhulize irene uwoya alijisikiaje alipogegedwa na plutnum ije kuwa ww unaeshinda kwenye jf siutazimia ukifanikiwa