Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Pre season inaendelea huko nje ya nchi. Nitumieni picha za pre season za timu kama Madrid au Man city wakiwa hivi niwaonyeshe chips zenye ukoko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba ipi labda? Bila shaka sio ile imechinjwa na mkudeHakika watafanya vzr msimu huu...
Hawa wataingia fainali na Simba ngao ya jamii..
Mkude kaachwa mkazoa.Simba ipi labda? Bila shaka sio ile imechinjwa na mkude
hhahhahaFei kaenda kubeba magunia
Tunawataka yangaMazoezi magumu kwenye soka huwa yapo.Azam wanajifua vilivyo hakika kipo kitu watafanya msimu huu.
Hawana mapya. Wasindikizaji as usualTuliocheza soka tunajua nini kinacho endelea katika hizo picha.
Mainly coach anatengeneza bond ya wachezaji kuzoeana na pia kujaribu kuwarudisha katika hali zao ambao wamepoteza fitness.
Jamaa anadhan kazi ya mpira lelemama.Wabongo tunaishi kimazoea, yan kwakua ni timu basi mazoezi unataka uone mipira kila muda. Kuna muza wa mazoezi ya kujenga mwili, kuna kujenga psychology, kuna mazoezi ya kuimarisha mifumo ambayo mwal atakua anaitumia kwa wachezaji. Yapo mambo mengi kwenye mpira kama hujacheza huwezi kuelewa ndio maana unawashangaa Azam hapo
Kalpana, umerogwa?!Hakika watafanya vzr msimu huu... Hawa wataingia fainali na Simba ngao ya jamii..
Wachezaji wetu bongo wengi nguvu hawanaNilimuona jana Fei Toto wakati wa kuvuta kamba! Yaani ni urojo mtupu!!
Hana nguvu lkn anapiga Mashuti yale?Nilimuona jana Fei Toto wakati wa kuvuta kamba! Yaani ni urojo mtupu!!