Hii ndio pre season ya Azam Fc

Hii ndio pre season ya Azam Fc

Tuliocheza soka tunajua nini kinacho endelea katika hizo picha.

Mainly coach anatengeneza bond ya wachezaji kuzoeana na pia kujaribu kuwarudisha katika hali zao ambao wamepoteza fitness.
....👊👊👊
 
Wabongo tunaishi kimazoea, yan kwakua ni timu basi mazoezi unataka uone mipira kila muda. Kuna muza wa mazoezi ya kujenga mwili, kuna kujenga psychology, kuna mazoezi ya kuimarisha mifumo ambayo mwal atakua anaitumia kwa wachezaji. Yapo mambo mengi kwenye mpira kama hujacheza huwezi kuelewa ndio maana unawashangaa Azam hapo
Hata sekondari sijui kama aligusa, Kuifananisha Azam na madrid ni ujuha.
 
Hata sekondari sijui kama aligusa, Kuifananisha Azam na madrid ni ujuha.
Wengi bado hawana elimu ya michezo. Watashangaa kumuona Mwakinyo au Dullah mbabe wanaogelea au kucheza mpira kwakua wao ni mabondia. Sometimes tunashauriwa kufanya kitu cha tofauti na kile ambacho umekua ukikifanya kila siku ili kuupunguzia mwili exostion na akili ku jam ndio maana mashuleni wanasisitiza sana michezo. Wabongo hatuelewi hilo
 
Punguza chuki kwa Fei uduguuu, utakufa huku moyo unatikisika lol.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wala siyo chuki. Mazoezi ya aina ile kwa Fei Toto walikuwa wanamuonea.
 
Wengi bado hawana elimu ya michezo. Watashangaa kumuona Mwakinyo au Dullah mbabe wanaogelea au kucheza mpira kwakua wao ni mabondia. Sometimes tunashauriwa kufanya kitu cha tofauti na kile ambacho umekua ukikifanya kila siku ili kuupunguzia mwili exostion na akili ku jam ndio maana mashuleni wanasisitiza sana michezo. Wabongo hatuelewi hilo
Hakika
 
Back
Top Bottom