....πππTuliocheza soka tunajua nini kinacho endelea katika hizo picha.
Mainly coach anatengeneza bond ya wachezaji kuzoeana na pia kujaribu kuwarudisha katika hali zao ambao wamepoteza fitness.
Itamchukua muda kidogo mpaka kurejea kwenye hicho kiwango.Hana nguvu lkn anapiga Mashuti yale?
Sawa ligi haiko mbali, ngoja tuoneItamchukua muda kidogo mpaka kurejea kwenye hicho kiwango.
Hata sekondari sijui kama aligusa, Kuifananisha Azam na madrid ni ujuha.Wabongo tunaishi kimazoea, yan kwakua ni timu basi mazoezi unataka uone mipira kila muda. Kuna muza wa mazoezi ya kujenga mwili, kuna kujenga psychology, kuna mazoezi ya kuimarisha mifumo ambayo mwal atakua anaitumia kwa wachezaji. Yapo mambo mengi kwenye mpira kama hujacheza huwezi kuelewa ndio maana unawashangaa Azam hapo
Ndiyo tunataka awe ivyoNilimuona jana Fei Toto wakati wa kuvuta kamba! Yaani ni urojo mtupu!!
Hahaha unajifarijiMkude kaachwa mkazoa.
Simba atacheza fainali ya community shield na Azam , halina shaka.
Wengi bado hawana elimu ya michezo. Watashangaa kumuona Mwakinyo au Dullah mbabe wanaogelea au kucheza mpira kwakua wao ni mabondia. Sometimes tunashauriwa kufanya kitu cha tofauti na kile ambacho umekua ukikifanya kila siku ili kuupunguzia mwili exostion na akili ku jam ndio maana mashuleni wanasisitiza sana michezo. Wabongo hatuelewi hiloHata sekondari sijui kama aligusa, Kuifananisha Azam na madrid ni ujuha.
Punguza chuki kwa Fei uduguuu, utakufa huku moyo unatikisika lol.Nilimuona jana Fei Toto wakati wa kuvuta kamba! Yaani ni urojo mtupu!!
Wala siyo chuki. Mazoezi ya aina ile kwa Fei Toto walikuwa wanamuonea.Punguza chuki kwa Fei uduguuu, utakufa huku moyo unatikisika lol.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
HakikaWengi bado hawana elimu ya michezo. Watashangaa kumuona Mwakinyo au Dullah mbabe wanaogelea au kucheza mpira kwakua wao ni mabondia. Sometimes tunashauriwa kufanya kitu cha tofauti na kile ambacho umekua ukikifanya kila siku ili kuupunguzia mwili exostion na akili ku jam ndio maana mashuleni wanasisitiza sana michezo. Wabongo hatuelewi hilo
Mkude hatuwezi kumtukana anatafuta ugali...Simba ipi labda? Bila shaka sio ile imechinjwa na mkude
Fainali ipi?Hakika watafanya vzr msimu huu... Hawa wataingia fainali na Simba ngao ya jamii..
ππFei kaenda kubeba magunia
Mkude kaachwa mkazoa.
Simba atacheza fainali ya community shield na Azam , halina shaka.
Fei nasikia alilishwa sukari ikawa juu akashindwa kufanya kweliFainali ipi?
π€£π€£Fei kaenda kubeba magunia